Sawa mbona mrema cheyo mbatia wamnadi mgombea wa ccmNdugu zangu,
Baada ya kuusoma upepo Zanzibar Lissu abadili gia angani badala ya kumnadi mgombea urais wa CHADEMA amemnadi Maalim Seif.
Muda unatoa majibu sasa.
Anaitwa Mohamed IssaAwepo asiwepo, hiyo zenji ni ya Maalim. Mimi hata mgombea wa Chadema Zenji simjui. Kofia aivae imfaae.
CCM mlitegemea divide and rule eeeh? Sasa mwaka huu imekula kwenu, mitego yote mliyoweka ACT ná Chadema wanaitegua. Mtajua hamjui mwaka huu!!!Ndugu zangu,
Baada ya kuusoma upepo Zanzibar Lissu abadili gia angani badala ya kumnadi mgombea urais wa CHADEMA amemnadi Maalim Seif.
Muda unatoa majibu sasa.
Mbona unapagawa. Asante kwa kutambua kuwa 2021 - 2015 Zanzibar ACT Bara Chadema.Chadema ni wajinga sana!
Sasa hiyo ni nini?...
Wewe tuliza mzuka wako maana hizo habari hazikuhusuKwa hiyo mgombea wa Chadema hatakuwepo kwenye form ya uchaguzi huko Zanzibar?
Hata mimi hadi leo hii sijamjua mgombea wa CCM Zanzibar, hivi anaitwa nani jamani?Awepo asiwepo, hiyo zenji ni ya Maalim. Mimi hata mgombea wa Cdm zenji simjui. Kofia aivae imfaae.
Subiri oktoba utajua zinanihusu au la
Kila jambo analifanya mh Lissu lipo kwenye mpango wa Mungu.Ni kweli. Na ukimsikiliza alivyoongea Zenji kamaanisha hivyo vyeo sio muhimu kwa sasa Bali muhimu ni kuifurumusha CCM Kwanza.
Amezungumza vizuri sana Lissu na Wazanzibar wote wameelewa faida ya kumchagua yeye
Wewe ndiye mchumia tumbo maana unapenda chama kisicho pendeka hapa Tanzania.Kwanini mlimweka? Ham a itikadi nyie!!!!! TL huwa ni mchumia tumbo tu
Already gone, waiting for burial 2020 october
Mgombea Urais wa CHADEMA Zanzibar anaitwa nani?Baada ya kuusoma upepo Zanzibar Lissu abadili gia angani badala ya kumnadi mgombea urais wa CHADEMA amemnadi Maalim Seif.
ishara ya maandalizi duni katika uchaguzi huuNdugu zangu,
Baada ya kuusoma upepo Zanzibar Lissu abadili gia angani badala ya kumnadi mgombea urais wa CHADEMA amemnadi Maalim Seif.
Muda unatoa majibu sasa.
Gambo hakukosea kuwa wana uvccm wote ni wafitina sana na wakizeeka watakuwa wachawi na vigaguraWala hatujisikii vibaya huyo alotoka ccm kwenda kugombea upinzani ndo atakosa amani. Aibu iliyoje
Wewe anza kufungasha virago vyako kwa wana kanda ya ziwa wanaviita shangazi urudi kwenu Burundi.Subiri oktoba utajua zinanihusu au la
Endeleeni kuishi maisha ya mnywa gongo ya kuishi kwa kufumba machoWala hatujisikii vibaya huyo alotoka ccm kwenda kugombea upinzani ndo atakosa amani. Aibu iliyoje
Nmeshangaa mlkivyo wajinga na hamkujipanga!Mbona unapagawa. Asante kwa kutambua kuwa 2021 - 2015 Zanzibar ACT Bara Chadema.
Usisahau kudondosha kura yako.[emoji122][emoji122]
Mkiwalegezea cdm, mtakiona cha moto act itasambaratika. Waulizeni cuf walivyobomplewa kimkakatiNdugu zangu,
Baada ya kuusoma upepo Zanzibar Lissu abadili gia angani badala ya kumnadi mgombea urais wa CHADEMA amemnadi Maalim Seif.
Muda unatoa majibu sasa.