Uchaguzi 2020 Tundu Lissu afanya mdahalo na Waandishi wa habari atoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali. Apangua hoja ya kutumika na mabeberu

....haina maana ndo kukusanya kodi
Kweli kuchaji kodi kubwa hakumaanishi kuwa ndipo utakusanya kodi nyingi kwani wachangia kodi wanaweza kuwaza kukwepa kodi ama kuacha biashara itakayowafanya kulipa kodi.

Hata hivyo, kwa mazingira ya kwetu na viongozi tulioamini kusimamia masuala ya kodi, wanafuata taratibu zote ikiwemo kutumia model inayojumuisha ' independent parameters/variables' zote zinazowezesha upatikanaji wa haki wa 'dependent variable' yaani kodi. Hautumiki utaratibu wa 'guessing ' kwenye ku-set kodi. Mfano mzuri ni ile 'calculator ya TRA' ya kuingiza magari ama vipuri nchi. Ni mtindo huo huo unatumika kwa kodi nyingine!
 
Awamu hii ya kodi TRA inatumika kunyanganya watu pesa zao ili magufuli atimize ndoto yake ya kutufanya tuishi kama mashetani
 
Awamu hii ya kodi TRA inatumika ...
Mkuu, nakuomba usifuate mkumbo, kwa sababu ukiulizwa ushahidi usiotiliwa mashaka juu ya tuhuma zako hizi nadhani itakuchukua muda kutengeneza hata 'fake evidence'!

Tuendelee na mjadala Mkuu.
 
Mkuu, nakuomba usifuate mkumbo, kwa sababu ukiulizwa ushahidi usiotiliwa mashaka juu ya tuhuma zako hizi nadhani itakuchukua muda kutengeneza hata 'fake evidence'!

Tuendelee na mjadala Mkuu.
Kwani magufuli anavyotuhumu wengine kuwa wametumwa na mabeberu anaushahidi huo?
 
Mapya ya Lisu

Je Nani anaua wavuvi na kuwazamisha Ziwa Victoria?

Pili: Kushusha Bei ya Vifaa vya ujenzi ili Watanzania wajenge Nyumba Bora.

Kupunguza Kodi kwenye cement, nondo, mabati ili ziwe Bei rahisi
 
Lisu atagusa maisha ya kila Mtanzania, hata Wana CCM watampa Kura.

Bei ya Sukari

Kufanya Vifaa vya ujenzi kuwa nafuu

Na kutenda haki. Lisu alipokuwa Geita, aligusia Wavuvi kuuawa na TaNapa na kutupwa ziwani.
 
Mapya ya Lisu

Je Nani anaua wavuvi na kuwazamisha Ziwa Victoria?

Pili: Kushusha Bei ya Vifaa vya ujenzi ili Watanzania wajenge Nyumba Bora.

Kupunguza Kodi kwenye cement, nondo, mabati ili ziwe Bei rahisi
Na wewe usituzingue bwana, watu tumesha miss kufokewa sasa hivi.
Watu wiki nzima hatujafokewa unategemea tutaishije.
Wakina mama ndiyo kabisa, wana wiki hawaja kashifiwa
 
Jiwe anauwa wasukuma Ziwa Victoria

Wavuvi wanapigwa wanakufa na kutupwa Ziwa Victoria

Huyu Ni Muhutu ...katili sana
 
Lisu atagusa maisha ya kila Mtanzania, hata Wana CCM watampa Kura.

Bei ya Sukari

Kufanya Vifaa vya ujenzi kuwa nafuu

Na kutenda haki. Lisu alipokuwa Geita, aligusia Wavuvi kuuawa na TaNapa na kutupwa ziwani.
Lissu anachotakiwa sasa hivi ni kuziomba kura za wanaccm.

Awakumbushe mabaya yote ya Magufuli alichowafanyia ikiwemo kuzitia kash kash biashara zao.

Awakumbushe mchakato wa uchaguzi ndani ya chama chao ulivyopoteza maana.

Awakumbushe ugumu wa maisha wanaoupitia kwa sababu ya Magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…