omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,591
Vumilia wewe mfuasi mjingaUna mawazo ya kijinga.
Kwani Lissu kwao wapi?
Kimsingi sikubaliani na misimamo ya Lissu, lakini lazima uelewe kuwa ni raia wa Tanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vumilia wewe mfuasi mjingaUna mawazo ya kijinga.
Kwani Lissu kwao wapi?
Kimsingi sikubaliani na misimamo ya Lissu, lakini lazima uelewe kuwa ni raia wa Tanzania.
Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.
Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .
Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.
Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.
Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Umetoka.kwenye shimo la nungunungu ?,povu la nini ?Ww ni mpuuzi uliyeota nywele kwenye kila tundu la mwili wako. Lissu aliwahi kutaka hifadhi kwa wazungu kwani alikimbia nchi, au alienda kwenye matibabu baada ya shambulio la kinyima la siasa chafu? Amekwisha pona ana ulazima gani wa kukaa ulaya wakati kilichompeleka kimetimia? Hajawahi kuichafua nchi hii, bali ameeleza kwa usahihi jinsi serikali ilivyogoma kumtendea haki kwa sababu za kisiasa. Inaonekana unachanganya kati ya nchi na serikali, ndio maana unaleta ushauri wa mihemko ya kishamba.
Umemjibu vizuri. Pia nashangaa mods kuacha uzi kama huu ujadiliwe!Una mawazo ya kijinga.
Kwani Lissu kwao wapi?
Kimsingi sikubaliani na misimamo ya Lissu, lakini lazima uelewe kuwa ni raia wa Tanzania.
AmenNdio maana anakuja, kama bunduki ya kivita ilidunda ndio itakuwa pingu, malaika wa Lissu ni mpiganaji hasa.
AiseeMawazo au uhanithi? Umeona umeongea jambo la maana kumbe unaonekana punga tu.
Habari hizi washirikishe machoqwo wenzako hapo LumumbaNitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.
Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .
Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.
Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.
Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Wewe ni kiaziNitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.
Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .
Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.
Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.
Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Tatizo mnanilaumu kama mi ndo wahusika vile kumbe nimetoa mawazo yangu serikal itakavyofanya kama ni gaidi vile kumbe ni mwananchi tuu tena raia kwenye nchi yakeMkuu mbona unatoka mkuku? [emoji125][emoji125]
Tuliza kijambio hicho basiToka aanze kuahidi kurudi hii ni mara ya 5 anageresha tu
Lissu anapima upepo tu harudi ng'o
Chadema haeamtaki agombee,ACT wanamtaka Membe,labda arudi NCCR alipofukzwa
Itabidi kwa kweliMkuu hamia stendi ya Dodoma
Za stendi stendiHivi akili za wapi hizi wajameni? Nisaidieni.
Mwanasiasa wa upinzani nchin Tanzania Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi nchini humo Julai 28.
Lissu ametangaza nia ya kugombea urais kupitia chama chake cha CHADEMA Oktoba mwaka huu. Mwanasiasa huyo kwa sasa yuko ughaibuni ambapo alienda kupata matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi mwaka 2017.
Akizungumza leo katika mkutano unaoendelea kwa njia ya mtandao ulioandaliwa na taasisi ya The Resistance Bureau, Lissu amesema ameshakata tiketi ya ndege na watanzania watarajie kumpokea Julai 28.
Akijibu swali kuhusu kama anahofu kuwa anaweza kuzuiwa kuingia nchini mwake, Lisu amesema: ''Sina sababu ya kuamini kuwa nitazuiwa kurudi nyumbani, mimi si mhalifu niliondoka nje ya Tanzania nikiwa sina fahamu, nilishambuliwa kwa risasi mara 16 na watu ambao mpaka sasa hawajakamatwa hivyo ninarejea nyumbani kuikabili serikali iliyosema kuwa haina hatia katika tukio hilo la jaribio la kuniua, kunizuia kutadhihirishia dunia kuwa ilihusika na shambulio la mwaka 2017 kama nilivyosema sina sababu ya kuamini kuwa nitazuiwa kurejea nyumbani''. Alieleza Lissu kwenye mkutano huo.
Umetoka.kwenye shimo la nungunungu ?,povu la nini ?
Mimi si mfuasi wa Lissu, actually nampinga katika misimamo yake mingi.Vumilia wewe mfuasi mjinga
Hakika !Magufuli haingii hata punje ya uzalendo wa Lissu. mzalendo uchwara