Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kwenye corona walisema watamchukulia hatua mtu?? Mwaka huu mtamu saaana 😂😂😂😂Hivyo vipeperushi Ndio vinakutisha?[emoji3][emoji3]
Vile vipeperushi vya corona mbona hawavitoi tena
Jamaa wa Lumumba yaelekea unalipwa Sana buku7X2 Kila Uzi upo na unajibu mwanzo mwisho.Halafu pumba tupu🤣🤣🤣Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Kichwani umejaa uji wla si ubongo kwa jinsi uwezo wa kufiriki umetamatika hapoHili lilissu kweli ni likibaraka yani mpaka camera man naye ni mzungu.
Nakuona chizi tu kujigeuza msemaji wa wachungaji, mnajipendekeza kwa watu wasiotaka mazoea na nyie.Wewe ndio mjinga sasa!
Hakuna aliesema corona imemuogopa Magu! Ila kwa jinsi alivyoishughulikia bila kuleta taharuki kwa watu ndio kinafanya hao wachungaji unaoona wamepiga picha na Lisu wamkubali sana JPM.
Hao mimi nawafahamu sana. Hasa sehemu kama dar viongozi wa dini wakimuona Lisu anavyopayuka kuhusu corona wanamuona mbumbumbu tu
Nimeshakwambia wewe ni kichwa maji tu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo Lisu atakuwa anaenda sokoni kununua nyanya ili aonekane?
DuuuuHiyo haitamsaidia!
Kama hao kina Mzinga wanamkubali sana Magu kwa jinsi alivyoihandle corona bila kufunga makanisa.
Hujui chochote! Mimi hao ni wachungaji wangu!Nakuona chizi tu kujigeuza msemaji wa wachungaji, mnajipendekeza kwa watu wasiotaka mazoea na nyie.
[emoji3][emoji3][emoji3]Sawa mkuu! Hongera wewe kichwa jiwe.Nimeshakwambia wewe ni kichwa maji tu.
Pumbafu lile sio km ya akina ufufuo yanayomilikiwa na akina gwajima ni taasisiHiyo haitamsaidia!
Kama hao kina Mzinga wanamkubali sana Magu kwa jinsi alivyoihandle corona bila kufunga makanisa.
Huyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!
Ombi - Utoaji mimba uruhusiwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wanayoipata wazazi wa kijana huyu mbumbumbu
Mungu siyo AmsterdamMwovu shetani kama Magufuli ufalme wa mbinguni hatauona
Kwahiyo wana Muunga mkono Lisu?Pumbafu lile sio km ya akina ufufuo yanayomilikiwa na akina gwajima ni taasisi
Kama mmeweza kakubali ushoga, mkipata nchi na mimba pia mtaruhusu kuzitoaOmbi - Utoaji mimba uruhusiwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wanayoipata wazazi wa kijana huyu mbumbumbu
Hakika, Magufuli ni kipenzi cha watanzania. Kadhihirisha upendo wake kwa:Hakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania