Uchaguzi 2020 Tundu Lissu afanya mdahalo na Waandishi wa habari atoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali. Apangua hoja ya kutumika na mabeberu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu afanya mdahalo na Waandishi wa habari atoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali. Apangua hoja ya kutumika na mabeberu




"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu

#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.

“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.

"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.

"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
===

Katika Mdahalo huo waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wameuliza maswali mbalimbali ikiwamo namna gani atakavyouondoa ukoloni mambo leo? Umuhimu wa watu wengi kujaa kwenye mikutano, na auala la yeye kutumika na mabeberu.

Aidha alipoulizwa kuhusu serikali yake itapambana vipi kuundoa ukoloni mamboleo Lissu amefafanua kuwa suala la ukoloni mambo leo ni dhana iliyokuwa inabebwa zaidi na viongozi ambao walikuwa wanatawala kwa kufuata mfumo wa kijamaa ila kwa wakati huu dhana hii haipo tena maana hawa tunaowaita wakoloni mambo leo ndio ambao wamekuwa wakitusaidia na tukiwategemea katika kufadhili miradi mbalimbali.

Ameongeza kuwa hao tunaowaita mabeberu ndio wanatusaidia katika kila kitu hata katika vyombo vya usalama kama Polisi n.k. Pia wanatusaidia katika usafiri kama wa ndege na helikopta na wanatusaidia katika kutoa hela za miradi mikubwa mikubwa. Ameeleza kuwa ikitokea watu hao wametuzuia kidogo tu, tumekwisha. Hivyo amesisitiza kuwa watu waache kudanganyika na neno mabeberu na ukoloni mambo leo tutengeneze mahusiano mema na Dunia, kwa sababu dunia haitutegemei sisi isipokuwa sisi tunaitegemea dunia.

Sambamba na hilo, Tundu Lissu ameeleza nchi hii imeharibu uhusiano na nchi nyingine ndani ya miaka mitano iliyopita. Hivyo, wakipata ridhaa ya kuiongoza nchi watahakikisha wanajenga mahusiano mazuri na mataifa mengine ili kuleta maendeleo nchini.

Aidha, akijibu swali kwamba serikali yake itapata wapi pesa za fidia kuwalipa wakazi waliobomolewa nyumba zao, Tundu Lissu amefafanua kuwa kwa sheria ya nchi inasema kuwa pale serikali inapokosea au kubomoa nyumba za watu kimakosa inweza kushitakiwa na kulipa fidia. Hivyo, ukikosewa kwa namna yoyote ile na serikali unastahili kulipwa fidia. Hivyo, kwa namna yoyote Tundu Lissu amesema wakipata nafasi ya kuingia madarakani watatafuta namna ya kuwalipa fidia. Amesisitiza kuwa japo itakuwa bili kubwa ya kulipa fidia lakini itawalazimu watafute pesa hiyo ya kulipa watu fidia.

Aidha, kuhusu suala la watu kujaa kwenye mikutano, Lissu anasema kuwa katika siasa mtaji ni watu, ili kubaini kuwa Mwanasiasa ana nguvu kiasi gani kisiasa lazima uangalie anaungwa na watu kiasi gani. Ameweka bayana kuwa Chadema ya mwaka huu imejipanga zaidi na wana matawi mengi na kutengeneza Organization ya Chama inaitwa Chadema ni Mshindi.

Ama kuhusu uhuru wa vyombo vya habari, Tundu Lissu amesema kuwa serikali ya Chadema itavipa uhuru vyombo vyote vya habari na wataondoa vikwazo vyote mamlaka kama TCRA zitatumika kusajili tu vyombo na sio kuingilia maudhui yao.

Huyu mzee ana sifa zote za kutuongoza
 



"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu

#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.

“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.

"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.

"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
===

Katika Mdahalo huo waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wameuliza maswali mbalimbali ikiwamo namna gani atakavyouondoa ukoloni mambo leo? Umuhimu wa watu wengi kujaa kwenye mikutano, na auala la yeye kutumika na mabeberu.

Aidha alipoulizwa kuhusu serikali yake itapambana vipi kuundoa ukoloni mamboleo Lissu amefafanua kuwa suala la ukoloni mambo leo ni dhana iliyokuwa inabebwa zaidi na viongozi ambao walikuwa wanatawala kwa kufuata mfumo wa kijamaa ila kwa wakati huu dhana hii haipo tena maana hawa tunaowaita wakoloni mambo leo ndio ambao wamekuwa wakitusaidia na tukiwategemea katika kufadhili miradi mbalimbali.

Ameongeza kuwa hao tunaowaita mabeberu ndio wanatusaidia katika kila kitu hata katika vyombo vya usalama kama Polisi n.k. Pia wanatusaidia katika usafiri kama wa ndege na helikopta na wanatusaidia katika kutoa hela za miradi mikubwa mikubwa. Ameeleza kuwa ikitokea watu hao wametuzuia kidogo tu, tumekwisha. Hivyo amesisitiza kuwa watu waache kudanganyika na neno mabeberu na ukoloni mambo leo tutengeneze mahusiano mema na Dunia, kwa sababu dunia haitutegemei sisi isipokuwa sisi tunaitegemea dunia.

Sambamba na hilo, Tundu Lissu ameeleza nchi hii imeharibu uhusiano na nchi nyingine ndani ya miaka mitano iliyopita. Hivyo, wakipata ridhaa ya kuiongoza nchi watahakikisha wanajenga mahusiano mazuri na mataifa mengine ili kuleta maendeleo nchini.

Aidha, akijibu swali kwamba serikali yake itapata wapi pesa za fidia kuwalipa wakazi waliobomolewa nyumba zao, Tundu Lissu amefafanua kuwa kwa sheria ya nchi inasema kuwa pale serikali inapokosea au kubomoa nyumba za watu kimakosa inweza kushitakiwa na kulipa fidia. Hivyo, ukikosewa kwa namna yoyote ile na serikali unastahili kulipwa fidia. Hivyo, kwa namna yoyote Tundu Lissu amesema wakipata nafasi ya kuingia madarakani watatafuta namna ya kuwalipa fidia. Amesisitiza kuwa japo itakuwa bili kubwa ya kulipa fidia lakini itawalazimu watafute pesa hiyo ya kulipa watu fidia.

Aidha, kuhusu suala la watu kujaa kwenye mikutano, Lissu anasema kuwa katika siasa mtaji ni watu, ili kubaini kuwa Mwanasiasa ana nguvu kiasi gani kisiasa lazima uangalie anaungwa na watu kiasi gani. Ameweka bayana kuwa Chadema ya mwaka huu imejipanga zaidi na wana matawi mengi na kutengeneza Organization ya Chama inaitwa Chadema ni Mshindi.

Ama kuhusu uhuru wa vyombo vya habari, Tundu Lissu amesema kuwa serikali ya Chadema itavipa uhuru vyombo vyote vya habari na wataondoa vikwazo vyote mamlaka kama TCRA zitatumika kusajili tu vyombo na sio kuingilia maudhui yao.
Hata shetani ukimsikiliza anaweza kukuaminisha kuwa atakupeleka mbinguni
 
Hajui ata hizo hela za fidia anazo ahidi atatoa wapi let alone za kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama angeulizwa wala za kulipa madeni ya nchi halafu atashusha kodi.

Kupunguza matumizi ya serikali Lissu atafuta wakuu wa mikoa na wilaya hawana shughuli kwa mujibu wake on the same token of cost anapendekeza serikali za majimbo which is more costly to run, creates more employment and higher bill for taxpayers.

Halafu kuna mapoyoyo utawasikia Lissu ni mpango wa Mungu mtu ambae anajiropekea tu.
Serikali ya majimbo ni more costly!?
Umedanganywa na mfugaji wako nawe umekubali.
"Ndugu zangu,Tanzania ni tajiri sana". - JPM. Ina maana JPM akitoka utajiri wa Tanzania unaisha!?
 



"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu

#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.

“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.

"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.

"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
===

Katika Mdahalo huo waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wameuliza maswali mbalimbali ikiwamo namna gani atakavyouondoa ukoloni mambo leo? Umuhimu wa watu wengi kujaa kwenye mikutano, na auala la yeye kutumika na mabeberu.

Aidha alipoulizwa kuhusu serikali yake itapambana vipi kuundoa ukoloni mamboleo Lissu amefafanua kuwa suala la ukoloni mambo leo ni dhana iliyokuwa inabebwa zaidi na viongozi ambao walikuwa wanatawala kwa kufuata mfumo wa kijamaa ila kwa wakati huu dhana hii haipo tena maana hawa tunaowaita wakoloni mambo leo ndio ambao wamekuwa wakitusaidia na tukiwategemea katika kufadhili miradi mbalimbali.

Ameongeza kuwa hao tunaowaita mabeberu ndio wanatusaidia katika kila kitu hata katika vyombo vya usalama kama Polisi n.k. Pia wanatusaidia katika usafiri kama wa ndege na helikopta na wanatusaidia katika kutoa hela za miradi mikubwa mikubwa. Ameeleza kuwa ikitokea watu hao wametuzuia kidogo tu, tumekwisha. Hivyo amesisitiza kuwa watu waache kudanganyika na neno mabeberu na ukoloni mambo leo tutengeneze mahusiano mema na Dunia, kwa sababu dunia haitutegemei sisi isipokuwa sisi tunaitegemea dunia.

Sambamba na hilo, Tundu Lissu ameeleza nchi hii imeharibu uhusiano na nchi nyingine ndani ya miaka mitano iliyopita. Hivyo, wakipata ridhaa ya kuiongoza nchi watahakikisha wanajenga mahusiano mazuri na mataifa mengine ili kuleta maendeleo nchini.

Aidha, akijibu swali kwamba serikali yake itapata wapi pesa za fidia kuwalipa wakazi waliobomolewa nyumba zao, Tundu Lissu amefafanua kuwa kwa sheria ya nchi inasema kuwa pale serikali inapokosea au kubomoa nyumba za watu kimakosa inweza kushitakiwa na kulipa fidia. Hivyo, ukikosewa kwa namna yoyote ile na serikali unastahili kulipwa fidia. Hivyo, kwa namna yoyote Tundu Lissu amesema wakipata nafasi ya kuingia madarakani watatafuta namna ya kuwalipa fidia. Amesisitiza kuwa japo itakuwa bili kubwa ya kulipa fidia lakini itawalazimu watafute pesa hiyo ya kulipa watu fidia.

Aidha, kuhusu suala la watu kujaa kwenye mikutano, Lissu anasema kuwa katika siasa mtaji ni watu, ili kubaini kuwa Mwanasiasa ana nguvu kiasi gani kisiasa lazima uangalie anaungwa na watu kiasi gani. Ameweka bayana kuwa Chadema ya mwaka huu imejipanga zaidi na wana matawi mengi na kutengeneza Organization ya Chama inaitwa Chadema ni Mshindi.

Ama kuhusu uhuru wa vyombo vya habari, Tundu Lissu amesema kuwa serikali ya Chadema itavipa uhuru vyombo vyote vya habari na wataondoa vikwazo vyote mamlaka kama TCRA zitatumika kusajili tu vyombo na sio kuingilia maudhui yao.


watanzani washamba sana huwezi kufanya mdahalo kati ya mgombea na waandishi wa habari. Hii ilikuwa kuongea na waandishi wa habari na sio mdahalo!
 
..bunge limejaa wana-ccm ndiyo maana linatunga sheria zinazokandamiza wananchi.

..tukipata bunge ambalo hakuna chama chenye super-majority, sheria zitakazotungwa na bunge zitakuwa na nafuu kuliko sasa hivi.
Hakuna nchi serikali inaweza ongoza bila ya majority kwenye sehemu za kupitisha sheria.

Ikitokea raisi alieshinda kuunda serikali chama chake hakina wabunge wakutosha kwenye uchaguzi either kuna re-election or the most common approach ni kuungana na vyama vingine vyenye milengo iliyokaribu ili kuunda serikali (there are usually compromises on what they won’t support and demand position in ministerial posts).

You simply need a quorum to pass laws, vinginevyo kazi yako itakuwa ngumu sana and in any normal circumstance vyama vya siasa vina whips wa kuwaweka wabunge wao kwenye mstari.

Inapotokea serikali ina jambo lake kila mmbunge anatakiwa kupiga kura ya ndio kwenye agenda muhimu za serikali either unaafiki agenda or not na usipo tii ‘whip vote’ elewa uchaguzi unaofuata wanakuengua kama mgombea wao ipo ivyo duniani kote with exception to US politics.
 
Serikali ya majimbo ni more costly!?
Umedanganywa na mfugaji wako nawe umekubali.
"Ndugu zangu,Tanzania ni tajiri sana". - JPM. Ina maana JPM akitoka utajiri wa Tanzania unaisha!?
Serikali kwa sasa inatumia almost 3/7 ya mapato yake from monthly tax revenue kwenye mishahara pekee, hivi unafikiria majimbo mengi yatajiendeshaje ukitoa Dar na Arusha kwa sasa?

Hiyo migodi yenyewe inatengeneza turnover ya $800 mpaka $1.2b, ujatoa operation cost, national taxes wala share ya mwekezaji; how exactly hiyo hela unayopata itaendesha Geita?

Akili za wafuasi wa Lissu zinawatosha wenyewe.
 
... ha ha ha! Speech ya Lissu haina vijembe ni facts tupu; haina matusi ya rejareja mfano kuwadhalilisha akina mama mbele ya kamera ni facts tupu. Inatoa strategic vision; taifa limetoka wapi, liko wapi, na linapaswa kuelekea wapi ili kuondokana na "stand-still" ya tangu uhuru. Msikilize Mh. Lissu upate elimu ya bure ngazi ya masters hata kwa wasiowahi kuingia darasani wamenufaika na masters za bure za Lissu.
Ukimsikiliza Lissu siku moja tu ni level ya form Six
 
Hakuna nchi serikali inaweza ongoza bila ya majority kwenye sehemu za kupitisha sheria.

Ikitokea raisi alieshinda kuunda serikali chama chake hakina wabunge wakutosha kwenye uchaguzi either kuna re-election or the most common approach ni kuungana na vyama vingine vyenye milengo iliyokaribu ili kuunda serikali (there are usually compromises on what they won’t support and demand position in ministerial posts).

You simply need a quorum to pass laws, vinginevyo kazi yako itakuwa ngumu sana and in any normal circumstance vyama vya siasa vina whips wa kuwaweka wabunge wao kwenye mstari.

Inapotokea serikali ina jambo lake kila mmbunge anatakiwa kupiga kura ya ndio kwenye agenda muhimu za serikali either unaafiki agenda or not na usipo tii ‘whip vote’ elewa uchaguzi unaofuata wanakuengua kama mgombea wao ipo ivyo duniani kote with exception to US politics.
Sawa lakini sio hawa vilaza wa ccm aisee.
 
Serikali kwa sasa inatumia almost 3/7 ya mapato yake from monthly tax revenue kwenye mishahara pekee, hivi unafikiria majimbo mengi yatajiendeshaje ukitoa Dar na Arusha kwa sasa?

Hiyo migodi yenyewe inatengeneza turnover ya $800 mpaka $1.2b, ujatoa operation cost, national taxes wala share ya mwekezaji; how exactly hiyo hela unayopata itaendesha Geita?

Akili za wafuasi wa Lissu zinawatosha wenyewe.
Mzee si mko uchumi wa kati. Maafisa wakuu wa ccm wanamilila mabilioni ya pesa. Achana na hizo hesabu uvhwara. Mpaka sasa tumepigwa 1.4Trilion zilizoibwa na ccm ili kununulia wapinzani na kufanyia kampeni. Hizo ni pesa au mawe! Kuwa mwana ccm lazima uwe na gunia la chawa kichwani
 
Sawa lakini sio hawa vilaza wa ccm aisee.
You are not serious, huko kwa wenzetu kuna wabunge wameacha mishahara ya mamillioni kutoka private sector kisa wanaamini siasa kwao wito, kuna wana jeshi washaongoza brigades (hivi unajua marines wanavyotudharau raia kutokana na mafunzo yao waliyopitia). Sio ivyo tu unakuta huyo mtu alishakuwa senior manager kwenye ‘hedge fund’ na mshahara mkubwa tu kushinda wa mmbunge baada ya jeshi.

Kuna prominent lawyers ambao washafikia level za kufikiriwa kuwa judges wa mahakama za juu, washatunikiwa tuzo za juu za ubobezi kwenye kazi zao mfano kiongozi wa Labour (Keir Starmer, google huyo mtu kazi zake kabla ya siasa) huko UK huyo jamaa kapewa tuzo na queen nwenyewe as a top national lawyer hadi upewe hiyo tuzo ushaburuza wanasheria kibao mahakamani (na kama angekuwa ana practice Law mpaka leo wateja wake ni millionaires, mshahara wake ungekuwa in milions kushinda wambunge) hila alikuwa back bencher tu bungeni chini ya Corbin na sio kwamba atawaburuza wabunge wa serikali on legal matters (achilia mbali AG wa serikali bungeni) kwenye back benchers tu kuna watu of the same calibre upande wa pili wa kujibizana nae, kuna economist waliokuwa kwenye mashirika makubwa duniani with senior strategic posts earning million in salaries + bonuses, kuna scholars wenye heshima zao as field experts, kuna wanasiasa ambao washakitumikia chama na kushika nyadhifa za juu wakati viongozi wa leo pengine wengi wao walikuwa bado wapo shule.

Hila linapofika swala la ‘whipped vote’ hakuna mzaa utapiga kura kichama kutokana na agenda za Kiongozi upende usipende.

Boris Johnson kamtosa ‘Ken Clarke’ kisa akupiga kura ya ndio kwenye proposal zake za BREXIT. Sasa google wakati huyo mtu ni kiongozi wa juu serikalini Boris Johnson ata chuo ajamaliza.

Siasa zetu bado sana, tukipata mtu kama Magu ni wa kumlinda tu as far as national interest agenda goes, watu wanapinga tu mambo wasiyoyaelewa.
 
Mzee si mko uchumi wa kati. Maafisa wakuu wa ccm wanamilila mabilioni ya pesa. Achana na hizo hesabu uvhwara. Mpaka sasa tumepigwa 1.4Trilion zilizoibwa na ccm ili kununulia wapinzani na kufanyia kampeni. Hizo ni pesa au mawe! Kuwa mwana ccm lazima uwe na gunia la chawa kichwani
Hearsay
 
1) Tanzanite
2) Amani
3) Ardhi kubwa yenye Futuna
4) Hunting Blocks
5) Kahawa Bora kabisa
6) Samaki wa maji baridi
7) Reserve kubwa ya Madini, mafuta na gesi
8) mawese na migebuka
9) Bandari za kutosha
10) zabibu Bora Kwa ajili ya mvinyo.

Hivyo vyote vinahitaji masoko na vinapatikana nchi nyingine isipokuwa Tanzanite peke yake.
 



"Tofauti ya Mrema, Slaa na Lowassa ni 'organization' wakati wa nyuma hakukuwa na 'organization' ila sasa tunayo, tunaweza kuweka mawakala nchi nzima"- @TunduALissu

#“Kutakua na Uhuru kamili wa vyombo vya Habari, katiba yetu haina neno ISIPOKUA, kutakua na Uhuru wa maoni, kutakua na Uhuru wa kutafuta habari, kumekua na ukiukwaji mkubwa wa Uhuru wa Habari, miaka mitano ya Magufuli imekua migumu kwa vyombo vya Habari”.@TunduALissu #Mwanza.

“Kumbe wakati mwingine polisi wanafanya kazi zao kwa weledi lkn wanakuwa victimized wanapokataa maagizo toka juu”. Tundu Lissu.

"Kuna vitu havihitaji utoe pesa ili upate pesa, kuna sehemu unahitaji akili tu"- @TunduALissu.

"Serikali yangu itakuwa na 'complete freedom' ili ku-stimulate uchumi mzima, ukishusha vifaa vya ujenzi watu wataweza kujenga nyumba zilizo bora"- Lissu.
===

Katika Mdahalo huo waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari wameuliza maswali mbalimbali ikiwamo namna gani atakavyouondoa ukoloni mambo leo? Umuhimu wa watu wengi kujaa kwenye mikutano, na auala la yeye kutumika na mabeberu.

Aidha alipoulizwa kuhusu serikali yake itapambana vipi kuundoa ukoloni mamboleo Lissu amefafanua kuwa suala la ukoloni mambo leo ni dhana iliyokuwa inabebwa zaidi na viongozi ambao walikuwa wanatawala kwa kufuata mfumo wa kijamaa ila kwa wakati huu dhana hii haipo tena maana hawa tunaowaita wakoloni mambo leo ndio ambao wamekuwa wakitusaidia na tukiwategemea katika kufadhili miradi mbalimbali.

Ameongeza kuwa hao tunaowaita mabeberu ndio wanatusaidia katika kila kitu hata katika vyombo vya usalama kama Polisi n.k. Pia wanatusaidia katika usafiri kama wa ndege na helikopta na wanatusaidia katika kutoa hela za miradi mikubwa mikubwa. Ameeleza kuwa ikitokea watu hao wametuzuia kidogo tu, tumekwisha. Hivyo amesisitiza kuwa watu waache kudanganyika na neno mabeberu na ukoloni mambo leo tutengeneze mahusiano mema na Dunia, kwa sababu dunia haitutegemei sisi isipokuwa sisi tunaitegemea dunia.

Sambamba na hilo, Tundu Lissu ameeleza nchi hii imeharibu uhusiano na nchi nyingine ndani ya miaka mitano iliyopita. Hivyo, wakipata ridhaa ya kuiongoza nchi watahakikisha wanajenga mahusiano mazuri na mataifa mengine ili kuleta maendeleo nchini.

Aidha, akijibu swali kwamba serikali yake itapata wapi pesa za fidia kuwalipa wakazi waliobomolewa nyumba zao, Tundu Lissu amefafanua kuwa kwa sheria ya nchi inasema kuwa pale serikali inapokosea au kubomoa nyumba za watu kimakosa inweza kushitakiwa na kulipa fidia. Hivyo, ukikosewa kwa namna yoyote ile na serikali unastahili kulipwa fidia. Hivyo, kwa namna yoyote Tundu Lissu amesema wakipata nafasi ya kuingia madarakani watatafuta namna ya kuwalipa fidia. Amesisitiza kuwa japo itakuwa bili kubwa ya kulipa fidia lakini itawalazimu watafute pesa hiyo ya kulipa watu fidia.

Aidha, kuhusu suala la watu kujaa kwenye mikutano, Lissu anasema kuwa katika siasa mtaji ni watu, ili kubaini kuwa Mwanasiasa ana nguvu kiasi gani kisiasa lazima uangalie anaungwa na watu kiasi gani. Ameweka bayana kuwa Chadema ya mwaka huu imejipanga zaidi na wana matawi mengi na kutengeneza Organization ya Chama inaitwa Chadema ni Mshindi.

Ama kuhusu uhuru wa vyombo vya habari, Tundu Lissu amesema kuwa serikali ya Chadema itavipa uhuru vyombo vyote vya habari na wataondoa vikwazo vyote mamlaka kama TCRA zitatumika kusajili tu vyombo na sio kuingilia maudhui yao.

Hii miji andishi ya habari ni mijisenge kweli. Akili zimeganda kama za mwenzao yupo humu jf Pascal Mayalla mchumia tumbo aka njaa. Haina uhuru wa habari lkn jinsi bongo zimetindidia ffs. Kwakua bongo zimelala bado zikifika kwa sanduku la kura haijui ifanye nini. Full kurogwa as if kwenye kile kisehemu cha kupigia kura kuna kamera wataonekana.
 
Hii miji andishi ya habari ni mijisenge kweli. Akili zimeganda kama za mwenzao yupo humu jf Pascal Mayalla mchumia tumbo aka njaa. Haina uhuru wa habari lkn jinsi bongo zimetindidia ffs. Kwakua bongo zimelala bado zikifika kwa sanduku la kura haijui ifanye nini. Full kurogwa as if kwenye kile kisehemu cha kupigia kura kuna kamera wataonekana.
Mzee umelipuka??
 
N kweli kabisa hadi ving'amuzi vinasahulika maana hababari zinafichwa bora utumie mb utamsikia TAL
 
Ni ubabaishaji kwa kwenda mbele kutoka kwa mgombea wa chama cha Mbowe...atoe 'model of operation' itakayodhibitisha kuwa wazo lake hili linatekelezeka bila kuathiri maeneo mengine!!
Nimekuelewa mkuu, kule visiwa vya Cyprus kuna mtu alishusha bei ya sukari ghafla na wapiga vigeregere wakashangilia cha ajabu ile bei aliyoitaja haikutumika na hakuna alichofanya, namshauri lisu hivi vitu si vya kukurupuka
 
Sipati picha huyu Lisu after 28/10 akaangukia kichogo sijui atabaki Bongo kuhangaikia Makesi yake ama atatimkia Kwa mabeberu zake 😂😂😂😂😂
Lisu amesema atakubali bila kinyongo matokeo ya kushindwa lakini ashindwe kihalali sio gumashi kama anazofanyiwa seif kule visiwani
 
Sasa hapo ndipo ninapotofautiana na Lissu. Ubeberu ni real, na asitufanye kwamba hatuoni uhuni wa mashirika makubwa ya kibeberu yanayojikita katika nchi maskini yakitake advantage ya mifumo mibovu ya usimamizi wa raslimali ya serikali za nchi maskini.

Pili, kauli za style ya Lissu anayeizungumzia nchi yake kama isiyojiweza na inayetegemea serikali za magharibi ili tuishi ni kauli za kipumbavu mtu yeyote huru na anayejiamini na anayoipenda nchi yake hawezi kuiunga mkono. Kwamba sisi hatuwezi kujitegemea? Huku kujidharau abaki nako yeye, sisi tunaweza na tunajiweza inferiority complex aliyo nayo yeye ni yake mwenyewe.
Hizi ulizoandika ni akili za Chato na Koromije...
 
Sasa hapo ndipo ninapotofautiana na Lissu. Ubeberu ni real, na asitufanye kwamba hatuoni uhuni wa mashirika makubwa ya kibeberu yanayojikita katika nchi maskini yakitake advantage ya mifumo mibovu ya usimamizi wa raslimali ya serikali za nchi maskini.

Pili, kauli za style ya Lissu anayeizungumzia nchi yake kama isiyojiweza na inayetegemea serikali za magharibi ili tuishi ni kauli za kipumbavu mtu yeyote huru na anayejiamini na anayoipenda nchi yake hawezi kuiunga mkono. Kwamba sisi hatuwezi kujitegemea? Huku kujidharau abaki nako yeye, sisi tunaweza na tunajiweza inferiority complex aliyo nayo yeye ni yake mwenyewe.
Hivi unajua vipo viwanda vingi sana China vinavyomilikiwa na Nchi za Ulaya na Marekeni?
Makampuni ya Ulaya na Marekani yamekwenda kuwekeza China...lkn pia Makampuni mengi ya China yameenea dunia nzima,hapa Tanzania yako kwa mamia. Na bidhaa zikitengenezwa na kuuzwa masoko mengine nje ya nchi inaonekana ni kiwanda cha wa-Tanzania.

Hii ndio dhana hiyo unayoikataa wewe au unadhani kujitegemea ni kujifungia na rasilimali zako ndani?
 
Hajui ata hizo hela za fidia anazo ahidi atatoa wapi let alone za kuongeza mishahara ya wafanyakazi kama angeulizwa wala za kulipa madeni ya nchi halafu atashusha kodi.

Kupunguza matumizi ya serikali Lissu atafuta wakuu wa mikoa na wilaya hawana shughuli kwa mujibu wake on the same token of cost anapendekeza serikali za majimbo which is more costly to run, creates more employment and higher bill for taxpayers.

Halafu kuna mapoyoyo utawasikia Lissu ni mpango wa Mungu mtu ambae anajiropekea tu.
Sasa wewe hutaki creation of more employment? Wa wapi wewe???
 
Back
Top Bottom