Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Kijana acha kuwa Moumbavu, Mikutano ni haki ya kikatiba, hizo kesi pia ni haki kikatiba, sio zawadi.
 
Daaah unaumiza sana
 
Bora mbowe anyamaze akianza kujibu tuhuma ni aibu, maana walikaa meza moja na kupanga matukio, leo lawama kwa Mbowe [emoji2][emoji2]
 

Awe makini, maana this time around mwenyekiti na wenzake hawawezi kurudia makosa tena.
 
Na vile Lissu ni mtaalam kwa kuyamwaga, hakika this time Mbowe ataachwa uchi, halafu itafikia stage Mbowe atashindwa namna ya kujitetea, poor him.

Dots are being connected and without doubt, he's been there, probably collaborating with the system. I wish JPM was alive.
 
Hahaha msala anatupiwa marehemu😂
 
💯%.

Leo hii wameanza kuchenjiana wao kwa wao huku wengine wakidondosha vidokezo kuwa Mbowe anahusika moja kwa moja na baadhi ya matukio.

Ipo siku watamuomba radhi Magufuli na Pengine hata kumpigia kampeni kwa Papa ili apate utakatifu.
Magufuli ndiye aliyeamuru Lissu kupigwa risasi. Na ndiye aliyeamuru Ben Saanane auawe. Wacha ufala.
 
Ni hatari sana.

.............Kuna yule jamaa wa Handeni kasoteshwa ndani ametoka hana sehemu ya kushika kumbe kuna Mwamba anapiga tu pesa nyuma yao.
 
Aiseee!

Ipo shida kubwa CHADEMA, naomba isiwe hivi ninavyofikiri.

Lakini, siasa za Tanzania ni hatari mno. Kama mtu anajijua hayuko tayari kuagana na nyonga ni vyema asijihusishe kabisa.
Umeongea sahihi. Mimi nimebakia mwanasiasa wa hapa JF tu sio nje ya hapo. Kuna mambo ukiyajua utatamani usingeyajua. CHADEMA na CCM sio sehemu za mzaha.
 
Hujazoea maisha ya kufichua uovu. Yale mazoea ya kufunika ujambazi wa kisiasa kwa kivuli cha SIRI ZA NDANI ni upofu mkubwa na kudhulumu haki za wengi
Hapo ndio tunapishana

Uovu hauko kwenye siasa na harakati tu…. Hadi kwenye utumishi, maisha ya kawaida na uwajibikaji kwa jamiii kuna mengi sana yanaibuliwa na kufanyiwa kazi

Dhuluma kubwa sana ni kuhodhi shida za watu for political gain or agenda… HAKUNA NCHI ILIYOJIKOMBOA KWA KUTUMIA MLANGO WA SIASA, NEVER!!!!!

Same painter who complaints on politics, unamkuta anachora picha ya watu wanaodhulumu soka la Tanzania kwa pesa

The worst thing that was ever introduced to us post colonial ni hizi siasa uchwarq

No wonder 2015 mliuza, 2025 mnauza and afterwards mnalaumu mnunuzi

Hizo tabia utazikuta kule kwetu umasaini au mbeya

You can think bigger than politics
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…