Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hilo halina ubishi
Lissu ni God's chosen-Godbless Lema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu ni God's chosen-Godbless Lema
Lissu atageuza sana upepo wa siasa za Tanzania na lolote laweza kutokea October, tumlinde shujaa huyu anayebeba maono makubwa.
Amini amini nakwambia yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania. Wengi watashangaa na hawataamini, Lissu anaenda kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania October 2020
Huitaji kwenda kanisani au msikitini kujua kuwa mtu aliyepona mauti kwenye risasi 38 ni mtu wa nani.Lissu ni God's chosen-Godbless Lema
Karibu Daud ,karibu mpakwa mafutaTuna siku 4 zilizo baki kwa ajili ya kumpokea mh Lissu akitokea ughaibuni aliko kwenda kutibiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiyo julikana.
Umma wa watanzania wanapenda kukuhakikishia mh Lissu kuwa wameshajiandaa kwa ajili ya mapokezi yako kiongozi wao na tegemeo lao kwenye utetezi wa haki zao.
Karibu sana mh Lissu usijisikie unyonge, ndugu zako tupo kama tulivyo kuombea dua ukapona na sasa tunakuombea dua usafiri salama na ufike salama nyumbani tupo tunakusubiri. View attachment 1515090
Endeleeni kujidanganyana mtafanya huo upuuzi wenu tuwanyamazie.Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Huitaji kwenda kanisani au msikitini kujua kuwa mtu aliyepona mauti kwenye risasi 38 ni mtu wa nani.
Lissu anakuja kuithibitishia Tanzania kuwa Mungu yupo na ana mapenzi mema na watu wake. Lissu anaenda kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania October 2020
Do you mean every word ?Endeleeni kujidanganyana mtafanya huo upuuzi wenu tuwanyamazie.
Tutaanza nanyi polifisiem then tunafuata kwa mabwana zenu wanaowaagiza
Wewe tumekuonya mara kadhaa kwa kauli zako za kishamba , usije ukamlilia mtuAkitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
apangalo mola binadamu hawezi kuzuia
Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Haki huinua taifa . Tafuteni Kwanza haki na mengine mtazidishiwaENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. IPIGIE KURA YA NDIO NCHI YAKO ISHINDE. PLEASE PLEASE PLEASE.
Tanzania has been nominated for the 27th World Travel Awards 2020. To WIN in the nominated categories your SUPPORT and VOTE is much NEEDED. The voting ends on 22 August 2020.
To vote use the following link Vote Vote – World Travel Awards then log in or register for new account.
Vote for Tanzania to win the categories of:
(1) Africa's leading airport
(2) Africa's leading tourist attraction
(3) Africa's leading beach destination
(4) Africa's leading destination
(5) Africa's leading national park
(6) Africa's leading tourist board
YOUR VOTE COUNTS!
Nyinyi mna makelele mob vitendo 0Thubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania
mzee kuwa makini kabla hujafa hujaumbika siasa zisitufikishe huko aisee
Haki huinua taifa . Tafuteni Kwanza haki na mengine mtazidishiwa
Welcome back our new president H. E. Tundu Lissu