PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Ushahidi upo tayari mwambieni mama Zile kauli zake zimewafikia wenye dunia Yao ndiyo maana wameanza na Tigo Kwanza ili iwe rahisi kupata ushahidi kamili kumbuka kesi IPO London...tulieni wazungu wafanye yaoBado ana weweseka!
labda hujui classification vuta subra tulipo kazi inaendelea vizuriHuyu Lissu sio wakumuamini,mwanzo alisema magufuli Leo kasema Comred Makonda,huenda huyu jamaa kachanganyikiwa
Mwambie ukweli huyu pimbi hajielewi kabisa!Bado hajasema hadi mseme.
Ukweli mtupu!Hata Mwamposa ambaye watu wengi wanamuamini ni tapeli ndio maana anagawa platform kwa majambazi kama Makonda kudhihaki wachungaji wa Kanisa.
Jiwe alikuwa ni shetani mwenye umbo la kibinadamu.Bado ana weweseka!
Kama Tanzania imeingia mikataba ya Kimataifa na kuiridhia ikiwemo mikataba ihusuyo haki za binadamu kama lilivyotamkwa mwaka 1948. Hali kadhalika kama bill of rights tumekubali kuiweka katika katiba yetu na kwakua moja wapo ya haki za binadamu ni haki ya kuishi, na kwakua katika ahadi za mwanaccm moja wapo ni binadamu wote ni sawa. Ipo haja ya wewe kufundishwa kwamba hakuna kitu chochote kinachoweza kulinganishwa na uhai wa mtu. Hakuna mtu mwenye haki ya kuutwa uhai wa mtu kwa namna yoyote ile. Tusiposema na kukemea bayana kwamba kuua watu wasiokua na hatia ni kosa itakua jamhuri ya aina gani ambapo watu wanauana kama wanyama ati kisa tu tumetofautiana itikadi mtazamo au mawazo.Kwa hiyo tunaongelea Tindu Lissu tu. Hakuna kitu kingine? Hizo ndo sera za CDM?
Kwa tuhuma hz nzito kwa bashite bado amekalia ofisi ya uma? Tanpol fanya kz yenuMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara Tundu Lissu amezungumza hayo mbele ya wanahabari leo, Jumatano Septemba 25.2024, jijini Dar es Salaam
Kiongozi wa kikosi cha mauaji dhidi yangu mwaka 2017 alikuwa Paul Makonda. Aliwaongoza wauwaji walionipigia risasi 36 Dodoma.” - Tundu Lissu
"Shambulio dhidi yangu (shambulio la Tundu Lissu kupigwa risasi) limetokea katikati ya majengo ya serikali wanayokaa Mawaziri, Naibu Spika Tulika akson kwa wakati ule (sasa ni Spika wa Bunge), Waziri Harrison Mwakyembe (aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo), Waziri wa Nishati wa wakati ule yeye alikuwa anakaaa juu na mimi nilikuwa nakaa chini" -Lissu
"Katika majenho ambayo yana ulinzi na yanakaa wakubwa (viongozi wa juu/waandamizi) eneo hilo lilikuwa sio tu lina ulinzi masaa 24 bali lilikuwa vilevile na kamera za CCTV, na kama mtakumbuka baada ya shamhulio hilo aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma alikuwa anaitwa 'Mroto' alitangaza kuwa Polisi walikua wamepata ile picha za hiyo CCTV kamera iliyokuwa inatazama ile parking lot ambayo nilikuwa nimeshambuliwa" -Lissu
huyu wakili Lisu si sawa tu na yule wakili anaitwa sijui matrekta, ambae anabwekagabwekaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari akifikka mahakamani anatia huruma tu, hamna kitu, ndiyo sasa ya huyi kidomodomo anae ropokaropoka tu hapo, kwenye mambo ya msingi anaendekeza hisia ili aonewe huruma na jamii...Huwezi kusikia Tlaatlaah na yule chawa mwingine wakisema neno kwenye hili
Hii nchi inatia kinyaa sanaNa huyo Paul Makonda bado eti ni mkuu wa mkoa...nchi hii!
Lissu anajua anachofanya, Wewe ndio hujui.Huu ujinga ni wa kiwango cha lami, kumtuhumu mtu bila ushahidi ni pumba iliyoje
Anabweka bweka kama.bosi wako anavyobweka bwekahuyu wakili Lisu si sawa tu na yule wakili anaitwa sijui matrekta, ambae anabwekagabwekaga kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari akifikka mahakamani anatia huruma tu, hamna kitu, ndiyo sasa ya huyi kidomodomo anae ropokaropoka tu hapo, kwenye mambo ya msingi anaendekeza hisia ili aonewe huruma na jamii...
nipo hapa, hakuna amabacho atasaidika nacho huyo muungwana..
hata hivyo,
naendelea kumskiza ili nipate fursa na haki zaidi, ili niweze kumshauri kitaalamu zaidi
Anaweweseka nini wakati anaeleza ukweli na uhalisia. Ninyi wauaji mnapata shida sana majina yenu yanapowekwa wazi. Lazima siku moja msimame kizimbani. Hiyo siku ipo tu, hata mfanye nini. Mlaaniwe wauaji.Bado ana weweseka!
Nasikitika mnamdhihaki lissu!Anaweweseka nini wakati anaeleza ukweli na uhalisia. Ninyi wauaji mnapata shida sana majina yenu yanapowekwa wazi. Lazima siku moja msimame kizimbani. Hiyo siku ipo tu, hata mfanye nini. Mlaaniwe wauaji.
Utawatotautishaje Magufuli na MakondaHuyu Lissu sio wakumuamini,mwanzo alisema magufuli Leo kasema Comred Makonda,huenda huyu jamaa kachanganyikiwa
Kwani amekuomba msaada? Alafu maendeleo mkaiombe CCM na mama yenu. Unataka lissu ukuelezee atakavyokuletea maendeleo wakati huna akili utaelewaje sasaKwa hiyo tumsaidie nini?
Hii story ishatuchosha inabidi aambiwe watanzania do not care atafute ajenda ya namna gani ataleta maendeleo