Kama ni kweli!
Siwezi kuwa rais mwenye mamlaka yote aalafu badala ya kutumia muda wangu kuwaletea wananchi maendeo nianze kukimbizana mahakamani na masaliti wa nchi ninayoiongoza.
Poteza endelea na mambo mengine.
Dunia hii ina kanuni zake za kuishi.
Endeleeni kuuana wenyeweBasi chukua bunduki ua wote
Nakwambia wewe mataga, damu ya Lissu lazima iende na huyo baba yenu jiwe mwaka huu. Mungu hajamponya Lissu na marisasi yenu kwa bahati mbayaKumbe wewe hapa upo kazini?
Mwambieni mgombea wenu kauli nyingine anafikiri kuna mtu anambomoa kumbe anajibomoa mwenyewe
Kwa hiyo Lissu amekiri yeye ni msaliti na ndio alikuwa ana wasiliana na mabeberu kusaliti nchi?
Mungu hajamponya Lissu kwa bahati mbaya. Mwaka huu damu ya Lissu lazima iondoke na mtuWewe na baba yako wote ni takataka msiyejua thamani ya mtu, kuna funzo litakuja kukufunza katika maisha yako ndo utajua uchungu waliopitia familia ya lisu.
Serikali angalau imeshaanza kulipwa na hao wa makanikia, 300 billion, ya wezekana baadaye aliona umuhimu wa kuwa mzalendo na sema ya wezekana. Hujui anamchango gani katika kutoa ushirikiano, tulio waamini watuongoze wanajua zaidi na ndio maana walijiridhisha wakampitisha. Oengine huko mbeleni atasaidia Taifa zaidi maana angalau anajua mbinu za mabeberu walivyokuwa wanatuibia.
Na huyu ni mfano mzuri wa kuonesha ulaghai wa Lissu. Hapa kakupata hata wewe maana kamgusia tu akaachia hewani.
Mkuu nao kule kwa Trend ya utabiri wa Nyani Ngabu kuhusu lidubwashwa umekula kona imekuja huku kusema yale maneno yako ya chuki dhidi ya Mwana wa Adam mwenzioTundu Lisu kaadhibiwa na Mungu, some punishment is just, na bado, ...
Kwani muhusika aliyepigwa risasi siyupo muanze na yeye halafu tafuteni zile cc TV camera mulizo ziondoa halafu watafuteni wale askari wa zamu mulio waondoaTunamtaka dereva wa Tundu Lissu ili tuuanze uchunguzi rasmi, kwa nini dereva anafichwa?
Kama vile ilivojulikana mama ako kumpokelea mahari ya jogooNi nyie nyie chadema ndo mlimpiga Lissu risasi. ipo siku itajulikana. Tubuni
Yuko humu humu na kwenye post hii kasema et Lissu aliadhibiwa na Mungu
Kwani simumepewa milioni 50 kila kijijiTunataka sera atasaidiaje wakulima, machinga, wasomi, wajiriwa,viwanda,uchumi,siasa ,elimu ,aachane na mambo ya risasi
Ile video haikuendelea lakini pale mwanzo lisu wakati ananza kuongea lisu alisema turudi kwenye hotuba ya rais 'rais anasema Na Yule mpiga kelele ashughulikiwe ambaye ni mh Lissu mpigania madini nchi hii.Angalia hata walio kuwa wakimsikiliza kulikuwa na hisia mchanganyiko. Wanafiki ndio wakionesha kuguswa na wengine kumshangaa kumbe wewe umsaliti na unauthubutu wa kujitangaza hadharani kama ulichokuwa unakifanya ni kitendo cha kujivunia!
soma tena vizuri mkuu, uelewe.Swali langu kwa Tundu Lisu, je yeye ndio alikuwa anawasiliana na hao mabeberu kuwapa taarifa nyeti alizoiba toka selikalini na kuisaliti nchi..?
Kama jibu ni ndio, kama kweli alikuwa anafanya hivyo basi hastaili kuishi kabisa.
Dereva je? Anarudi lini maana yule ndo alishuhudia kila kitu.Ndiyo hivyo tena.
Huyo Tundu Lissu ana "guts" hadi anadiriki kutoa tuhuma nzito kiasi hicho kwa mkuu wa nchi!.
Amewaachia mpira huo waucheze Jeshi letu la Polisi, waliokuwa wanadai kwa muda mrefu kuwa uchunguzi wao utaendelea pale Tundu Lissu atakaporejea nchini na ndiyo hivyo kesharejea na ameamua kuyaweka hadharani mambo yote yaliyomtokea!
Lumumba mbona wagumu kuelewa mnavuta Bangi ya wapiSijaelewa, kwahiyo anaomba kuchaguliwa sababu alipigwa risasi? Yeye ni wakwanza kupigwa risasi? Tumeshuhudia hadi askari wakipigwa risasi sembuse yeye? Atupe sera ataifanyia nn TZ sio blah blah.
Utawala wa kifashistiMtindo huu mmeutoa wapi nyie mashetani. Mnafanya jaribio la mauaji lililoshindwa then mnasingizia mabeberu, Mnachoma ofisi za upinzani mnasema wamechoma wenyewe. Utawala gani huu wenye element za ki ibilisi. Nawachukia mno.
Tulia wewe. Hii kesi haijafa, watu wana akili zao timamu. Wanasubiria muda muafaka tu.Hakika mkuu
Lazima ieleweke kuwa kwa Jeshi letu la Polisi kushikwa na "kigugumizi" kuendelea na uchunguzi, lazima watu walioko kwenye "system" ndiyo "main suspects"
Adhabu ya msaliti siyo mahakamani.
Yanini kupoteza muda wote huo?
Tulia wewe. Hii kesi haijafa, watu wana akili zao timamu. Wanasubiria muda muafaka tu.
Hata Lissu alikua ana uwezo wa kwenda kufungua mashitaka ya shambulio dhidi yake. Jiulize why hajafanya hivyo, badala yake kakimbilia kuchukua fomu ya urais. Haya mambo ni mazito, mtakuja kubaki midomo wazi.