Soweto pale Mbeya walifunga barabara walimzomea Magufuli pia nenda kawaulize hata Leo Kama watarudia lile kosa.wengi wanajutia kile kitendo na waliapa kutorudia na wengi wamerudi CCMHao jamaa hawana adabu kabisa walithubutu kumzomea bwana magufuli 2015 hadi mzee wetu sauti ikamkauka.
haya mafuriko yalifuata sera na mgombea hakukonga nyoyo. ila safari hii mmekutana na jitu lenye hasira kama mnyama SimbaDuh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Sio Kweli nenda kasome upya Chukulia mikoa ya tabora,shinyanga,mwanza , Geita,Kagera Ruvuma,Arusha yenye population kubwa kuliko mikoa yote Tanzania chukua takwimu zake uoneWewe ni muongo 50 percent ya watanzania kwa sasa wanaishi mijini na hiyo no sense ya mwaka 2012
Mwaka huu wanaweza kuwa kama 65 percent.
CCM jiandaeni tu tu kuwa kambi rasmi ya upinzaniKuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
Hahaha! Umenikumbusha mzee white hair. Ila 2015 yule mzee alisumbua, ccm hadi wakaunda team ya watu 50 kupambana naye. And hata alikuwa haongei wala kubishana nao. Ila huyu wa mwaka huu ndio kiboko yao, mzee wa piga nikupige.Duh haya si mapenzi bali ni mahaba.
Angekuwa na uwezo angeigawa Zambia hii tunduma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunduma kati ya sehemu ambazo Ngosha anazichukia Sana.
aiseeeh ccm kwaheriii
Kuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
Na huo ndo ukweli wenyewe ndugu!!kuna dalili zote CCM tutapoteza huu uchaguzi.
I blame it entirely on the idiotic and clueless MATAGA.
ona sasa, chama chetu kinaenda kuwa kama KANU na UNIP.... MATAGA hovyo kabisa!!
Kwa nini mkuu?Tunduma kati ya sehemu ambazo Ngosha anazichukia Sana.
Ni haki yako kujipa moyo. Ni vizuri muda huu mkautumia kufikiri ni kwa jinsi gani CCM kitakuwa Chama pinzani makiniDuh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Yaani mayala analysis yako lowassa Mzee aliyechoka, mgonjwa hawezi kuhutubia hata dakika mbili unamfananisha na lissu??? Kweli??Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
In your dreamskuna dalili zote CCM tutapoteza huu uchaguzi.
I blame it entirely on the idiotic and clueless MATAGA.
ona sasa, chama chetu kinaenda kuwa kama KANU na UNIP.... MATAGA hovyo kabisa!!
Siku zote siyo J3 acha kukariri, usiyempenda kaja...Kuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
Mpwilapwila kupozile bha TanzaniaKumwitu kumwitu! Mpozile bha kutunduma![emoji3]
Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Tunajua mtaani kwenu unapakatwa,utaacha lini?Tutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Kumwitu kumwitu! Mpozile bha kutunduma!😀
Tumekubaliana walioongoza kwa rushwa ndo wagombee.Mmeshamaliza uhakiki?
Shosti mambo vipi? 2020 wanawake tupige kazi.... We're tired of nonsenseNi Yeye2020