Kwa hizi tozo upandishaji wa gharama za maisha nfumuko wa bei kuongezeka kwa deni la taifa ugumu wa maisha Lisu bila katiba na tume huru anashinda mapema sana.Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Ushawahi kuniona nikizini? Mimi nimemuambia aache kuichezea Qur'an basi. Mnaweza kufanya siasa zenu bila kuichezea Qur'an.Sasa hapo kosa la Mwandishi ji lipi? Mnashinda mnazini na hamuoni kosa ila kukitaja kitabu kitakatifu ndio mnaona ni dhambi?
Kupatikana Kwa KATIBA mpya na TUME huru ya Uchaguzi ni USHINDI mkubwa Kwa CDM na Tanzania kuliko LISSU kuwa Rais Kwa 2025.Nawaambia Kama ilivyoandikwa kwenye Vitabu vitakatifu Biblia na Quran Kuna siku yaja Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
Kama ambavyo Mkapa, Kikwete na Magufuli walipambana na Tundu Lissu wakashindwa.
Ila Rais Samia yeye ataanguka kabisa iwepo Katiba mpya au isiwepo Tundu Lissu will become the next president after Samia.
Tunza hii kwenye kumbukumbu ya memory ya kichwa chako kwamba Tundu Lissu atakuja kuwa Rais wa nchi hii.
aliwaonya hata madini kuvunja mikataba kiholela, leo hii kuna trat na trab ya 360tril hewaPengine upo sahihi. Kuna mengi amewahi kuyapita in a mysteriously way- na sikuwahi kuamini angevuka.
Tabiri za namna hii hutetemesha sana Watawala wasio na Nia ya Kutoka madarakani Hasa wa CCM.Siamini kwenye utabiri, lakini pengine Sheikh Yahya anawezekana alikuwa anamwongelea Lissu.
Nimeona pia na watu wengine wanatabiri hili kama Mwingira.
Pengine mwandishi embu fafanua Even though inaweza isiwe na sense kabisa.
Wizara ya katiba na SHERIA!inamfaa sana huyu Mwamba!!Mi namuona ni Waziri muhimu ajaye ktk wizara muhimu atakayesaidia sana Nchi kupiga hatua.
Ajaye baada ya sa100 ni............, Muda ukifika ntamtaja.
Ameeeen
Rais wa manyumbu pale ufipani labda
Tundu lisu Hawezi Kamwe kuwa na kuja kuwa Rais wa nchi hii, Lisu Hawezi Hata kidogo kuwa Amiri Jeshi mkuu wa nchi hii, Lisu Ni mropokaji, mpayukaji, Amejaa mihemuko na jazba, Hana hekima Wala busara, Hana Subira Wala Nidhamu ya kiuongozi, Hajuwi miiko ya kiongozi, Lisu siyo kiongozi Yule, Hawezi kuwa Rais Hata TFF tu, Amejaa kauli za kuwagawa watu na kuwadharau watu, Hawezi kuwaunganisha watu zaidi ya kuwagawa watu, mdomo wake Hauna breki wala hajuwi aongee Nini na kwa wakati gani, Yule Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongozaa
Nimejikuta nacheka nikikumbuka kwenye thread hii kuna watu wamesema kwa kejeli hadi matusi kuwa Tundu Lissu hawezi kamwe kuwa Rais na hafai.Kama alivyosema Mzee Warioba, Tundu Lisu akiwa Rais, atakuwa kiongozi mzuri, lakini sisi sote itabidi tujifunze kufanya mambo kwa kufuata sheria.
Hivi Chiembe ndio yule yule Ch8nembe? Au ni majina tuAmeshakuwa raia wa ubelgiji, haruhusiwi kugombea huku, ndio maana analia Kila siku katiba ibadilishwe ili imruhusu kugombea, anataka ale vya huku na bya ubelgiji.
Na hayo mavyuma, hataweza mikiki mikiki ya uraisi, yatamtoboa mwili yatokeze nje
Hahaha kweli kabisaKwenye hii comment ukitoa jina la Lisu na kuweka jina la hayati, lina-fit kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Hai mburukenge ni tabia zile zile za roho mbaya na uchawi wala wasituhangaishe.Nimejikuta nacheka nikikumbuka kwenye thread hii kuna watu wamesema kwa kejeli hadi matusi kuwa Tundu Lissu hawezi kamwe kuwa Rais na hafai.
Sasa tujiulize, Makamu wa Rais na waziri mkuu Warioba anayeijua nchi nje ndani amesema Lissu akiwa Rais atakuwa kiongozi mzuri sana hao mburukenge wanaotukana wana jielewa kweli?
Tena utakuta hata historia ya nchi hii hawaijui, wala mfumo wa utendaji wa serikali bali ni kupuliza vuvuzela tuu la uccm.
Hawa ndio wanaifanya Tanzania ikose furaha na kudharauliwa kuwa imejaa mazombie
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Wanajifanya hawajuiMandela alipitia mapito mengi kutoka kwa makaburu lakini baadae alikuja kuwa rais
Yaani akiwa Mpinzani anaitwa mropokaji akiwa ccm ni mhamasishaji kama Msukiuma, gwajima na Stever nyerere😅😅Sasa TLS ndio Urais wa nchi? Huo si sawa tu na Urais wa Bao au masubwi? Juu yake si Kuna serikali? Lisu anapaswa kuongozwa na siyo kuongoza , Huwezi ukampa mtu uongozi Aliyejaa mihemuko,uropokaji na jazba