4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Sasa tusemeje , kama umri ule anabadilisha nywele , mbona Mzee warioba na mvi zake anapendaza , mzee Malichela je, mzee Msekwa n.k , anafanya haya kwa faida ya nani ? kama ni chama haya ni kidunia tu.Uliandika ukiwa serious?
Mwalim ambae ambae amefanya nae kazi ,mpaka anazikwa kichwa cheape, kuwa na mvi kwanza ni heshima ,kwa nini hataki wa sasa ?