Tundu Lissu atembelea kaburi marehemu Alphonce Mawazo
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameitembelea familia ya aliyekuwa wanachama wa chama hicho marehemu Alphonce Mawazo ambaye aliuawa kwa kukatwa mapanga katika kijiji cha Chikobe Wilaya ya Geita mkoani Geita.

Pia soma > TANZIA - Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

View attachment 2711013View attachment 2711014
Hivi nani hasa walimuua huyu Mwamba? Seriously?na kweli jamii ya kisukuma haijui wauaji ni nani?
 
Dalili za mtu kufa ni pamoja na kutembea wafu sana...
 
ccm asanteni sana kwa kutuhabarisha.
 
Aise sawa
Screenshot_20230807-145340.jpg
Screenshot_20230807-145340.jpg
Screenshot_20230807-145340.jpg
 
Inapofika mahali kwa vitu sensitive vinavyohusisha maisha ya watu waliokufa mikononi mwenu jaribu kukaa kimya
 
Mlimuua kwa kumcharanga mashoka mchana kweupe, mkafanya fujo Bugando hospital alikotunzwa, mkafukua kaburi kisa bendera iliyosimikwa kaburini. Yoote haya ya nini ?!.

Maghufuli mliempigania kufa na kupona ili mkoa mzima wa Geita kusiweko upinzani , yuko wapi ?!. Fahari ya nini kama vitu na vyeo vyetu hatuendi navyo kokote ?!
 
Mlimuua kwa kumcharanga mashoka mchana kweupe, mkafanya fujo Bugando hospital alikotunzwa, mkafukua kaburi kisa bendera iliyosimikwa kaburini. Yoote haya ya nini ?!.

Maghufuli mliempigania kufa na kupona ili mkoa mzima wa Geita kusiweko upinzani , yuko wapi ?!. Fahari ya nini kama vitu na vyeo vyetu hatuendi navyo kokote ?!
Hawakujua jambo moja mungu hadhihakiwi
 
Back
Top Bottom