Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii

Kwa hizi tozo upandishaji wa gharama za maisha nfumuko wa bei kuongezeka kwa deni la taifa ugumu wa maisha Lisu bila katiba na tume huru anashinda mapema sana.
 
Sasa hapo kosa la Mwandishi ji lipi? Mnashinda mnazini na hamuoni kosa ila kukitaja kitabu kitakatifu ndio mnaona ni dhambi?
Ushawahi kuniona nikizini? Mimi nimemuambia aache kuichezea Qur'an basi. Mnaweza kufanya siasa zenu bila kuichezea Qur'an.
 
Kupatikana Kwa KATIBA mpya na TUME huru ya Uchaguzi ni USHINDI mkubwa Kwa CDM na Tanzania kuliko LISSU kuwa Rais Kwa 2025.

Pia tujiulize, Ule Utaratibu na hulka tulojijengea ya kutorudia mgombea urais ilifutwa lini?

Naweza kubaliana nawe LISSU aweza kuwa RAIS wa JMT baada ya kupata KATIBA mpya.

Ameeen
 
Pengine upo sahihi. Kuna mengi amewahi kuyapita in a mysteriously way- na sikuwahi kuamini angevuka.
aliwaonya hata madini kuvunja mikataba kiholela, leo hii kuna trat na trab ya 360tril hewa
 
Siamini kwenye utabiri, lakini pengine Sheikh Yahya anawezekana alikuwa anamwongelea Lissu.

Nimeona pia na watu wengine wanatabiri hili kama Mwingira.

Pengine mwandishi embu fafanua Even though inaweza isiwe na sense kabisa.
Tabiri za namna hii hutetemesha sana Watawala wasio na Nia ya Kutoka madarakani Hasa wa CCM.
 

Kwenye hii comment ukitoa jina la Lisu na kuweka jina la hayati, lina-fit kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama alivyosema Mzee Warioba, Tundu Lisu akiwa Rais, atakuwa kiongozi mzuri, lakini sisi sote itabidi tujifunze kufanya mambo kwa kufuata sheria.
Nimejikuta nacheka nikikumbuka kwenye thread hii kuna watu wamesema kwa kejeli hadi matusi kuwa Tundu Lissu hawezi kamwe kuwa Rais na hafai.
Sasa tujiulize, Makamu wa Rais na waziri mkuu Warioba anayeijua nchi nje ndani amesema Lissu akiwa Rais atakuwa kiongozi mzuri sana hao mburukenge wanaotukana wana jielewa kweli?
Tena utakuta hata historia ya nchi hii hawaijui, wala mfumo wa utendaji wa serikali bali ni kupuliza vuvuzela tuu la uccm.
Hawa ndio wanaifanya Tanzania ikose furaha na kudharauliwa kuwa imejaa mazombie

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ameshakuwa raia wa ubelgiji, haruhusiwi kugombea huku, ndio maana analia Kila siku katiba ibadilishwe ili imruhusu kugombea, anataka ale vya huku na bya ubelgiji.

Na hayo mavyuma, hataweza mikiki mikiki ya uraisi, yatamtoboa mwili yatokeze nje
Hivi Chiembe ndio yule yule Ch8nembe? Au ni majina tu
 
Hai mburukenge ni tabia zile zile za roho mbaya na uchawi wala wasituhangaishe.

Mbona haya Kikwete anajua Lissu anafaa kuw Rais
 
Sasa TLS ndio Urais wa nchi? Huo si sawa tu na Urais wa Bao au masubwi? Juu yake si Kuna serikali? Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza , Huwezi ukampa mtu uongozi Aliyejaa mihemuko,uropokaji na jazba
Yaani akiwa Mpinzani anaitwa mropokaji akiwa ccm ni mhamasishaji kama Msukiuma, gwajima na Stever nyerere😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…