Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.

Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.

UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu na walinzi wake wote, Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge, Suzan Kiwanga na Mwandishi wa Jambo TV (Oscar). Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826

Mwanzo wa ngoma ni lele. Watabana lakini wataachia. Tuendelee kupaza sauti. Kama vipi tuanze kuhamasishana nchi nzima kuanzia Chadema matawini.

Updates mfululizo zitatosha kuwapa utambulisho wa dhamira zetu safari hii.
 
Sababu za kukamatwa ni zipi?? Mbona hii nchi inamambo ya ajabu ajabu. Kweli wa Afrika tunalaana hasa hawa polisi hizi kazi ni za laana hawa majamaa wamelaaniwa sio bure. Anatokea mzalendo (Tundu lissu) kuwatetea haki zao na maslahi yao dhidi ya mafisadi ccm halafu wanamkamata sasa hao wanatofauti gani manyani wasiojielewa ukiangalia maisha yao ya shida, familia zao zinaishi maisha magumu lakini bado wanakaza fuvu njaa njaa zimewajaa
 
Eti watu wansema Mwamedi alilala na mtoto wa miaka 9 na hakukamatwa ni kwa nini?
Sheria za Dunia ya leo ni tofauti kabisa na Sheria za kale miaka ya nyuma hiyo ilikuwa ni normal.

Hadi miaka 90 Makabila mengi ya Kiafrika yalikuwa yanaoa Watoto wadogo.

Hata sasa kuna baadhi ya Makabila ya Kiafrika yanayoamini kwenye Vodoon huwa yanawatoa Wasichana wadogo kafara kwa kuwauwa.
 
Mkuu,
"Hili nalo wakalitizame"
Upo top unaongea lugha za kunywea kahawa unategemea watu wataacha kukupiga.?
Sikiliza hotuba za mama Rais, anaweza akawa anacho zungumza sicho ana maanisha.. ila waliopale juu wanafata kile asicho maanisha ndio shida hapo.. Kama taifa na watendaji wake, sanaa ya kutafsiri kauli za viongozi wenye mamlaka ya juu kabisa, bado sana.. Kiongozi anaweza sema nyeusi kumbe ana maanisha pink
 
Zipo taarifa kwamba mh lissu kakamatwa, huu ni uonevu ,tutaonewa mpaka lini, tumechoka na unyanyasaji
Itisha kikao cha dharula cha kamati kuu,

Toeni tamko kwa nchi nzima tujue tufanye nini inatosha

Thanks
Hao badala ya kufanya siasa wamegeuka kua wanaharakati wakudandia matukio na kuchonganisha serikali na raia, sisi upinzani hatujui siasa,....tumeshindwa kujenga grassroot ofisi za chama na kufungua matawi kwa kuuza philosophy za chama tunatafuta umaharufu kupitia matukio mbali mbali.
Kuna haja ya kupata chama cha siasa ambacho kinaweza kujenga sera mbadala ya chama tawala sio kupunga kila jambo bila kuonyesha mbadala wake, Lissu amakua mwanaharakati sio mwana siasa tena bora angefungua NGO ya kutetea hakati zake, kama ni mazingira au haki za binaadamu ili ajulikane iko wapi.
 
Zipo taarifa kwamba mh lissu kakamatwa, huu ni uonevu ,tutaonewa mpaka lini, tumechoka na unyanyasaji
Itisha kikao cha dharula cha kamati kuu,

Toeni tamko kwa nchi nzima tujue tufanye nini inatosha

Thanks
Vijana under pambalu amkeni!!!
 
Eti watu wansema Mwamedi alilala na mtoto wa miaka 9 na hakukamatwa ni kwa nini?
Ikiwa unaamini uzushi huo utakuwa na uwalakini kichwani kiongozi. We unaweza kumgonga mtoto wa miaka tisa (9)...?!?! Inaingia akilini?!?! Uume wako unaingia pale?!?!
 
Back
Top Bottom