Hivi akili za wapi hizi wajameni? Nisaidieni.Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi akili za wapi hizi wajameni? Nisaidieni.Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Hata baba yako anakilema ndio maana ukapatikana wewe mjinga WA akili usiye na adabu.Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Mkuu hamia stendi ya DodomaKwani mi ni muhusika wa kumshika?mi nimetoa mawazo yangu tuu
Karibu nyumbani Kaka Mkubwa, Mungu akutangulie katika Safari yako!Tuna siku 4 zilizo baki kwa ajili ya kumpokea mh Lissu akitokea ughaibuni aliko kwenda kutibiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiyo julikana.
Umma wa watanzania wanapenda kukuhakikishia mh Lissu kuwa wameshajiandaa kwa ajili ya mapokezi yako kiongozi wao na tegemeo lao kwenye utetezi wa haki zao.
Karibu sana mh Lissu usijisikie unyonge, ndugu zako tupo kama tulivyo kuombea dua ukapona na sasa tunakuombea dua usafiri salama na ufike salama nyumbani tupo tunakusubiri. View attachment 1515090
Karibu nyumbani Kaka Mkubwa, Mungu akutangulie katika Safari yako!
Naomba unitoe kwenye hilo kundi sipo humo wala sihusiki hata tafadhali
Hivi akili za wapi hizi wajameni? Nisaidieni.
Mkuu hamia stendi ya Dodoma
Historia ya huyo bwanako unaijua?Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Si wa stendi huyu mkuu?Akafanyeje huko mkuu humuonei huruma?
Kwani mi ni muhusika wa kumshika?mi nimetoa mawazo yangu tuu
Ndio maana anakuja, kama bunduki ya kivita ilidunda ndio itakuwa pingu, malaika wa Lissu ni mpiganaji hasa.Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Una mawazo ya kijinga.Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.
Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .
Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.
Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.
Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Si unajua tena watu wa kushinda stendi tu? No dira!Naona leo yupo chicha sana
Si unajua tena watu wa kushinda stendi tu? No dira!
KAMA WENZAKO NI MABEBERU WEWE JIKE LAONitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.
Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .
Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.
Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.
Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Kwa namna magufuli anavyoiendesha nchi kiuonezi haya yote si ya maana kwetu Kama hatuko huru muda wowote unawaza nikiisema CCM nitatekwa nitauwawa nitafukuzwa kazi nk .ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. IPIGIE KURA YA NDIO NCHI YAKO ISHINDE. PLEASE PLEASE PLEASE.
Tanzania has been nominated for the 27th World Travel Awards 2020. To WIN in the nominated categories your SUPPORT and VOTE is much NEEDED. The voting ends on 22 August 2020.
To vote use the following link Vote Vote – World Travel Awards then log in or register for new account.
Vote for Tanzania to win the categories of:
(1) Africa's leading airport
(2) Africa's leading tourist attraction
(3) Africa's leading beach destination
(4) Africa's leading destination
(5) Africa's leading national park
(6) Africa's leading tourist board
YOUR VOTE COUNTS!