dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
safi sana, Mama anazidi kuiponya nchi barabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashangaa nini si nyinyi ndio mnatoaka huyo Maza aende hard kwa Wapinzani asifuate sheria na katiba ya nchi.
Shetani hajawahi kumshinda MunguKuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu na walinzi wake wote, Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge, Suzan Kiwanga na Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Hamna Serikali yoyote ambayo inaweza kuruhusu kundi au mtu flani asitii sheria za nchi.Ata tungekua sisi CHADEMA ndiyo tupo Ikulu tusingeweza kuruhusu mambo ya hivyo ya hivyo.Kwenye nchi za watu weusi inataka moyo wa chuma kutetea raia wake ambao kimsingi hata hawaelewi haki zao na faida ya mwanaharakati kama tundu lissu, freeman Aikaeli, John pambalu, twaha mwaipaya na wengine wengi.. Itafika wakati mapinduzi yafanywe na wachache tu tukitegemea watanzania waandamane kudai haki hapo hatutaweza
Kifuatacho ni Chama kuandaa mbinu kabambe za kukabiliana na ccm pasipo nguvu ya umma maana umma wenyewe hawana meno ndio maana serikali inajitafunia nchi inavyotaka.. Tundu lissu inabidi ajuwe kuwa hao anaowatetea ndohaohao wakishapewa ardhi ya ngorongoro watamshukuru Samia Kwa kuwaacha waendelee kuishi ndani ya hifadhi kuliko lissu aliepambana kuwatetea
Hakuna aliye juu ya sheria mkuu.Eh kwahy walinzi wa Lissu wameshindwa kufanya kazi yao ya kumlinda Mheshimiwa.? Sasa umuhimu wao uko wapi 😂
Una umri Gani?Naamini kuwa , na ninajua kuwa kabla sijafikisha miaka 50 tutakuwa tushaongozwa na jeshi ., kwangu itakuwa furaha na hakika nitaingia kwenye system kama kiongozi mkubwa .
Nimeandika leo tarehe 10/09/2023 naomba nikumbushwe siku ikifika .
Weekend hii nipo nakunywa supu baada ya purukushani za usiku , sasa wewe nichukulie serious nikung'oe meno
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ongezea MAMA NI MWANADEMOKRASIA NA MWANADIPLOMASIA MZURI SANA! 😊👍🏾Mama anafanikisha
Mama anaunganisha nchi
Mama anaponya
4R's za mama zinafanya kazi
Chadema ni magaidi
Alisikika chawa mmoja hivii
Naikosa 50 kwa miaka 20 ijayo mkuuUna umri Gani?
Nakubali sana kiongozi sana! Usinisahau kwenye Cabinet hata kacheo uchwara, siku nitakufata na kukunong'oneza "MIMI NDO HOHEHAHE, YULE MSELA MAVI KULE JF!..." NAKUPA TANO UNANIPA TEUZI, TUNAONGOZA NCHI KWA MISINGI NA TARATIBU 😅👍🏾Naamini kuwa , na ninajua kuwa kabla sijafikisha miaka 50 tutakuwa tushaongozwa na jeshi ., kwangu itakuwa furaha na hakika nitaingia kwenye system kama kiongozi mkubwa .
Nimeandika leo tarehe 10/09/2023 naomba nikumbushwe siku ikifika .
Weekend hii nipo nakunywa supu baada ya purukushani za usiku , sasa wewe nichukulie serious nikung'oe meno
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu na walinzi wake wote, Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge, Suzan Kiwanga na Mwandishi wa Jambo TV (Oscar). Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826