Ualimu ngazi ipi waliofeli wanasomea?
Pia haujui wale walikuwa wanafaulu vizuri darasa la saba ndo walikuwa wanakwenda form one,waliofaulu wastani walikuwa wanakwenda ualimu.Hata secondary hivyo hivyo wanaofaulu wastani wanakwenda ualimu,wanaofaulu vizuri wanakwenda A level.A level hivyo hivyo.
 
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Nadhani watakuwa wanarejeshwa dar ili waje wapumzike kidogo.
 
TL, Ni mchonganishi na mchochezi anajaribu kuichonganisha serekali na wananchi, huyu ni mtu hatari sana na wa kuogopa kama ukoma,
Naishauri serekali yangu na nimekuwa nikishauri kila wakati, kwamba kila jambo liwe na wakati wake ndio maana kuna wakati wa kula, wakati wa kulala, masaa ya kazi nakadhalika,
HIVYO HATA HIZI SIASA ZIWE NA NYAKATI ZAKE, MIEZI MITATU KABLA YA CHAGUZI HUSIKA, AU KWA CHAGUZI ZA WABUNGE NA URAISI IWE MIEZI SITA KABLA YA UCHAGUZI HUSIKA.
-Hili lisipowekwa mapema wanasiasa watatuletea matatizo na hatutafanya kazi kila siku tutakuwa mbio mbio, kazi hazitafanyika miradi haita kwenda, wajinga watakuwa wanawachangia wanasiasa, wanasiasa mambo yao ya dezodezo yatakuwa yanakwenda mtaji mdomo wako! -
 
Mkuu,

Watu weusi wame laanika

Malipo ya kuwapigania watu weusi ni kifo.

Yani ni afadhali kumpigania nyoka [emoji216] kuliko mtu mweusi mwafrika.
 
Tundu Lissu alisema maridhiano yaani zile 4Rs hakuna tena, hivyo sasa hivi CHADEMA hawayajui maongezi yoyote na CCM, so kila mtu atumie nguvu zake, kwa maana nyingine ukifute zile 4Rs hakuna pia mikutano ya hadhara..
 
Jana nilimshangaa sana Mh.Tundu Lissu kutaka kuforce mambo. Nilitarajia kama mwanasheria wa Mazingira angekaua mstari wa mbele kuelimisha jamii kuhusu utunzaji wa hifadhi yetu dhidi ya ongezeko la watu.
CHADEMA kuna mambo inabidi Tue makini sana,bila hivyo tutakuja kupata aibu kubwa
 
Sisi watu wa chini tunamuelewa lissu zaidi kuliko ccm. Hata mtulazimishe vipi ccm hapana.
 
Lissu alienda kwa ajili ya shughuli za kisiasa, hakwenda Ngorongoro kuwahesabu nyumbu au waarabu wa mama yenu, polisi walitakiwa kumuacha afanye kilichompeleka kwasababu hakuvunja sheria yoyote ya nchi, wao polisi ndio wahuni.
 
Sisi watu wa chini tunamuelewa lissu zaidi kuliko ccm. Hata mtulazimishe vipi ccm hapana.
Sio kweli,ni kua mmejazana mihemko tu basi. Ata ndani ya CHADEMA wengi atuelewi anachokifanya asa ili la Ngongoro.
 
Hivi mbona serikali inatumia nguvu kubwa sana...
 
Wakati mwingine tunashindwa kuona na kusema kweli kisa tumejivika gunia la upofu. Sehemu ila ata wakati wa Kampeini tunafanya za door to door campaign basi.
Lissu alienda kwa ajili ya shughuli za kisiasa, hakwenda Ngorongoro kuwahesabu nyumbu au waarabu wa mama yenu, polisi walitakiwa kunuacha afanye kilichompeleka kwasababu hakuvunja sheria yoyote ya nchi, wao polisi ndio wahuni.
 
Kawaite tec wasome waraka wakuipangia serekali tuna mabaraza mawili tu tec na binge ndiowanaisimamia serekali au unaongeza latatu nachadema?
 
Polisi wanapokea maagizo, wasipo fanya kama walivyo agizwa ni uhaini na watafukuzwa kazi lakini pia hata kifungo:
Kwa wapenda Demokrasia wasilaumu Polisi, walaumu mfumo[hapa mnanielewa].

Polisi wetu ni wasomi na wnaelewa sana wanachofanya, ila hawawezi kukaidi amri toka "sehemu za juu".

Nawashauri muendelee kuomba Mungu aamulie huu ugomvi kama alivyo amulia kipindi kile cha "vyuma"
 
Nakubaliana na wewe kwamba Masai waliokuwepo Zamani na sasa ni tofauti na wameongezeka pia ila nimeuliza swali kuwa hiyo athari ya kimazingira inaikumba tu Twamzania na sio nchi zingine while Kenya Wamasai wao wakizidi kuwepo sehemu hizo na wakiongezeka same amount as it is Sometimes tufanye reseach sio tusubiri kuambiwa tuseme nini na waliopo juu yetu...

NB: maneno niliyokosea kuyaandika Sijakosea nimefanya Sarcasm makusudi ili maana halisi ya neno niwe nalo lisitumike against me (Law's mogul)
 
Sio kweli,ni kua mmejazana mihemko tu basi. Ata ndani ya CHADEMA wengi atuelewi anachokifanya asa ili la Ngongoro.
Wewe ni mpumbavu! Kama hujui historia ya ngorongoro toka enzi za mwinyi baba basi huna moral authority ya kusema lolote. Tambua kwamba kila rais akija mzanzibari anataka kuwapa waarabu ngorongoro kwanini?
 
Sio kweli,ni kua mmejazana mihemko tu basi. Ata ndani ya CHADEMA wengi atuelewi anachokifanya asa ili la Ngongoro.
Uko CHADEMA kimakosa,ingia CHAMATA(CHAMA CHA MACHAWA).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…