MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Katika hili aisee, huyu Mbowe wamrudishe tu gerezani akamalizie kesizake za ugaidi.Hahahaa.
Sicheki Lissu kupigwa risasi.
Nacheka tu jinsi narrative inavyoanza kubadilika kidogo kidogo.
Mwanzoni villain alikuwa Magufuli.
Sasa hivi kibao kimeanza kubadilika kidogo kidogo.
Muda si mrefu kuna mtu atatapika yote aliyonayo moyoni.
Ila kwa huu ufa ulioanza kujionyesha, CHADEMA haitokuwa tena kama ilivyokuwa zamani.
Hii CHADEMA ya sasa na ijayo, ni dhaifu sana.
Na kuhusu Mbowe, kuna watu humu walikuwa wanahoji sana ushiriki wake katika kupotea kwa Ben Saanane na kushambuliwa kwa Lissu.
Hiyo ilikuwa ni kipindi kile cha Magufuli.
Lakini kwa vile Magufuli ndo alikuwa villain kwa wakati huo, jaribio lolote lile la hata kuhoji tu uwezekano wa labda Mbowe alikuwa anajua zaidi kuhusu hayo matukio kuliko na alivyokuwa anaonekana, lilikumbwa na push back kali sana toka kwa makamanda.
Like, how dare you question our dear chairman! Mbowe ndiye aliyekodi ndege binafsi kum airlift Lissu kwenda Nairobi akiwa hajitambui.
Anywho, ngoja niendelee kuangalia hii ngoma iliyo inogile.
Ila idea ya kwamba sasa Mbowe ameanza kuwa villain, ni tamu kuliko cranberry sauce iliyopo kwenye menu ya kesho kwenye mlo wa Krismasi 🤣.
It will be sweet to watch what transpires.
Wewe ni lipumbavu sana!wapi kasema Samia anaupiga mwingi? Unajua kama siyo "maridhiano" hata mikutano ya vyama ingelikuwa bado imefungiwa? Kesi 400 plus zingelikuwa bado mahakamani, etc etc. Sema kuwa huo ni mwanzo.... bado mengi ya kufaya kuleta utawala bora, katiba mpya tume huru y uchaguzi etc etc.
NIKUULIZE: Lisu atamlazimishaje samia alete katiba mpya? Tume huru ya uchaguzi? naomba jibu. kwanini hajafanya leo na jana, mpaka awe mwenyekiti?
Mkuu, Chadema ilikufa siku Mbowe na huyo Lissu walivyokubali kumpokea Lowassa 2015. Haya mengine yote ni yatokanayo tu!!Lissu alimiminiwa risasi,Lissu huyo huyo alisaidiwa kwa kirefu kukodi ndege,kumsafirisha hadi Nairobi Kenya kwa matibabu na Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe.
Gharama za matibabu na mwenendo wa tiba hadi akatinga Belgium ni Mbowe.
Ikiwa Lissu anasema Mbowe ni prime suspect basi Chadema imekufa na kuzikwa juzi.
Mkuu, kwani haya mambo yameanza juzi? Hizi purukushani za mambo meusi ni za kitambo sana sana. Labda wewe mwenzetu ulikuwa nje ya nchi.Hivi kwanini Lissu ayaseme haya kipindi cha uchaguzi? Mimi nawaza sana hilo na ninagundua ni siasa tu hamna lolote ni kupotezeana mda tu na wajinga ndo waliwao
Niambie tofauti na mwaka 2024 nyeusi za CDM, Lissu alianza kuziongelea lini?Mkuu, kwani haya mambo yameanza juzi? Hizi purukushani za mambo meusi ni za kitambo sana sana. Labda wewe mwenzetu ulikuwa nje ya nchi.
Si ndio mnasema lisu mopokaji, unapopiga na mtu isionyrshe mbinu zote, toa moja mojaNingelipenda 'TALL' amwage ugali kabisa ili kila raia amege matonge kwa kadri anavyotaka.
Aina hii ya ulishi wa kutulisha matonge kidogo kidogo huku akipulizia, hatuwezi kushiba haraka.
Tuna njaa sana sisi bhana.
Mkuu, fuatilia kwa makini kila mtu anayemponda mwenyekiti anasema chanzo cha ugomvi na fitina na mafarakano yote haya ni suala la maridhiano yaliyobuma.Niambie tofauti na mwaka 2024 nyeusi za CDM, Lissu alianza kuziongelea lini?
Mikutano ya vyama, na kesi za kutunga hazihitaji maridhiano.wapi kasema Samia anaupiga mwingi? Unajua kama siyo "maridhiano" hata mikutano ya vyama ingelikuwa bado imefungiwa? Kesi 400 plus zingelikuwa bado mahakamani, etc etc. Sema kuwa huo ni mwanzo.... bado mengi ya kufaya kuleta utawala bora, katiba mpya tume huru y uchaguzi etc etc.
NIKUULIZE: Lisu atamlazimishaje samia alete katiba mpya? Tume huru ya uchaguzi? naomba jibu. kwanini hajafanya leo na jana, mpaka awe mwenyekiti?
KWANINI IWE SASA...Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
HAMNA KITU...Angesema kabla ingesaidia sana.Lissu aendelee KURUSHA MAKOMBORA tu, ili hila zote za hawa matapeli wa siasa ziwekwe wazi. Wakati wa Mungu ukifika hakuna wakuzuia tena.
Ni mawazo yako, kila mtu ana maoni yakeHuyu Mbowe huyu, atawa maliza, na sasa ana shirikiana na Mama Abdul , upelelezi una yeyuka tu. Frankly speaking tuna mhitaji Lissu. Mtu ambae hakwenda shule na ame bahatika kupata hiki Chama kupiga pesa, chochote ana kumaliza.
Huenda ndio Mbowe mwenyewe huyo, anajaribu kutupoteza maboyaHivi we jamaa umedata?
Kwanini isemwe sasa.......Mmmm nahisi ni Mzee Kibao huyo! Kuna uwezekano system na Mwenyekiti ilikuwa na one mission!
Kwa ujumla Mbowe anawafanyia futuristic wanachama huku anakula kwa mrija!
Ni suala la muda tu wataanza kumuomba radhi Magufuli.Hilo jamaa litakuwa ndio li Yericko Nyerere.
.
Imagine leo hii ndio linamuita Lisu kachanganyikiwa!
..
Makamanda wana hali mbaya sana. Laana ya Magufuli inawatafuna