Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Subiri uone vitendo mwaka huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri uone vitendo mwaka huu
Kama Lissu ana historia ya ukichaa yule mwenyekiti wenu aliyejiita kichaaa mchana kweupe mbele ya watu ana historia ya nini???Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Na hili ndo neno kuu kwa Lumumba woteapangalo mola binadamu hawezi kuzuia
Brother think twice...!!!Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Brother think twice...!!!
Jr[emoji769]
Nchi inasonga mbele kwa huu uchumi mlioharibu graduates wa tangu 2015 hawana ajira???? Watumishi miaka 5 hamjawaongezea mshahara????
Embu amka ndotoni kijana
Hehehe!Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Na hili ndo neno kuu kwa Lumumba wote
Sifurahii ujio wake maana usalama wake sina imani nao. Naogopa sana. Kwangu mimi kama nngelikuwa na mamlaka, ningesema asije kwanza! Labda kama amehakikishiwa usalama na International community kitu ambacho si rahisi kukipata! Unasemaje Mmawia?Tuna siku 4 zilizo baki kwa ajili ya kumpokea mh Lissu akitokea ughaibuni aliko kwenda kutibiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiyo julikana.
Umma wa watanzania wanapenda kukuhakikishia mh Lissu kuwa wameshajiandaa kwa ajili ya mapokezi yako kiongozi wao na tegemeo lao kwenye utetezi wa haki zao.
Karibu sana mh Lissu usijisikie unyonge, ndugu zako tupo kama tulivyo kuombea dua ukapona na sasa tunakuombea dua usafiri salama na ufike salama nyumbani tupo tunakusubiri. View attachment 1515090
Thubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania
Unaona raahaa, subiri siku yako ya giza totoro utayakumbuka hayaAkitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Huyu mtu kwa hakika ni mpango wa Mungu.Huitaji kwenda kanisani au msikitini kujua kuwa mtu aliyepona mauti kwenye risasi 38 ni mtu wa nani.
Lissu anakuja kuithibitishia Tanzania kuwa Mungu yupo na ana mapenzi mema na watu wake. Lissu anaenda kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania October 2020
2015 juzi tu hapa mkuu watu wana miaka kumi mtaani aisee
Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Unaona raahaa, subiri siku yako ya giza totoro utayakumbuka haya
Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.