Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Ukitaka kujua mchawi Sio kuwanga tu usiku lakini hata kauli kama hizi ni za kichawi 🤔cc.@faizafoxNilitaka kushangaa wanamuachaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kujua mchawi Sio kuwanga tu usiku lakini hata kauli kama hizi ni za kichawi 🤔cc.@faizafoxNilitaka kushangaa wanamuachaje
Amekamatwa umeme kwenu haukati?Hiyo ndiyo faida yake, anashindwa kuachana na siasa akaishi na familia yake,
Shoga Hilo achana nalo.Ukitaka kujua mchawi Sio kuwanga tu usiku lakini hata kauli kama hizi ni za kichawi 🤔cc.@faizafox
Huyo na wajinga wenzie mara zote hung'ang'ania waone ofisi nzuri tu wakati vichwani mwao hawana akili.Unavaa suti nzuri wakati una ukoma!Usi
Usichokijua ni kwamba mwanasiasa anayejielewa ni zaid ya mwanaharakati
Ahaha kumbe vip wewe sio mchawi?Ukitaka kujua mchawi Sio kuwanga tu usiku lakini hata kauli kama hizi ni za kichawi 🤔cc.@faizafox
Wapuuzi hawa. Wanachofanya Watawala na Polisi ni Uhayawani wa kujivua nguo na kuinama ili tuone ni nani kati yao una uwazi mkubwaKama ni kweli, basi hakutakuwa na jipya. Tutakuwa tunaendelea kushuhudia uhayawani wa watawala.
Hayo huwa yanatokea wakati waovu na wavunjaji wa sheria na katiba wanapopewa kazi ya kusimamia utiifu wa sheria na katiba.
Una elimu gani!?Hao badala ya kufanya siasa wamegeuka kua wanaharakati wakudandia matukio na kuchonganisha serikali na raia, sisi upinzani hatujui siasa,....tumeshindwa kujenga grassroot ofisi za chama na kufungua matawi kwa kuuza philosophy za chama tunatafuta umaharufu kupitia matukio mbali mbali.
Kuna haja ya kupata chama cha siasa ambacho kinaweza kujenga sera mbadala ya chama tawala sio kupunga kila jambo bila kuonyesha mbadala wake, Lissu amakua mwanaharakati sio mwana siasa tena bora angefungua NGO ya kutetea hakati zake, kama ni mazingira au haki za binaadamu ili ajulikane iko wapi.
Kuna mmoja namjua... Uchawa ulimfikisha ofisi ya Makamu wa rais. Sasa hivi ni Administrative Officer. Famasiala nini 😂👍🏾🙌🏾Hujakutana na vijana wa UDOSO mkuu au kwasababu akili za kuandika hawana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ualimu ngazi ipi waliofeli wanasomea?Ndo maana waliofeli form four ndo walijiunga Upolisi.Nyerere alikuwa na agenja kwa kweli.Imagine waliofeli ndo walikwenda Kusomea upolisi na ualimu. Nyerere hivi ulijua utaishi milele hadi kutuharibu namna hii ,kufanya ujinga uwe kizazi baada ya kizazi.
Kumbe kwenda ngorongoro kufanya siasa ni jinai? Sasa huyo mbunge wao alifanyia siasa kwenye matako ya baba ako au. Stupid you idiotHamna Serikali yoyote ambayo inaweza kuruhusu kundi au mtu flani asitii sheria za nchi.Ata tungekua sisi CHADEMA ndiyo tupo Ikulu tusingeweza kuruhusu mambo ya hivyo ya hivyo.
Darasa la saba mkuu, naomba unielekeze tu. Kihoja pia.Una elimu gani!?
Kuanzia msingi mpaka chuo kikuu,mfano HKL alipata div one ndo atapata chance urahisi kusoma Law.,aliepata division 3 atapata nafasi kiurahisi kusomea Education.Ualimu ngazi ipi waliofeli wanasomea?
Key board woriazi ....sa watz tutafanya nini sisi 😁 labda tuwaombe wanawake wa Irani huko waje kutusaidia, sisi vita yetu ni kwenye key boardsZipo taarifa kwamba mh lissu kakamatwa, huu ni uonevu ,tutaonewa mpaka lini, tumechoka na unyanyasaji
Itisha kikao cha dharula cha kamati kuu,
Toeni tamko kwa nchi nzima tujue tufanye nini inatosha
Thanks
Umeongea point kubwa sana...Kwenye nchi za watu weusi inataka moyo wa chuma kutetea raia wake ambao kimsingi hata hawaelewi haki zao na faida ya mwanaharakati kama tundu lissu, freeman Aikaeli, John pambalu, twaha mwaipaya na wengine wengi.. Itafika wakati mapinduzi yafanywe na wachache tu tukitegemea watanzania waandamane kudai haki hapo hatutaweza
Kifuatacho ni Chama kuandaa mbinu kabambe za kukabiliana na ccm pasipo nguvu ya umma maana umma wenyewe hawana meno ndio maana serikali inajitafunia nchi inavyotaka.. Tundu lissu inabidi ajuwe kuwa hao anaowatetea ndohaohao wakishapewa ardhi ya ngorongoro watamshukuru Samia Kwa kuwaacha waendelee kuishi ndani ya hifadhi kuliko lissu aliepambana kuwatetea
Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
Kukichwa kutapambazukaKuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.