The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Una pointMnyeti ni mhuni asiyefaa hata uongozi wa Kijiji. Nadhani focus ya mama ni kujifungamanisha na sukuma gang. Sasa ameona aanze na Mnyeti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una pointMnyeti ni mhuni asiyefaa hata uongozi wa Kijiji. Nadhani focus ya mama ni kujifungamanisha na sukuma gang. Sasa ameona aanze na Mnyeti
Slip of tongue! Kumbe nawe ni kilazaAbdallah Mnyeti 😂😂🐼
Wewe hunaga akili, Lisu alifanya makusudi tena kisiasa zaidiSlip of tongue! Kumbe nawe ni kilaza
Hapana, suala liko wazi.WaTz tuacheni roho mbaya ,kesho na kesho kutwa Lissu anaweza kuwa Raisi na akawachagua anaowaona yeye wanafaa bado kutatokea waTanzania watamshangaa.
Jamaa siasa ipo kwenye damuMwamba hapoi
Upo sahihi snSema tu kwa maneno marahisi kuwa huko CCM uadilifu sio kigezo muhimu cha kuchaguliwa kwenye nafasi ya uongozi.
Jamaa ni moto wa kuotea mbali.Jamaa siasa ipo kwenye damu
Ukweli natamani awe Mwenyekiti wa CDM atunyooshee CCM, Mbowe ni mzuri lakini ana huruma huyu hana huo upumbavuJamaa ni moto wa kuotea mbali.
una mlaumu bure maana hata ukimuuliza anataka nini mwenyewe hajui anajiendea tuSamia hana nia ya dhati ya kupambana na Rushwa na Upigaji.
Asante kwa ku summarize alichokisemaNi leo J'pili tarehe 3/9/2023 alipokuwa akiongea na wananchi katika Kijiji cha Kiabakari - Butiama mkoa wa Mara katika mfululizo wa mikutano ya CHADEMA katika OPERESHENI +255 KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU - Tanganyika.
View attachment 2737945
Video: By Mwananchi Digital
--
Rais Samia ameteua Baraza la Mawaziri, katika walioteuliwa yupo Alexander Pastory Mnyeti ambaye ni mbunge wa jimbo la Misungwi mkoani Mwanza. Mnyeti alikuwa ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara kabla hajawa Mbunge. Mnyeti na madiwani walipitia wote bila kupingwa sababu aliyekuwa mgombea na madiwani kata 27 walienguliwa wote.
Lissu anasema tume ya Haki ya Binadamu na Utawala Bora ilimtia hatiani Mnyeti na kusema kuwa hana maadili ya kuwa kiongozi na ni mla rushwa kwa vitendo alivyofanya akiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara.
Lissu anazidi kusema kuwa Rais anayeteua watu waliotiwa hatiani na mamlaka aliyoiteua ina maana anaunga mkono wala rushwa na hana uadilifu.
16 Aug2023
Manyara, Tanzania
MAHAKAMA YAAMURU MNYETI KULIPA GHARAMA, ACHELEWA KUPELEKA NYARAKA HIZI "MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA"
View: https://m.youtube.com/watch?v=2RrxjfvP730
Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Manyara na sasa mbunge wa Misungwi Mh. Alexander Mnyeti aamuriwa kulipa gharama kwa kuchelewesha mwenendo wa kesi inayonguruma mahakamani ya kusababisha hasara ya 1 bilioni shilingi za kiTanzania.
: Habari kwa kina sakata la Alexander Mnyeti kesi ya matumizi mabaya ya madaraka : More info in detail
Alexander Mnyeti aburuzwa Mahakamani kwa Matumizi Mabaya ya Madaraka
Mbunge wa Misungwi, Alexander Mnyeti amesomewa Mashtaka Mahakamani kwa kosa la Matumizi mabaya ya madaraka. Imesemwa Mahakamani Mbele ya Jaji John Kahyoza kwamba, Ndugu Mnyeti akiwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara aliinyang'anya Kitalu cha Uwindaji kampuni ya HSK SAFARIS LTD ya wilayani Simanjiro...www.jamiiforums.com
Wewe mimi nimesoma part of my Education Massachusetts Institute of Technology..... nitafutie wa hapa waliosoma pale wangapi. Sijasoma Cuba mliko soma nyote CCM. Hilo nimelimaliza.Wewe hunaga akili, Lisu alifanya makusudi tena kisiasa zaidi
Awali Lisu alisema Mnyeti alijidai Magufuli ni binamu yake Kumbe uwongo!
Una maana kuwa makosa yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan ni halali Kwa kuwa tu unafikiri na pengine kudhani na kuhisi kuwa hata Tundu Lissu akiwa Rais aweza kuteua watu wasio waadilifu..?WaTz tuacheni roho mbaya ,kesho na kesho kutwa Lissu anaweza kuwa Raisi na akawachagua anaowaona yeye wanafaa bado kutatokea waTanzania watamshangaa.