Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
You can’t prove your accusation to the government nor my selfish interests as you claim to be in defending the government. In other words that’s just your opinion.Having had 5 years of a party supossedly with the experience, systems and powerful members in its highest decision making organs acquiesce to a leadership that has been divisive, by many standards a one man show, precarious, all too happy to toy with the constitution, human rights and people's freedoms, using the heavy arm of the state for self serving interests, laws passed that aren't reflective of broader public interests...
Hakuna bylaws zinazo lalamikiwa walau huko ndio watu wanaweza jiamulia kwenye kutunga kanuni.
Lakini sheria zote kabla azijafika bungeni zina stages zake ambazo reps wa wadau watakaoguswa wanashirikishwa kujadili na kutoa mapendekezo, kamati ya bunge inajadili na kuhoji concern za sheria na ndio sheria inaenda jadiliwa bungeni; stages zote hizo kuna amendments.
Sasa leta ushahidi ni sheria gani iliyopita bungeni without the due processes?