Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Kuna tetesi kwamba wajumbe wamepanga kutafuna hela za Mbowe na kisha kumtupa nje. Hivyo Mbowe kama ana akili angeachana na mawazo ya kuhonga maana atajikuta amepoteza vyote, yani hela na uenyekiti.Wajumbe walishahongwa huo ujumbe,,,kanda zote zinashikiliwa na wafuasi wa Mbowe,,,hapo Lissu anatoboaje sasa