Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

MTU unajitolea kusafisha na kuboresha nyumban yenu halafu anatokea mbuzi mmoja na kuanza kubwatuka eti majilani hawapendi, anaanza kupeleka majungu kuwa unaharibu vitanda na mapazia Kwa kuvufuta vumbi etc??

MTU huyo Kamata nyanyua miguu juu kichwa chini tupa nje huko hana maana.
Mwisho wa siku msafishaji akasafishwa na maisha yanaendelea!
Mungu atabaki kuwa Mungu tu.
 
Huyo sio Lisu, bali lilitokea igizo la kuhadaa umma kuwa kuna mwanajeshi mstaafu naye alipigwa risasi, kisha Magufuli akaenda kumtembelea.

Lengo la hadaa ile ilikuwa ni kupumbaza watu wenye uelewa mdogo kuwa mashambulio ya risasi ni mambo ya kawaida na sio kwa Lisu tu. Pia ilikuwa kutaka kuonyesha hata ukishambuliwa na risasi hospitali zinaweza kutoa matibabu, na kupelekwa kwenye matibabu nje ni kukosa uzalendo. Hadaa nyingine ilikuwa ni kuonyesha kuwa Magufuli ni mtu mwema anaweza kutembelea wahanga wa mashambulio, hivyo kuwa hata Lisu angeenda kutibiwa muhimbili Magufuli angemtembelea. Lakini kwa jinsi mitandao ilivyowaumbua wakapoteza hilo igizo.
Hakika

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Huyo sio Lisu, bali lilitokea igizo la kuhadaa umma kuwa kuna mwanajeshi mstaafu naye alipigwa risasi, kisha Magufuli akaenda kumtembelea.

Lengo la hadaa ile ilikuwa ni kupumbaza watu wenye uelewa mdogo kuwa mashambulio ya risasi ni mambo ya kawaida na sio kwa Lisu tu. Pia ilikuwa kutaka kuonyesha hata ukishambuliwa na risasi hospitali zinaweza kutoa matibabu, na kupelekwa kwenye matibabu nje ni kukosa uzalendo. Hadaa nyingine ilikuwa ni kuonyesha kuwa Magufuli ni mtu mwema anaweza kutembelea wahanga wa mashambulio, hivyo kuwa hata Lisu angeenda kutibiwa muhimbili Magufuli angemtembelea. Lakini kwa jinsi mitandao ilivyowaumbua wakapoteza hilo igizo.
Nimekuelewa mkuu. Nashukuru sana. JPM alikuwa sio kabisa. Uongozi wake ulifaa wakati wa awamu ya kwanza ambapo wajinga walikuwa wengi sana. Ile awamu ndo ilihitaji ubabe ili watu wakae sawa. Hakupaswa kabisa kuongoza jamii ya watu ambao tayari wameshaanza kustaarabika na wasomi kibao mtaani.
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Acha uongo!
Ati Lissu anahutubia kituoni polisi!
Ni kwa Police General Orders zipi, raia kuhutubia kituoni polisi.
 
Makonda bado yupo hajauliwa. Makonda ndiye aliyeongoza kikosi cha wauaji waliotaka kummaliza Lissu
Ni suala la muda tu ndugu. Mambo mengine ni NATURE tu huamua. Huwezi kuwa muuaji halafu kirahisi tu uwe na mwisho mzuri.
 
Huyo siyo lissu. Hapo ni lugalo. Walistage ilo tukio kesho yake baada ya lisu kupogwa risas huyo mbabu ni mwanausalama eti naye kapigwa risasi

Yani hukohuko tu kwa shemeji yako kabla lisu kupigwa risasi hadi basda ya kupigwa risasi
Asante kwa kunielewesha
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Ni wakati wa Serikali kumoatia gari jipya vx-Zx V8 au chuma kama.Mawaziri wa sasa
 
amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.
Asante sana kwa taarifa, kumbe, uchunguzi wa tukio hilo umekamilika hadi PT ku relese vital evidence!. Siku zote nilidhani ni Lissu alikuwa anasubiriwa aandike maelezo ndipo uchunguzi uanze, kumbe uchunguzi imefungwa!. Niliwahi kushauri, na leo nashauri tena, WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Kama serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi, isione aibu kusema imeshindwa, watu wenye uwezo huo tupo, serikali iseme wazi imeshindwa na kutoa Rai kwa wenye uwezo wajitokeze wasaidie, watu tupo, tutajitokeza, tuta saidia.

Si wengi humu wanajua kuwa waandishi wa habari wa IJ wanauwezo wa kipolisi ila wanahitaji kibali. Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
P.
 
Back
Top Bottom