Tundu Lissu ashiriki ibada ya Jumapili kwenye kanisa la KKKT - Azania Front

Hivyo vipeperushi Ndio vinakutisha?[emoji3][emoji3]

Vile vipeperushi vya corona mbona hawavitoi tena
Kwani kwenye corona walisema watamchukulia hatua mtu?? Mwaka huu mtamu saaana 😂😂😂😂
 
Mwovu shetani kama Magufuli ufalme wa mbinguni hatauona
 
Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican

Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Jamaa wa Lumumba yaelekea unalipwa Sana buku7X2 Kila Uzi upo na unajibu mwanzo mwisho.Halafu pumba tupu🤣🤣🤣
 
Nakuona chizi tu kujigeuza msemaji wa wachungaji, mnajipendekeza kwa watu wasiotaka mazoea na nyie.
 
Nakuona chizi tu kujigeuza msemaji wa wachungaji, mnajipendekeza kwa watu wasiotaka mazoea na nyie.
Hujui chochote! Mimi hao ni wachungaji wangu!

Basi tufanye wanamuunga Mkono Lisu na watashinikiza waumini wampigie kura Lisu. Furahi sasa.
 
Hiyo haitamsaidia!

Kama hao kina Mzinga wanamkubali sana Magu kwa jinsi alivyoihandle corona bila kufunga makanisa.
Pumbafu lile sio km ya akina ufufuo yanayomilikiwa na akina gwajima ni taasisi
 
Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican

Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Hakika, Magufuli ni kipenzi cha watanzania. Kadhihirisha upendo wake kwa:
1) kuwabomolea nyumba maelfu bila fidia. Wengi wamefariki kwa presha na mshituko wa moyo.
2) kutimua maelfu ya wafanyakazi waliotumikia miaka mingi, kwa kisingizio hawana cheti cha form 4.
3) kupunguza mzunguko wa fedha ili kuwakomoa wanyonge, wawe na maisha magumu sana ili wasimsahau maishani huu ni upendo wa hali ya juu.
4) kupandisha kodi na kuongeza tozo lukuki ili kupandisha ugumu wa maisha. Upendo hunoga zaidi vyuma vikibana.

5) kuongeza idadi kubwa ya usalama wa taifa ili kufuatilia wale wanaochonga chonga waipate fresh. Pia kudhibiti vyombo vya habari ili visithubutu kumchambua, au kumkosoa, bali vimsifie kwa upendo wake kwa watanzania.

Ongeza mengineyo tumuenzi kipenzi cha watanzania. Magufuli oyeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…