zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Hakumchoma mbona Wenje alikubali alienda kwa Lissu ila kwa motive tofauti, na hilo la pesa za CCM mbona aliyaongea hadharani huko Iringa!! Haikuwa siri mpaka iwe kwa mtu mmoja tu.Lissu alimchoma Mjumbe mbele ya kamati Kuu. Huyu ndiye mnataka awe anapewa daily briefing kutoka kwa watu wetu wa kulinda nchi!!! Muelewe kuwa si Presidential Material huyu mtanzania Mwenzetu!
Wakati wa kutapika asisahau na Ile ajali iliyomuondoa Ndugu yetu Kamanda Wa Tanga jina limenitoka... alikuwa mbioni kugombea ubunge huko huko Tanga.Muda si mrefu kuna mtu atatapika yote aliyonayo moyoni.
Hii inatisha sana asee.Nilifikiri ni mimi ndio nilikuwa sijui kumbe siko peke yangu!
Hiki alichokisema Lissu kimenipa tafakuri nzito, naogopa!
Mbowe anakitambulisho chekundu msipoteze mdaNa inaonekana wazi sasa hawa CHADEMA wanashirikiana na serikali ya CCM kuwa-eliminate wapinzani wao- rejea kauli ya Dr. Slaa kwamba alilazimishwa kugombea- vinginevyo angeuawa.
Huyu Mbowe ni either ni Tutusa anayetumika tu ili mradi ugali uende kinywani au ni Mamluki wa usalama anayeshirikiana nao ili kukwamisha jitihada za wananchi kupata wanachokitaka.
Ukiunganisha doti za matukio yote, utagundua kwamba, ukombozi halisi wa mtanzania hautotoka kwa kupitia hivi vyama vya Saisa- Circumstantially ni Kama wana- collude ili kula mali za nchi Kwa namna yao.
Akitokea mtu anayewapinga, watamfanyia figisu hadi mauaji - Ila nao pia siku yao yaja- ndio maana ya ututusa wa kuwaondoa wengine mapema.
Tunapoelekea- watu watakosa imani na vyama vya siasa, watajichukulia sheria mikononi, tutakuwa Kama Somalia muda si mrefu.
CCM haiwezi poteza mvuto peke yako-lazima na CHADEMA pia ipoteze- huko walipo wanafurani Sana Kwa kinachoendelea huko CHADEMA na ndio maana mashabiki Kama tlatla na Lucas Mwashambwa wako hapa 24/7 wakimtetea Mbowe maana wanajua ugali unakaribia kumwagwa- mboga lazima ilindwe kwa gharama zote.. nafuu au ghali.
Kwanini unapepesa maneno kusema anafanya kazi na system?Lissu shikilia hapo hapo.
Mbowe NI mtu hatari Sana.
System ilipomkamata Kwa ugaidi haikuwa Bahati mbaya.
Mbowe ni gaidi na aliachiwa na system sababu ya ujinga wetu kujidai kujua kuliko system.
Mbowe ni Usalama"Mbowe Kapokea pesa za Abdul, mmojawapo wa watu wa CHADEMA aliyetoa hii Siri, anauliwa kinyama! na execution squad ya CCM! "
If it walks like duck, smells like a duck, then it's a duck.
Mbowe anatumika, ni compromised na CCM kuiua CHADEMA kutokea ndani, yupo kwenye payroll ya state,! Anafanya alichowahi kufanya Mabere Marando ndani ya NCCR Mageuzi.
Kama ni kweli na sio conspiracy theory,
Lissu ni mpango wa Mungu.Lissu atakuwa yuko kwenye hatari sana. Naelewa sasa kwanini aliomba ahakikishiwe usalama wake na aliomba ulinzi kwa serikali, sasa sishangai akivaa bullet proof vest.
Sababu ya kumuondoa Kibao inaweza kutumika hiyo hiyo kujaribu kumuondoa Lissu duniani.
Lissu ashukuru sana ana watu kwenye system wasiopendezwa na baadhi ya mambo kwa hiyo wanamtonya, vinginevyo ingekuwa balaa sana.Alivyovaa bullet proof kwa tahadhari, sie tukadhani kiki vile, kumbe kuna mengi mno yanaendelea nyuma ya pazia!
Sijaelewa mkuu. CHADEMA wanaweza kutoa amri askari waondolewe masaa kadhaa kabla ya Lissu kupigwa risasi? CHADEMA wanaweza kung'oa CCTV camera?Tukisema chadema ni chama cha wapumbavu muwe mnaelewa, joka linalowaua na kuwateka kila siku mnalo mnalilisha nyie halafu mnakaza mafuvu kuisingizia ccm. Code aliyosema mlopokaji wenu ni mazhombi pekee hawatamuelewa wataendelea ccm ccm ccm ccm.
Ina maana serikali ya ccm imeshindwa kuwabaini na kuwakamata watekaji waliopo Chadema.?!Tukisema chadema ni chama cha wapumbavu muwe mnaelewa, joka linalowaua na kuwateka kila siku mnalo mnalilisha nyie halafu mnakaza mafuvu kuisingizia ccm. Code aliyosema mlopokaji wenu ni mazhombi pekee hawatamuelewa wataendelea ccm ccm ccm ccm.
Ngoma bado mbichi hii. Lisu apewe Ulinzi jamaniMgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Na kitendo cha Mlaghai Mbowe kuzuia watu wasimzomee Masauni kwenye msiba wa Kibao kule Tanga kinaibua Maswali mengiNilikuwa najiuliza sana sababu za Mzee Kibao kufanyiwa unyama ule.
Kwanza nilikuwa hata sijasikia uwepo wa mtu kama huyo ndani ya CHADEMA; kwa sababu sikuwahi hata kusikia akitamka lolote hadharani.
Sasa majibu yame patikana.
asijekuwa yule mwarabu wa tangaMgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Umeanza kumjua Lissu kipindi cha Magufuli?Hii mikutano kuruhusiwa tumeona uzwazwa wa chakadomoz
Kesho utasikia Lissu yupo ccm
Njaa tupu
Kwa mujibu wa maelezo ya Lissu kifo cha Mzee Kibao kinaweza kuwa kinahusika ushahidi huo aliokuwa nao ndiyo maana mhusika mkuu alisema ni kifo kama vingine tu. Lissu amefumbua fumbo hili. Ndiyo maana Lissu alisema tofauti ni jinsia tu.Huyu mbowe ni zaidi ya mwenyekiti huyu anaweza kuwa ni muhusika wa matukio mabaya ya wanachadema.
Ukubali ukatae, Magufuli kavuruga sana demokrasia ya Tanzania.Kwani CHADEMA ilipokuwa na Wabunge 147 na madiwani zaidi ya 1,000 kulikuwa na Katiba Mpya?
Vijana wa Mbowe hopeless kabisa
Wewe ni mjinga ujueUkweli gani usio na ushahidi, revelations tu! Ndiyo maana nasema Lisu kuna nati imelegea kichwani. Clubhouse ameleta ushahidi gani, maneno tu! Amefanya submissions AND Submissions are not evidence
ISSA OMARI MAPESA VS. JUMANNE SEBARUA
Submissions are not evidence but information expounding on the general features of the party's case
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Mifumo iliyoshindwa Burkina Faso, Ivory Coast, Tunisia, Misri, Mali..Yaani nyie mnamdanganya sana Lissu duniani hapa huwezi kupingana na mfumo, na mfumo haujawahi shindwa ni swala la mda tu. Pia na waambia mabadiliko tunayo yataka hayawezi kuletwa na wanasiasi kamwe.