godfrey kibaha
Member
- Jan 6, 2015
- 10
- 2
Kazi ipo sipati picha.Campaign za mwaka zinaenda kidigitali maana magufuli anapigwa majukwaani alafu akianza kutoa povu anapigwa Kwa press conference.....
Huyu Mzee atachezea makofi ya uso kwelikweli na ameshaanza kucheza Ngoma ya lissu kuanzia yeye pamoja na akina bashiru na polepole
Kawaita wahariri kufanya kampeni?Acha ujinga, kwa hiyo anayotaka kutuambia atafanya nini yameisha? Kwani akisema kila siku atatufanyia nini shida iko wapi?
Huyu anaanza kupotea, arudishwe kwa nguvu kwenye mstari
Swadaktaa, na hata maswali yaliyoulizwa yanaonyesha hivyo.Yawezekana Tundu Lissu 'kasahau' kuwa Media yote ya Tanzania na hasa hasa kupitia tu 'Wahariri' na 'Wamiliki' wapo Mfukoni mwa Dkt. H Abbas.
Mbona analalamika tu.
Chama kilipata ruzuku halafu unasema Hakuna pesa unataka kuchangiwa.
Naanza kukataa tamaa,kwanza lazima mfahamu kuwa Magufuli ana roho mbaya na hajari kitu chochote isipokuwa madaraka yake na maslahi yake mengine,Leo, Septemba 9, 2020 - mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Ndg. Tundu A. Lissu anaongea na Wahariri wa Vyombo vya Habari.
Haya ni baadhi ya aliyoyasema:...
Hoja ni mfumo wa elimuAmejibu swali la lugha ya kiswahili au kiingereza. Anchosema eti yeye anajua kiingereza sana! Hicho anachoongea na kuandika ndo kiingereza kizuri 'sana?' Sana? Lissu? Halafu imsaidie nini ktk kuomba kura za wa-TZ?
Duh hii ni hatari Majaji hawajui English?
Athari za wimbo wa SGR, Flyover, JKHHP ndio hizi. Masikio yako yamezoea kusikia uongo ule ule,kutoka kwa watu wale wale. Endelea kushikiwa akili,wenye akili na fikra huru wanaelewa wanachosikia kutoka kwa Lissu the greatest.Acha ujinga, kwa hiyo anayotaka kutuambia atafanya nini yameisha? Kwani akisema kila siku atatufanyia nini shida iko wapi?
Huyu anaanza kupotea, arudishwe kwa nguvu kwenye mstari
Kwa Majaji ni aibu kubwa sana aisee..kama Raisi hajui Kiingereza kuna ajabu gani Jaji kuwa hajui lugha hiyo?
Kwa Majaji ni aibu kubwa sana aisee
Kama mpaka sasa hujawahi kusikia atafanya nini basi we haupo Tanzania au kichwani hamna ubongo kumejaa samadi
Kwahiyo Lisu kipaumbele chake ni kingereza?Hapo juu tu kasema mengi, tutarudisha uhusiano, mjadala wa lugha, nk halaf hapo hapo mtu anasema hasemi atafanya nini ?
Siku moja nenda kwenye mkutano wake utarudi ukiwa na mtizamo mwingineShida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Lisu atapigwa mchana kweupeNaanza kukataa tamaa,kwanza lazima mfahamu kuwa Magufuli ana roho mbaya na hajari kitu chochote isipokuwa madaraka yake na maslahi yake mengine,Magufuli hajari utu wa mtu mwingine,Sasa Kama kawaengua wagombea kihuni na mmeufyata,atashindwaje kuwanyima nakala za matokeo ya kura mawakala wenu na kutowatangaza wapinzania walioshinda?
Lisu kakata tamaaNaanza kukataa tamaa,kwanza lazima mfahamu kuwa Magufuli ana roho mbaya na hajari kitu chochote isipokuwa madaraka yake na maslahi yake mengine,Magufuli hajari utu wa mtu mwingine,Sasa Kama kawaengua wagombea kihuni na mmeufyata,atashindwaje kuwanyima nakala za matokeo ya kura mawakala wenu na kutowatangaza wapinzania walioshinda?
Huu uchaguzi ni kati ya vyama vya upinzani hasa CDM na ACT dhidi ya dola inayotumia kivuli cha CCM...CCM wanapokea ruzuku mara 4 ya ile wanayopata CDM.
..kwa hiyo CDM wana pengo la kufidia ili waweze kupambana na CCM.
..inabidi watu wachangie ili kuwawezesha CDM wapambane na CCM kisawasawa.
Ya Mwanza ya mkutano wa Magufuli ulikuwa usanii mtupu.Pesa ya kampeni imekata halafu mahudhurio ya mtwara na Zanzibar na Dar yamemkatisha tamaa sana
Na alichoona ya Mwanza ya Magufuli kajiona hamna kitu