USICHELEWE
Senior Member
- Jul 17, 2023
- 103
- 181
JISHUGHULISHE NA MASUALA YOOOOTE, LAKINI SIASA NA MADAWA YA
K
U
L
E
V
Y
A.
K
U
L
E
V
Y
A.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kuna ganzi ya kafara la kukimbiza motoKenya wamewezaje? Huwezi kumkamata Odinga nchi ikabaki salama
Huyu aachiwe 2028 🤣🤣🤣Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
View attachment 2744848
Samwel Welwel
MrundiKwani we ni mtanzania au mrundi
Wanajifanyaga hamnazo 🤣🤣🤣🤣Mama anafanikisha
Mama anaunganisha nchi
Mama anaponya
4R's za mama zinafanya kazi
Chadema ni magaidi
Alisikika chawa mmoja hivii
Kuna tofauti kati mwanaharakati na mwana siasa, activist vs politicians. Neenda akajifunze hao watu ni tofauti sana, hapa Tanzania tuna activists sio wanasiasa tena.Wewe kweli alfu lela ulela? Yaani ulichokiandika hapa ndiyo unaita siasa?
Aliyewaharibu ni huyo aliyewafundisheni habari za siasa na uana harakati.
Sababu yeye mwenyewe uwezo wake uligotea mahala.
Hakuna siasa isiyo na harakati. Msipende kukariri vitu kama vile mmekatazwa kutumia akili zenu. Jambo lolote lile, iwe dini, siasa, Taaluma au kingine chochote kile ili kuweza kukieneza kinahitaji harakati.
Amka wewe Lisu katiwa Mbaroni utajikojolea 😆😆😆😆Naamini kuwa , na ninajua kuwa kabla sijafikisha miaka 50 tutakuwa tushaongozwa na jeshi ., kwangu itakuwa furaha na hakika nitaingia kwenye system kama kiongozi mkubwa .
Nimeandika leo tarehe 10/09/2023 naomba nikumbushwe siku ikifika .
Weekend hii nipo nakunywa supu baada ya purukushani za usiku , sasa wewe nichukulie serious nikung'oe meno
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hapo sawa. Siku nikija hapo kwenu manyovu nitakukamata nikurudishe kwenuMrundi
Matusi hayahusiani na ngozi ngumu,hujiulizi mbona Mbowe na Mnyika na wengine Huwa hawakamatwi isipokuwa huyu mtukutu? Apewe adabu zake.Mama alisema yeye ana ngozi ngumu sasa imekuaje ameshindwa kuvumilia spana za Kamanda Lissu.
Kwani ni mara ya kwanza kwa lisu kusulubiwa?Wanajifanyaga hamnazo 🤣🤣🤣🤣
Alisulubiwa Uhuru Kenyataa sembuse Lisu 🤣🤣🤣🤣
Alikimbia awamu ya Jiwe sasa atakaa huko ndani Hadi 2028Kwani ni mara ya kwanza kwa lisu kusulubiwa?
Nchi ya kidwanzi sana hii. Unamkamata mtu kisa kaenda Ngorongoro? Kwani hii siyo sehemu ya Tanzania?Sasa kama kweli, police wanatupanda kichwani, sababu za kukamatwa ni zipi, kama vipi kiwake nchi nzima
Mageuzi ya kisiasa Tanzania ni lazima na ni muhimu kwa maendeleo ya kizaz cha sasa na kijacho.... hili hakuna wa kulizuia[emoji419][emoji375]Mbona Lissu na CDM wanafanya siasa soft sana...
Hivi waliwahi msikiliza Wahackoya au Odinga?
Kama watu yawaitaki CCM hawaitaki...
Sehemu zote zenye resources nchi hii lazima CCM iwape wageni.... sasa Kuna jipya gani mtu akisema? Makosa yalifanywa na Mwinyi, Mkapa na JK... bunduki haizuii ukweli huo.
Suala la Ngorongoro ni kweli kwamba serikal haiondoi wala haibadilish ukweli huo.
Mageuzi ya kisiasa Tanzania ni lazima na ni muhimu kwa maendeleo ya kizaz cha sasa na kijacho.... hili hakuna wa kulizuia..
Lissu nitatazi la kupotea kwa Dalla mtaani baada ya kukamatwa dolla zitarudi mtaaniKuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
View attachment 2744848
Samwel Welwel