Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Mimi nashangaa yani ile sifa yake ya kupenda ubishi watu ndio huona kuwa ni mtu akili sana. Jamaa ana mihemuko hatari.
 
Very correct. Wanazi watabisha ila wenye akili timamu wanajua hilo.
 

Hilo linaweza kutokea

Wapo watu wanachukulia mama kapata urais kwa bahati tu... Na sio chaguo la wengi... Pia ktk uchaguzi mama asitarajie ushindi, wapo watakao kataa kuchagua mwanamke yaan kukataa kuongozwa na mwanamke...
 
Na watu wote waseme... Ameeen!!
 
Mpaka dakika hii tunavyo zungumza, lissu ni rais wa mabaga fresh pale manzese.
 
Ila haya hayamo katika Qur'an.
 
Kumbe watoto wa Sheikh Yahaya Hussein wapo wakiendeleza utabiri wa baba yao . Nitakutafuta unitabirie nyota yangu
 
Which bhang do you smoke?
 
Acha kuichezea Qur'an. Mnaweza kufanya siasa zenu bila kukichezea Kitabu cha Allah. Tafadhali sana.
Sasa hapo kosa la Mwandishi ji lipi? Mnashinda mnazini na hamuoni kosa ila kukitaja kitabu kitakatifu ndio mnaona ni dhambi?
 
Ameshakuwa raia wa ubelgiji, haruhusiwi kugombea huku, ndio maana analia Kila siku katiba ibadilishwe ili imruhusu kugombea, anataka ale vya huku na bya ubelgiji.

Na hayo mavyuma, hataweza mikiki mikiki ya uraisi, yatamtoboa mwili yatokeze nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…