Racing team
Member
- Jun 25, 2020
- 43
- 24
Ni wakati wenu sasa kupaza sauti
Nyakati zinakuja, kila kitu kitakuwa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wakati wenu sasa kupaza sauti
Umenena mkuu, kwa sasa tegemeo letu lisuThubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania
Umenena mkuu, kwa sasa tegemeo letu lisu
Humjui mwenye historia ya ukichaa kwenye ukoo wake? Njoo maeneo ya Bwanga ukitokea Geita, unakata kulia kuelekea Bukoba, Ila kabla ya kufika eneo linaitwa Mganza Kuna wilaya hapo katikati ulizia wazee watakwambia Nani ana historia hiyo ukoo wao. Hujui ashawahi kuukiri?Tanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Mungu ni mkubwa sana na daima utenda makuu yaliyo washinda wanadamuNyakati zinakuja, kila kitu kitakuwa sawa
Humjui mwenye historia ya ukichaa kwenye ukoo wake? Njoo maeneo ya Bwanga ukitokea Geita, unakata kulia kuelekea Bukoba, Ila kabla ya kufika eneo linaitwa Mganza Kuna wilaya hapo katikati ulizia wazee watakwambia Nani ana historia hiyo ukoo wao. Hujui ashawahi kuukiri?
Tatizo Lumumba ubashite unawasumbua hamtofautiani na hao wasanii wenu wajinga waliopata kura zero wakizan wao ni kama sugu na prof j.Akitua tuu pingu hadi za miguu hata kama ni unfit haijalishi
Kilema ni mamako aliekuzaa wewe kilemaTanzania haiwezi kuongozwa na kilema. Halafu Lissu ana historia ya ukichaa.
Tuna siku 4 zilizo baki kwa ajili ya kumpokea mh Lissu akitokea ughaibuni aliko kwenda kutibiwa baada ya kushambuliwa na watu wasiyo julikana.
Umma wa watanzania wanapenda kukuhakikishia mh Lissu kuwa wameshajiandaa kwa ajili ya mapokezi yako kiongozi wao na tegemeo lao kwenye utetezi wa haki zao.
Karibu sana mh Lissu usijisikie unyonge, ndugu zako tupo kama tulivyo kuombea dua ukapona na sasa tunakuombea dua usafiri salama na ufike salama nyumbani tupo tunakusubiri. View attachment 1515090
Tatizo Lumumba ubashite unawasumbua hamtofautiani na hao wasanii wenu wajinga waliopata kura zero wakizan wao ni kama sugu na prof j.
Endelea kukariri wote niwa lumumbaTatizo Lumumba ubashite unawasumbua hamtofautiani na hao wasanii wenu wajinga waliopata kura zero wakizan wao ni kama sugu na prof j.
Eti mpigeni ..kwani ulisikia ni mimi au nilikuwepo?Tunaheshimu uhuru wa maoni. Mkiona hizo pingu hazitoshi mpigeni tena risasi.
Kwani mi ni muhusika wa kumshika?mi nimetoa mawazo yangu tuuUnaona raahaa, subiri siku yako ya giza totoro utayakumbuka haya
Kwa kosa lipi kusema hivyo nimekosea wapiWewe tumekuonya mara kadhaa kwa kauli zako za kishamba , usije ukamlilia mtu
Wewe tena utaendelea kusubiri sana benchi maana una mawazo ya kijinga ambayo yamekuweka unapostahili...Thubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania
Sory mkuu ni mawazo yangu nionavyo akija mi siko huko hata unanionea bureEndeleeni kujidanganyana mtafanya huo upuuzi wenu tuwanyamazie.
Tutaanza nanyi polifisiem then tunafuata kwa mabwana zenu wanaowaagiza
Mi sijui kwa wahusika hayo ni mawazo yangu tuu nimetoaAlafu ndiyo itasaidia kitu gani kwa afya ya ustawi wa jamii ya watanzania?
Naomba unitoe kwenye hilo kundi sipo humo wala sihusiki hata tafadhaliThubutu!!! Ole wenu nawaambia. Hapatakalika. Watu tumemaliza vyuo tangu 2015 hatuna ajira alafu mlete ushenzi wenu. Na lolote baya mtakalimfanya Lissu nawaambia ndo itakuwa mwanzo wa vurugu za kisiasa Tanzania