wapi kasema Samia anaupiga mwingi? Unajua kama siyo "maridhiano" hata mikutano ya vyama ingelikuwa bado imefungiwa? Kesi 400 plus zingelikuwa bado mahakamani, etc etc. Sema kuwa huo ni mwanzo.... bado mengi ya kufaya kuleta utawala bora, katiba mpya tume huru y uchaguzi etc etc.Watu wanatekwa na kuuawa lakini Mbowe anasema mama anaupiga mwingi na maridhianao yan maana kubwa kwake,
Na inaonekana wazi sasa hawa CHADEMA wanashirikiana na serikali ya CCM kuwa-eliminate wapinzani wao- rejea kauli ya Dr. Slaa kwamba alilazimishwa kugombea- vinginevyo angeuawa.
Huyu Mbowe ni either ni Tutusa anayetumika tu ili mradi ugali uende kinywani au ni Mamluki wa usalama anayeshirikiana nao ili kukwamisha jitihada za wananchi kupata wanachokitaka.
Ukiunganisha doti za matukio yote, utagundua kwamba, ukombozi halisi wa mtanzania hautotoka kwa kupitia hivi vyama vya Saisa- Circumstantially ni Kama wana- collude ili kula mali za nchi Kwa namna yao.
Akitokea mtu anayewapinga, watamfanyia figisu hadi mauaji - Ila nao pia siku yao yaja- ndio maana ya ututusa wa kuwaondoa wengine mapema.
Tunapoelekea- watu watakosa imani na vyama vya siasa, watajichukulia sheria mikononi, tutakuwa Kama Somalia muda si mrefu.
CCM haiwezi poteza mvuto peke yako-lazima na CHADEMA pia ipoteze- huko walipo wanafurani Sana Kwa kinachoendelea huko CHADEMA na ndio maana mashabiki Kama tlatla na Lucas Mwashambwa wako hapa 24/7 wakimtetea Mbowe maana wanajua ugali unakaribia kumwagwa- mboga lazima ilindwe kwa gharama zote.. nafuu au ghali.
If it walks like duck 🦆 smells like a 🦆 then it’s a duck 🦆 ??!"Mbowe Kapokea pesa za Abdul, mmojawapo wa watu wa chadema aliyetoa hii Siri, anauliwa kinyama! na execution squad ya ccm! " If it walks like duck, smells like a duck, then it's a duck"Mbowe anatumika, ni compromised na ccm kuiua chadema kutokea ndani, yupo kwenye payroll ya state,! Anafsnya alichowahi kufanya Mabere Marando ndani ya Nccr mageuzi.
Kama ni kweli na sio conspiracy theory,
💯 correct !Ukitaka akili yako ijione haina akili basi kuwa mfuasi wa siasa za Afrika...
That’s it !Ngoja tusikie ukweli zaidi.
Ni muda wa ukweli sababu una tabia ya kuchelewa ila ukifika hauzuiliki.
Haahaa unatesekea ukiwa wapi mkuu? Utateswa na Hela za Abdul sanaUnaona Lisu alivyompuuzi....... leta vielelezo, si alikuachia? si alikupa ushidi? au alikwambia kwa maneno which is not evidence!
Anataka kuwapakazia walio kufa akijua hawatarudi!
Wewe na nani?😂😂Nyie ndiyo mmejua Leo? Haya sisi tuliyafahamu kitambo sana
Je Tangu mikutano ya Kisiasa iruhusiwe ni kwa namna gani Vyama vya Siasa Vimenufaika navyo [Rejea matokeo ya Uchaguz Serikali za Mitaa] . Hii ni danganya Toto!wapi kasema Samia anaupiga mwingi? Unajua kama siyo "maridhiano" hata mikutano ya vyama ingelikuwa bado imefungiwa? Kesi 400 plus zingelikuwa bado mahakamani, etc etc. Sema kuwa huo ni mwanzo.... bado mengi ya kufaya kuleta utawala bora, katiba mpya tume huru y uchaguzi etc etc.
NIKUULIZE: Lisu atamlazimishaje samia alete katiba mpya? Tume huru ya uchaguzi? naomba jibu. kwanini hajafanya leo na jana, mpaka awe mwenyekiti?
Huyu jamaa Hana mchezo na wizi, rushwa, ufisadi na uzandiki Kamlipua rafiki yake wenje mchana kweupe, huyu ndiye anafaa kuongoza chademaTAML kazua kasheshe,kazeze,mzozo,kizaazaa na zogo!
Hii mikutano kuruhusiwa tumeona uzwazwa wa chakadomozJe Tangu mikutano ya Kisiasa iruhusiwe ni kwa namna gani Vyama vya Siasa Vimenufaika navyo [Rejea matokeo ya Uchaguz Serikali za Mitaa] . Hii ni danganya Toto!
Unasema Kesi Zaidi ya 400 zimefutwa kwa sababu ya maridhiano, Tunaomba uweke ushaidi kama unavyotaka Tundu Lisu aweke ushaidi kwenye Kila kitu anachosema!
Kesi 400 Leta na weka ushaidi hapa.
Kuna uwongo mwingi mbowe alisema juzi, eti lissu kurejea nchini ni matunda ya maridhiano, wakati lissu alikutana na mama kabla ya maridhianoJe Tangu mikutano ya Kisiasa iruhusiwe ni kwa namna gani Vyama vya Siasa Vimenufaika navyo [Rejea matokeo ya Uchaguz Serikali za Mitaa] . Hii ni danganya Toto!
Unasema Kesi Zaidi ya 400 zimefutwa kwa sababu ya maridhiano, Tunaomba uweke ushaidi kama unavyotaka Tundu Lisu aweke ushaidi kwenye Kila kitu anachosema!
Kesi 400 Leta na weka ushaidi hapa.
Lazima aongee...Nawaambia Lissu ataongea, na bado!
Mkishamalizana hadi mifupa… mrudi tujenge nchiAliongea hayo kupitia ClubHouse ya SAUTI YA WATANZANIA.....
Huo sio uongoKuna uwongo mwingi mbowe alisema juzi, eti lissu kurejea nchini ni matunda ya maridhiano, wakati lissu alikutana na mama kabla ya maridhiano
Kuna mstari umeanza kuunga Dots sasa, kila kitu kitafichuka na kuwekwa hadharani.Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.
Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.
Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.