Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Tafuta pesa ule maisha na watoto wakali kama viongozi wako wewe, achana na ujira wa Lumumba utakusababishia njaa hadi siku unaondoka hapa dunianiAcha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
🤣🤣🤣🤣🤣Tafuta pesa ule maisha na watoto wakali kama viongozi wako wewe, achana na ujira wa Lumumba utakusababishia njaa hadi siku unaondoka hapa duniani
View attachment 2743636
Yule yuko pale kimkakati tu kuwatoa watanzania kwenye relikumbe yule mpiga-dili wa DP World katupiga kamba?
Mi najiuliza tu ikiwa hao ndiyo watetezi wake siku tukimpa nchi si itakuwa afadhali ya hapa tulipo?Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Tiririoni 400 uliziona? Makinikia haitoki? Kesi kadhaa za kampuni za madini dhidi yetu tumeshinda? Manufaa ya asilimia 50 kwa 50 ya kampuni ya Twiga umeyaona kwenye ripoti ya CAG?Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
ANAJUA TARATIBU NA SIO MATANGO PORI TULIYOKUWA TUNALISWA. YEYE ANAONGELEA KWA UELEDI WA KISHERIAKinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Hakufanyiwa Lowasa peke yake Bali wapiga kuraLowasa alikula alichopanda. Alikuwa anategemea ushindi kupitia Katiba na Tumble mbovu. Ccm walichomfanyia mpaka leo hajakaa sawa
Ila hushangai huna Noah mpaka leo!!Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
HaikuhusuUmeshampa vingaoi hadi sasa hapo? Hawana hela mbona hutafuti zako?
Hili sio jukwaa lako utatutafutia ban bure!Haikuhusu
Usipotaka ban niacheHili sio jukwaa lako utatutafutia ban bure!
Point?Binafsi Mimi miongoni mwa wanao mkubari mama 90% na choomba mama sela yake ya kugeuza magereza kua vyuo vya ufundi na walimu kutoka Veta na ujenzi wa Veta Kila Kijiji Hayo mambo mengine yakuzidi kutuaminisha watanzania Wote tumeguswa na swala la Bandari sio kweli kwa sababu Ifike mahali Sasa Tumuunge mkono raisi wetu kwa kuhakikisha Watanzania Tunakua na taluma na sio Ubabaishaji.
Haina ubishiLissu ni shujaa
Laana ya milele iwaandame wao na vizazi vyao katika maisha yao yote yaliyosalia hapa duniani , Amina[emoji419][emoji375]Nachukua nafasi hii kutangaza kuwadharau watu wote walioshiriki kuhujumu Jambo Tv Online ili ishindwe kuripoti Mkutano Kabambe wa Tundu Ole Lissu alipowahutubia Wamasai, ambao ni wahanga wa kuhamishwa kwenye maeneo yao huko Ngorongoro
Laana ya milele iwaandame wao na vizazi vyao katika maisha yao yote yaliyosalia hapa duniani , Amina
Siasa hizi za kishamba zilizopitwa na Wakati , hazina nafasi tena kwenye nchi hii , tupingane kwa hoja .
AmeenLaana ya milele iwaandame wao na vizazi vyao katika maisha yao yote yaliyosalia hapa duniani , Amina[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
AmenLaana ya milele iwaandame wao na vizazi vyao katika maisha yao yote yaliyosalia hapa duniani , Amina[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app