Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja. Kama Waziri Mkuu wa Ethiopia alivyopokelewa.Hizi ni salamu kwa wenye usafiri wasitumie usafiri kwani mapokezi yawe ni kwa mguu. Siku hiyo shughuli zitasimama kutokana na umati wa maelfu ya watu. Hivyo napendekeza muheshimiwa abebwe begani akiwa kwenye kiti cha ufalme mpaka makao makuu ya chama.
Historia inakwenda kuandikwa upya
Kanywe sumu kama imekukera. Nyie si ndio wale walimu mliokatwa mnalialia na fomu mlichukua za mkopo?Daah kwa Akili mgando hizi ndo maana mnashindwa hesabu ndogo ndogo za kujumlisha na kutoa Hadi mnaanza kulialia Bodi ya mkopo kuwakata Boom..
Wasomi wa Tanzania Ni pasua kichwa Sana.
Kanywe sumu kama imekukera. Nyie si ndio wale walimu mliokatwa mnalialia na fomu mlichukua za mkopo?Daah kwa Akili mgando hizi ndo maana mnashindwa hesabu ndogo ndogo za kujumlisha na kutoa Hadi mnaanza kulialia Bodi ya mkopo kuwakata Boom..
Wasomi wa Tanzania Ni pasua kichwa Sana.
Loh, kifo kimeshavuruga ujio wake! Tunafanyaje?Kwa vile Lissu anarudi wiki ijayo basi kuna wito nautoa kwenu wa kuweka picha zake kwa wingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha kupinga wauaji na kuonyesha kuunga mkono juhudi za Mungu za kuhuisha Uhai wa mtu huyu.
Weka picha nyingi za Lissu kwa kadri uwezavyo
Yaweza kuwa mchezo ila hapana ...Loh, kifo kimeshavuruga ujio wake! Tunafanyaje?
Ujio wa Tundu lissu unawanyima usingizi!
Ww ni mpuuzi uliyeota nywele kwenye kila tundu la mwili wako. Lissu aliwahi kutaka hifadhi kwa wazungu kwani alikimbia nchi, au alienda kwenye matibabu baada ya shambulio la kinyima la siasa chafu? Amekwisha pona ana ulazima gani wa kukaa ulaya wakati kilichompeleka kimetimia? Hajawahi kuichafua nchi hii, bali ameeleza kwa usahihi jinsi serikali ilivyogoma kumtendea haki kwa sababu za kisiasa. Inaonekana unachanganya kati ya nchi na serikali, ndio maana unaleta ushauri wa mihemko ya kishamba.
Umetoka.kwenye shimo la nungunungu ?,povu la nini ?
Picha sina.Kwa vile Lissu anarudi wiki ijayo basi kuna wito nautoa kwenu wa kuweka picha zake kwa wingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha kupinga wauaji na kuonyesha kuunga mkono juhudi za Mungu za kuhuisha Uhai wa mtu huyu.
Weka picha nyingi za Lissu kwa kadri uwezavyo
Karibu Lissu,
Tatizo mnanilaumu kama mi ndo wahusika vile kumbe nimetoa mawazo yangu serikal itakavyofanya kama ni gaidi vile kumbe ni mwananchi tuu tena raia kwenye nchi yake
Inaweza kuwa baraka (pamoja na kwamba tunaomboleza kifo. Ni msiba wa taifa letu).Loh, kifo kimeshavuruga ujio wake! Tunafanyaje?