Hahahaa.
Sicheki Lissu kupigwa risasi.
Nacheka tu jinsi narrative inavyoanza kubadilika kidogo kidogo.
Mwanzoni villain alikuwa Magufuli.
Sasa hivi kibao kimeanza kubadilika kidogo kidogo.
Muda si mrefu kuna mtu atatapika yote aliyonayo moyoni.
Ila kwa huu ufa ulioanza kujionyesha, CHADEMA haitokuwa tena kama ilivyokuwa zamani.
Hii CHADEMA ya sasa na ijayo, ni dhaifu sana.
Na kuhusu Mbowe, kuna watu humu walikuwa wanahoji sana ushiriki wake katika kupotea kwa Ben Saanane na kushambuliwa kwa Lissu.
Hiyo ilikuwa ni kipindi kile cha Magufuli.
Lakini kwa vile Magufuli ndo alikuwa villain kwa wakati huo, jaribio lolote lile la hata kuhoji tu uwezekano wa labda Mbowe alikuwa anajua zaidi kuhusu hayo matukio kuliko na alivyokuwa anaonekana, lilikumbwa na push back kali sana toka kwa makamanda.
Like, how dare you question our dear chairman! Mbowe ndiye aliyekodi ndege binafsi kum airlift Lissu kwenda Nairobi akiwa hajitambui.
Anywho, ngoja niendelee kuangalia hii ngoma iliyo inogile.
Ila idea ya kwamba sasa Mbowe ameanza kuwa villain, ni tamu kuliko cranberry sauce iliyopo kwenye menu ya kesho kwenye mlo wa Krismasi 🤣.
It will be sweet to watch what transpires.