Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

Tuna siku 4 zilizo baki kwa ajili ya kumpokea mh Lissu akitokea ughaibuni aliko kwenda kutibiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiyo julikana.

Umma wa watanzania wanapenda kukuhakikishia mh Lissu kuwa wameshajiandaa kwa ajili ya mapokezi yako kiongozi wao na tegemeo lao kwenye utetezi wa haki zao.

Karibu sana mh Lissu usijisikie unyonge, ndugu zako tupo kama tulivyo kuombea dua ukapona na sasa tunakuombea dua usafiri salama na ufike salama nyumbani tupo tunakusubiri. View attachment 1515090
Karibu nyumbani Kaka Mkubwa, Mungu akutangulie katika Safari yako!
 
Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.

Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .

Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.

Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.

Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
 
Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.

Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .

Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.

Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.

Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
Una mawazo ya kijinga.
Kwani Lissu kwao wapi?
Kimsingi sikubaliani na misimamo ya Lissu, lakini lazima uelewe kuwa ni raia wa Tanzania.
 
Nitoe wito kwa watanzania wazalendo kususia mapokezi ya Tundu Lissu atakoporejea nchini.

Mambo aliyoyafanya alipokuwa ubelgiji na marekani ni ya hovyo kabisa ,hastahili heshima yoyote kwenye kuwasili kwake hapa nchini,
lengo lake alitaka kuwataabisha watanzania ,cha kushangaza kapuuzwa huko ulaya na Marekani ,
Baada ya wazungu kumtosa kaona isiwe tabu ajirudie nyumbani alipopakashifu .

Alitegemea kupewa hifadhi huko ,imeshindikana.

Siku akifika nchini ,vyombo vya ulinzi na usalama visiruhusu msafara wowote ,pia airport wawepo watu wachache sana,achukiliwe kwenye defender moja ya polisi na aseme anaelekea wapi,ufipa au nyumbani kwake wakambwage ,si wa kuonea huruma hata kidogo ,ni ubaya tu,alipwe alichopanda ulaya.

Alilaumu jeshi la polisi ,hivi sasa anataka limpe ulinzi baada ya mabeberu kugomea kumpa ulinzi ,kachanganyikiwa,haelewi anataka nini
KAMA WENZAKO NI MABEBERU WEWE JIKE LAO
 
ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. IPIGIE KURA YA NDIO NCHI YAKO ISHINDE. PLEASE PLEASE PLEASE.

Tanzania has been nominated for the 27th World Travel Awards 2020. To WIN in the nominated categories your SUPPORT and VOTE is much NEEDED. The voting ends on 22 August 2020.

To vote use the following link Vote Vote – World Travel Awards then log in or register for new account.

Vote for Tanzania to win the categories of:

(1) Africa's leading airport

(2) Africa's leading tourist attraction

(3) Africa's leading beach destination

(4) Africa's leading destination

(5) Africa's leading national park

(6) Africa's leading tourist board

YOUR VOTE COUNTS!
Kwa namna magufuli anavyoiendesha nchi kiuonezi haya yote si ya maana kwetu Kama hatuko huru muda wowote unawaza nikiisema CCM nitatekwa nitauwawa nitafukuzwa kazi nk .
 
Back
Top Bottom