Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.

Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .

Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.

Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.

Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini

Ww ni mpuuzi uliyeota nywele kwenye kila tundu la mwili wako. Lissu aliwahi kutaka hifadhi kwa wazungu kwani alikimbia nchi, au alienda kwenye matibabu baada ya shambulio la kinyima la siasa chafu? Amekwisha pona ana ulazima gani wa kukaa ulaya wakati kilichompeleka kimetimia? Hajawahi kuichafua nchi hii, bali ameeleza kwa usahihi jinsi serikali ilivyogoma kumtendea haki kwa sababu za kisiasa. Inaonekana unachanganya kati ya nchi na serikali, ndio maana unaleta ushauri wa mihemko ya kishamba.
 
Ww ni mpuuzi uliyeota nywele kwenye kila tundu la mwili wako. Lissu aliwahi kutaka hifadhi kwa wazungu kwani alikimbia nchi, au alienda kwenye matibabu baada ya shambulio la kinyima la siasa chafu? Amekwisha pona ana ulazima gani wa kukaa ulaya wakati kilichompeleka kimetimia? Hajawahi kuichafua nchi hii, bali ameeleza kwa usahihi jinsi serikali ilivyogoma kumtendea haki kwa sababu za kisiasa. Inaonekana unachanganya kati ya nchi na serikali, ndio maana unaleta ushauri wa mihemko ya kishamba.
Umetoka.kwenye shimo la nungunungu ?,povu la nini ?
 
Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.

Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .

Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.

Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.

Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Habari hizi washirikishe machoqwo wenzako hapo Lumumba
 
Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.

Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .

Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.

Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.

Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Wewe ni kiazi
 
Mkuu mbona unatoka mkuku? [emoji125][emoji125]
Tatizo mnanilaumu kama mi ndo wahusika vile kumbe nimetoa mawazo yangu serikal itakavyofanya kama ni gaidi vile kumbe ni mwananchi tuu tena raia kwenye nchi yake
 
Mwanasiasa wa upinzani nchin Tanzania Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi nchini humo Julai 28.

Lissu ametangaza nia ya kugombea urais kupitia chama chake cha CHADEMA Oktoba mwaka huu. Mwanasiasa huyo kwa sasa yuko ughaibuni ambapo alienda kupata matibabu baada ya kushambuliwa kwa risasi mwaka 2017.

Akizungumza leo katika mkutano unaoendelea kwa njia ya mtandao ulioandaliwa na taasisi ya The Resistance Bureau, Lissu amesema ameshakata tiketi ya ndege na watanzania watarajie kumpokea Julai 28.

Akijibu swali kuhusu kama anahofu kuwa anaweza kuzuiwa kuingia nchini mwake, Lisu amesema: ''Sina sababu ya kuamini kuwa nitazuiwa kurudi nyumbani, mimi si mhalifu niliondoka nje ya Tanzania nikiwa sina fahamu, nilishambuliwa kwa risasi mara 16 na watu ambao mpaka sasa hawajakamatwa hivyo ninarejea nyumbani kuikabili serikali iliyosema kuwa haina hatia katika tukio hilo la jaribio la kuniua, kunizuia kutadhihirishia dunia kuwa ilihusika na shambulio la mwaka 2017 kama nilivyosema sina sababu ya kuamini kuwa nitazuiwa kurejea nyumbani''. Alieleza Lissu kwenye mkutano huo.

Mpumbavu wewe. Kupigwa risasi zaidi ya 30 unazichukuliaje?
 
Vumilia wewe mfuasi mjinga
Mimi si mfuasi wa Lissu, actually nampinga katika misimamo yake mingi.

Lakini naona unachanganyikiwa kwa kutoelewa somo la uraia.
Unachanganya mawazo yako na somo la uraia ambalo inaelekea hulijui kabisa.
Na huo ndo ujinga.
 
Hizi ni salamu kwa wenye usafiri wasitumie usafiri kwani mapokezi yawe ni kwa mguu. Siku hiyo shughuli zitasimama kutokana na umati wa maelfu ya watu. Hivyo napendekeza muheshimiwa abebwe begani akiwa kwenye kiti cha ufalme mpaka makao makuu ya chama.

Historia inakwenda kuandikwa upya
 
Back
Top Bottom