Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

Tundu Lissu amesema anatarajia kurudi Tanzania Julai 28

Tumemaliza "igizo" la vijana kumchukulia fomu za urais kupitia CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba, sasa tunakuja kumpokea Mh.Tundu Lissu kwa miguu! Lini watanzania tutajifunza kufanya siasa za ukweli na sio maigizo?
 
Daah kwa Akili mgando hizi ndo maana mnashindwa hesabu ndogo ndogo za kujumlisha na kutoa Hadi mnaanza kulialia Bodi ya mkopo kuwakata Boom..

Wasomi wa Tanzania Ni pasua kichwa Sana.
 
Kwa vile Lissu anarudi wiki ijayo basi kuna wito nautoa kwenu wa kuweka picha zake kwa wingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha kupinga wauaji na kuonyesha kuunga mkono juhudi za Mungu za kuhuisha Uhai wa mtu huyu.

Weka picha nyingi za Lissu kwa kadri uwezavyo
 
Kwa vile Lissu anarudi wiki ijayo basi kuna wito nautoa kwenu wa kuweka picha zake kwa wingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha kupinga wauaji na kuonyesha kuunga mkono juhudi za Mungu za kuhuisha Uhai wa mtu huyu.

Weka picha nyingi za Lissu kwa kadri uwezavyo
Screenshot_20200724-002144_Chrome.jpg
Screenshot_20200724-002144_Chrome.jpg
Screenshot_20200724-002144_Chrome.jpg
 
Hizi ni salamu kwa wenye usafiri wasitumie usafiri kwani mapokezi yawe ni kwa mguu. Siku hiyo shughuli zitasimama kutokana na umati wa maelfu ya watu. Hivyo napendekeza muheshimiwa abebwe begani akiwa kwenye kiti cha ufalme mpaka makao makuu ya chama.

Historia inakwenda kuandikwa upya
Naunga mkono hoja. Kama Waziri Mkuu wa Ethiopia alivyopokelewa.
 
Daah kwa Akili mgando hizi ndo maana mnashindwa hesabu ndogo ndogo za kujumlisha na kutoa Hadi mnaanza kulialia Bodi ya mkopo kuwakata Boom..

Wasomi wa Tanzania Ni pasua kichwa Sana.
Kanywe sumu kama imekukera. Nyie si ndio wale walimu mliokatwa mnalialia na fomu mlichukua za mkopo?
 
Daah kwa Akili mgando hizi ndo maana mnashindwa hesabu ndogo ndogo za kujumlisha na kutoa Hadi mnaanza kulialia Bodi ya mkopo kuwakata Boom..

Wasomi wa Tanzania Ni pasua kichwa Sana.
Kanywe sumu kama imekukera. Nyie si ndio wale walimu mliokatwa mnalialia na fomu mlichukua za mkopo?
 
Kwa vile Lissu anarudi wiki ijayo basi kuna wito nautoa kwenu wa kuweka picha zake kwa wingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha kupinga wauaji na kuonyesha kuunga mkono juhudi za Mungu za kuhuisha Uhai wa mtu huyu.

Weka picha nyingi za Lissu kwa kadri uwezavyo
Loh, kifo kimeshavuruga ujio wake! Tunafanyaje?
 
Itoshe kumuita huyo mleta comment kuwa inawezekana ni kati ya walio mshambulia mh Lissu
Ww ni mpuuzi uliyeota nywele kwenye kila tundu la mwili wako. Lissu aliwahi kutaka hifadhi kwa wazungu kwani alikimbia nchi, au alienda kwenye matibabu baada ya shambulio la kinyima la siasa chafu? Amekwisha pona ana ulazima gani wa kukaa ulaya wakati kilichompeleka kimetimia? Hajawahi kuichafua nchi hii, bali ameeleza kwa usahihi jinsi serikali ilivyogoma kumtendea haki kwa sababu za kisiasa. Inaonekana unachanganya kati ya nchi na serikali, ndio maana unaleta ushauri wa mihemko ya kishamba.
 
Kwa vile Lissu anarudi wiki ijayo basi kuna wito nautoa kwenu wa kuweka picha zake kwa wingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha kupinga wauaji na kuonyesha kuunga mkono juhudi za Mungu za kuhuisha Uhai wa mtu huyu.

Weka picha nyingi za Lissu kwa kadri uwezavyo
Picha sina.

Ila nina kumbukumbu ya picha yake kule Nyamongo akiwa amezungukwa na mapolisi waliomchania Gwanda lake la CHADEMA na akabaki na 'singlet' ya ndani.

Picha hiyo iliniganda akilini hadi leo. Hata sijui kwa nini.

Hiyo picha ilitokea magazetini. Sikumbuki gazeti gani, lakini huenda ni Mwananchi au The Citizen. Mwaka...? Sikumbuki
 
Mkuu umma wa watanzania hawakukuelewa kabisa
Tatizo mnanilaumu kama mi ndo wahusika vile kumbe nimetoa mawazo yangu serikal itakavyofanya kama ni gaidi vile kumbe ni mwananchi tuu tena raia kwenye nchi yake
 
Loh, kifo kimeshavuruga ujio wake! Tunafanyaje?
Inaweza kuwa baraka (pamoja na kwamba tunaomboleza kifo. Ni msiba wa taifa letu).

Ratiba ya msiba itakavyotolewa iheshimiwe bila ya kinyongo chochote

Kama maombolezo yatakuwa bado yanaendelea, yaheshimiwe.

CHADEMA watatoa taarifa kufuatana na ratiba ya msiba itakavyokuwa. Mapokezi si lazima yafanywe kuwa msiba hauwahusu CHADEMA, unawahusu sana.

Mapokezi sio lazima yawe ya shamra shamra siku hiyo atakaporudi. Siku nyingine inaweza ikapangwa baadae. Ndio maana nikaanza kwa kuandika huenda ikawa 'baraka.'
 
Back
Top Bottom