Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Upuuzi mtupu.Tuliza shono sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu.Tuliza shono sasa
Mimi sio mgonjwa bali jina langu ni Magonjwa Mtambuka .nakuliiza wewe mgonjwa mtambuka
Upuuzi gani?Upuuzi mtupu.
Fashion? Wewe kaburi la mumeo JMP unatembeleaga mara ngapi kwa mwaka?Yule mtoto wamemsomesha kama walivyoahidi au ndio imekuwa fasheni ya kutembelea makaburi tu?
Tuanze na Akwilinani ahadi ngapiccm wamezi tekeleza bwana nondo
Hivi nani hasa walimuua huyu Mwamba? Seriously?na kweli jamii ya kisukuma haijui wauaji ni nani?Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameitembelea familia ya aliyekuwa wanachama wa chama hicho marehemu Alphonce Mawazo ambaye aliuawa kwa kukatwa mapanga katika kijiji cha Chikobe Wilaya ya Geita mkoani Geita.
Pia soma > TANZIA - Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro
View attachment 2711013View attachment 2711014
Upuuzi mtupu.Upuuzi gani?
Binuka nikubamize.Fashion? Wewe kaburi la mumeo JMP unatembeleaga mara ngapi kwa mwaka?
Sindano imekuingia kenge maji wewe. Kafie mbele hukoBinuka nikubamize.
Mlimuua kwa kumcharanga mashoka mchana kweupe, mkafanya fujo Bugando hospital alikotunzwa, mkafukua kaburi kisa bendera iliyosimikwa kaburini. Yoote haya ya nini ?!.
Binuka nikubamize.Sindano imekuingia kenge maji wewe. Kafie mbele huko
Maliza eda ya JPM kwanza ndo uje kututafuta wanaume. Hapa JF hakuna asiyejua wewe kwenye ni mfiwa.Binuka nikubamize.
Hawakujua jambo moja mungu hadhihakiwiMlimuua kwa kumcharanga mashoka mchana kweupe, mkafanya fujo Bugando hospital alikotunzwa, mkafukua kaburi kisa bendera iliyosimikwa kaburini. Yoote haya ya nini ?!.
Maghufuli mliempigania kufa na kupona ili mkoa mzima wa Geita kusiweko upinzani , yuko wapi ?!. Fahari ya nini kama vitu na vyeo vyetu hatuendi navyo kokote ?!