Tundu Lissu: Bila kuwa na Uwazi na Uwajibikaji, CHADEMA itakufa

Tundu Lissu: Bila kuwa na Uwazi na Uwajibikaji, CHADEMA itakufa

Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?

Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.

Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.

Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.

Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.

Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.

Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.

Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?

Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?

Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.

Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.

Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.

Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
Nakala iwafikie Retired Lusungo Fundi Mchundo Quinine
 
Ingekuwa rahisi hivyo kuongelea mambo ya ndani katiba za taasisi nyingi zisingeweka kipengele cha kuwataka wajumbe watunze siri za vikao.

Au hata makampuni makubwa huko duniani wasingeweka kipengele cha ‘restrictive covenant’ kinachozuia watu walioshika nafasi za senior designers na other senior strategic planning posts; kuweza kuacha kazi tu wenyewe bila ya kufukuzwa halafu uende kwa mshindani wao. Hilo halipo una siri zao, ndio maana unawekwa kipengele kitakacho kuzuia kwenda huko walau ipite miaka miwili kwanza baada ya kuacha kazi usipeleke mbinu zao huko.

Same kuna shida CDM kwa maelezo ya Lissu, lakini kwa nafasi yeye sio mtu wa kuongea; tena akiwa bado makamu mwenyekiti (kiongozi). Walau angekuwa ameachia hiyo nafasi kwanza ndio aongee, ata kama anagombea uenyekiti.

Lissu hana sifa ya uongozi kwa tabia zake. Hajui hata negotiations ni give and take; you don’t get everything in negotiations. Yeye ukisikiliza unaona kuna demands wakati hana upper hand kwenye bargaining power.

Lissu hatoshi, na Mbowe amepwaya.
But confidentiality haiusiki kwenye ubadhirifu na criminal,hayo sio mambo ya kuficha kwa kuwa hayaendani na good compliance,unaweza fiche siri za mbinu ya kibiashara ila sio ubadhirifu au forgery
 
Duh!!!!
Kumbe nawe ni shit....
Nilikuwa nakuonaga wa maana
.
Shit
EEeeeenHEEEEh!

Sasa unataka nilie; kwa wewe kujitambua leo kuwa kumbe umekuwa ni taka toka toka zamani bila kujitambua?

Usinihusishe mimi na upumbavu wako mwenyewe.

Some of us have firm convictions, issues we believe in. We do not change those beliefs whimsically.
 
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?

Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.

Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.

Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.

Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.

Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.

Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.

Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?

Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?

Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.

Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.

Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.

Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
Yoh.3.20 maana kila mtu atendaye mabaya huichukia nuru wala haji kwenye nuru ili matendo yake yasije yakakemewa (kama alivyokemea Antipas)
 
But confidentiality haiusiki kwenye ubadhirifu na criminal,hayo sio mambo ya kuficha kwa kuwa hayaendani na good compliance,unaweza fiche siri za mbinu ya kibiashara ila sio ubadhirifu au forgery
Wapi Lissu kaongelea ubadhirifu na non-compliance zaidi ya baseless accusations.

Yaani wewe unaamini CDM haikaguliwi source zake za mapato na mifumo yao na CAG.

Msingi wa ‘restrictive covenant’ kwenye employment contract ni uelewa kwamba unambinu za vita za ndani kwa baadhi ya nafasi, same kwenye siasa ‘unakaa kwenye vikao’ vya mipango; kwa hivyo kuna collective responsibility.

Ukitaka kuropoka toka kwanza kwenye uongozi wa chama au serikalini ndio uanze kumvaa kiongozi; kutoka sio Kuama chama ni kuachia nafasi yako uliyonayo.

Vinginevyo kumsema boss wakati na wewe ni kiongozi huo ni utovu wa nidhamu kwenye siasa za vyama na serikalini.
 
kama kawaida yako; unajifanya hapa kujuwa maswala; lakini unashindwa kufanya tofauti kati ya hizo taasisi/makampuni ya watu binafsi na maswala ya nchi yanayo shughulikia maisha ya wananchi. Akili za aina hii ni za kukariri tu mambo na kuyachukua yalivyo bila kutumia uwezo wa kuyafafanua.

Lakini, hata huko kwenye makampuni, hujui kuwa madudu yanapo tokea na kujulikana makampuni hayo huwajibishwa?
Mie naongelea umakini watu wanaochukua kuhakikisha mambo ya ndani ayaongelewi nje na watu wenye nafasi za mikakati, iwe taasisi ya public or private; political or business.

We unaleta hadithi zako kama kawaida tofauti na nilichoandika.
 
Msingi wa ‘restrictive covenant’ ni uelewa kwamba unambinu za vita za ndani, same kwenye siasa ‘unakaa kwenye vikao’ vya mipango; kwa hivyo kuna collective responsibility.
Ni "mbinu" zipi za CHADEMA alizo zi'expose' Tundu Lissu!

"collective responsibility" ya kuua chama. You must be kidding!
 
Mie naongelea umakini watu wanaochukua kuhakikisha mambo ya ndani ayaongelewi nje na watu wenye nafasi za mikakati, iwe taasisi ya public or private; political or business.

We unaleta hadithi zako kama kawaida tofauti na nilichoandika.
Ulicho andika wewe hakina uhusiano wowote na hakihusu maswala ya kisiasa.
Na hata huko kwenye taasisi; hayo uliyo yaongelea haya weki ulinzi katika maswala ya uvunjifu wa sheria.
Wewe unarundika tu, bila ya kubainisha chochote, ili mradi uonyeshe unayajuwa ya huko yanavyo fanyika. Unaleta humu upotoshaji wa maksudi kabisa.
 
Kuna mahali nimewahi fanya kazi zamani, huwezi zungumzia kampuni hiyo kwa chochote kwa Miaka mitano solid, na una sign agreement..

Haya anayosema Lissu kama ndio ameyaona kwa uongoz wa miaka 20 wa mwamba bas Mwamba ni mtu smart sana...

Kuna NGOs na taasisi nyingi sana madudu yake nchi ingetikisika..

Such a senior position with loose mouth, what a shame?
1000211802.jpg

What a shame bladifaken
 
Ulicho andika wewe hakina uhusiano wowote na hakihusu maswala ya kisiasa.
Na hata huko kwenye taasisi; hayo uliyo yaongelea haya weki ulinzi katika maswala ya uvunjifu wa sheria.
Wewe unarundika tu, bila ya kubainisha chochote, ili mradi uonyeshe unayajuwa ya huko yanavyo fanyika. Unaleta humu upotoshaji wa maksudi kabisa.
Ebu leta mfano mmoja duniani ambapo kiongozi anaponda chama chake akiwa bado ni sehemu ya vikao vikuu vya chama au serikali.

Hata Ruto alipoanza campaign zake aliachana na shughuli za serikali tena ilikuwa ya mseto.
 
Ebu leta mfano mmoja duniani ambapo kiongozi anaponda chama chake akiwa bado ni sehemu ya vikao vikuu vya chama au serikali.

Hata Ruto alipoanza campaign zake aliachana na shughuli za serikali tena ilikuwa ya mseto.
Usiwe king'ang'anizi tu wa hoja bila kutumia akili kufikiri.
Maswala ya CHADEMA yameongelewa sana ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho. Hata siku moja hukusikia yaliyo kuwa yakiongelewa huko.
Uwezekano wa kuyafumbua matatizo huko ndani umeshindikana na juhudi za kuendeleza ubovu huo zikiendelea. Sasa wewe ulitaka nini kifanyike; kuendelea kulea uozo huko huko ndani kwa jina la 'collective responsibility', au kuchukuwa wajibu wa kukiokoa chama!
Chama siyo mali ya mtu, au ya viongozi, ni mali ya wananchi.
Kwa hiyo sasa maswala yameletwa kwa wenye chama, waamue. Hizo siri unazo taka zifichwe ni zipi, hasa; unaweza kuzitaja?
Una hakika ni siri za chama, au ni za watu binafsi; hata kama ni viongozi wa chama?

Kwa nini wewe na wengine mnakazania sana madudu ya mtu/watu binafsi na wala siyo ya chama yalindwe? Chama kinafaidika vipi na hawa watu kufichiwa hizo siri?

Siri za watu binafsi zinazo kidhoofisha chama zifichwe, kwa jina la 'collective responsibility', kwa nini?
 
Msingi wa ‘restrictive covenant’ kwenye employment contract ni uelewa kwamba unambinu za vita za ndani kwa baadhi ya nafasi, same kwenye siasa ‘unakaa kwenye vikao’ vya mipango; kwa hivyo kuna collective responsibility.
"...mbinu za vita za chama" zipi alizo zitoa Tundu Lissu.
Mwenyekiti wa chama alipewa maelekezo na chama kuyafanya yote yanayo lalamikiwa? Kama kachukuwa jukumu la kufanya mambo binafsi; bado ni sahihi asiambiwe kwa vile yeye ni mwenyekiti?
 
Usiwe king'ang'anizi tu wa hoja bila kutumia akili kufikiri.
Maswala ya CHADEMA yameongelewa sana ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho. Hata siku moja hukusikia yaliyo kuwa yakiongelewa huko.
Uwezekano wa kuyafumbua matatizo huko ndani umeshindikana na juhudi za kuendeleza ubovu huo zikiendelea. Sasa wewe ulitaka nini kifanyike; kuendelea kulea uozo huko huko ndani kwa jina la 'collective responsibility', au kuchukuwa wajibu wa kukiokoa chama!
Chama siyo mali ya mtu, au ya viongozi, ni mali ya wananchi.
Kwa hiyo sasa maswala yameletwa kwa wenye chama, waamue. Hizo siri unazo taka zifichwe ni zipi, hasa; unaweza kuzitaja?
Una hakika ni siri za chama, au ni za watu binafsi; hata kama ni viongozi wa chama?

Kwa nini wewe na wengine mnakazania sana madudu ya mtu/watu binafsi na wala siyo ya chama yalindwe? Chama kinafaidika vipi na hawa watu kufichiwa hizo siri?

Siri za watu binafsi zinazo kidhoofisha chama zifichwe, kwa jina la 'collective responsibility', kwa nini?
Akili zako na huyo Lissu ni sawa.

Soma vizuri post #6 sipingi kwamba CDM hakuna shida.

Sana Lissu ameelezea extent ya tatizo; haiwezekani prominent members viongozi wa kanda kuwa na msimamo mmoja Lissu, Lema, Heche, Msigwa, yule wa kusini (jina limenitoka) na Wenje (kabla ya kugeuka). Clearly Mbowe muda ulikuwa umefika.

Lakini hizo ni taarifa za vikao vya ndani, sio public knowledge na kawaida kwenye siasa kupishana kupo. Sasa baada ya hapo huwezi toka nje na kuanza kuropoka especially mtu ambae bado ni kiongozi.

Siasa pia zina etiquette zake achana na katiba yao inayosema hivyo vikao ni siri. Mtu ropo-ropo kama huyo hafai; mbona wenzake Lema, Heche na alieondolewa kanda ya kusini wanajua mipaka ya ulimi wao kuhusu kutokutoa siri za ndani.
 
"...mbinu za vita za chama" zipi alizo zitoa Tundu Lissu.
Mwenyekiti wa chama alipewa maelekezo na chama kuyafanya yote yanayo lalamikiwa? Kama kachukuwa jukumu la kufanya mambo binafsi; bado ni sahihi asiambiwe kwa vile yeye ni mwenyekiti?
Uzuri ni kwamba yeye mwenyewe Lissu anafahamu siasa anazofanya zinakibomoa chama baada ya uchaguzi ashinde/ashindwe wana kazi kubwa mno ya kukirudisha kwenye mstari.

Nguvu ya chama cha siasa ni public support not infighting za power struggle baina ya viongozi. Kuweka hadharani mambo hayo huko ni kukidhoofisha chama na kukipotezea imani kwa wapiga kura.

Lissu hafai kwa nafasi ya uongozi, hata kama kweli Mbowe kaishiwa pumzi. Mara 1000% ya Heche lakini Lissu ni ropo-ropo mno.
 
Hii ni misrepresentation. Hakuna mtu anaesema uovu ufichwe. Uovu wowote ndani ya chama unatakiwa ushughulikiwe kwa taratibu walizojiwekea kuushughulikia. Kuuleta hadharani inatakiwa iwe hatua ya mwisho baada ya kuona viongozi hawataki kuzishughulikia. Hatua hii mara nyingi inatakiwa iendane na kujiuzuru kutoka katika nafasi ya uongozi. Kinachoendelea sasa hivi ni kutoa tu allegations bila substantiation.

Lissu ametoa allegation kuwa Wenje alimpeleka Abduli kwake ili amhonge pesa. Kutia uzito akasema Abduli akamwambia kuwa kuna viongozi wengine wa Chadema wamepokea mshiko kutoka kwake. Watu wengi waka conclude kuwa Wenje ni corrupt na kuwa katika hao viongozi wengine corrupt Mbowe yumo. Yericko akasema sio kweli, watu hawakumuamini. Wenje akajitetea lakini bado watu hawakumuamini. Sasa humu kuna clip ya Lissu akisema kwa uwazi kuwa aliongea na Abduli kuhusu deni lake na alimpa ushahidi wa kupeleka kwa mama yake kuwa hajalipwa. Mbaya zaidi akasema kuwa alimwambia Abduli akimsaidia basi atakuwa rafiki yake wa kudumu. Kuna watu wamejaribu kumtetea Lissu kuwa jaribio la kumhonga lilifanyika kabla ya hiyo clip. This only makes things worse kwa Lissu kwa sababu mtu anayechukia rushwa hawezi kumwambia mtu aliyejaribu kumhonga kuwa atakuwa rafiki yake wa kudumu. Sasa tunaambiwa aliyempa ushahidi wa corruption ya Wenje ameishafariki! Which again begs the question wa kuwa alikubali vipi kuongea na Wenje wakati ana ushahidi kuwa ni corrupt?

Lakini tayari kwa kukimbilia kwenye public amewachafua Wenje na Mbowe! Hicho ndicho tusichotaka. Tunajua kuwa kuna figisu figisu zinafanyika katika chama lakini mara nyingi ni za kunusuru chama. Kuna uwezekano kabisa kuwa chama kilimchezea mchezo mbaya Nyalandu na kumpa ushindi Lissu kwa sababu kilijua kuwa Nyalandu alikuwa ni plant. Na muda umeonyesha kuwa walikuwa sahihi. Hivyo hivyo kwa Sumaye na Msigwa. Huo ndio ukweli ninao uona.

Watu wamevaa miwani kuhusu Lissu na hawataki kusikia lolote baya kuhusu yeye. Ila muda ni mwalkmu mzuri.

Amandla...
 
Akili zako na huyo Lissu ni sawa.
'Actually' kadri ninavyo zidi kumfahamu Tundu Lissu kwa haya yanayo endelea sasa hivi, sina tatizo kabisa na huo mstari ulio uweka hapo juu.
Je, nami nikikwambia kuwa akili zako hazitofautiani sana na za Marehemu Magufuli....!

Hata kwa huyo Magufuli, sijui wewe na akili zako hizi utakuwaje karibu na yeye, hasa katika mambo kadhaa mazuri sana aliyo kuwa akiya takia taifa hili! Wewe upande huo ni zero kabisa; lakini bado ukawa 'fanatic' wake. Bila shaka ni kwa sababu ya yale maovu ndiyo yaliyo kuvuta kwake.
Sana Lissu ameelezea extent ya tatizo; aiwezekani prominent members viongozi wa kanda kuwa na msimamo mmoja Lissu, Lema, Heche, Msigwa, yule wa kusini (jina limenitoka) na Wenje (kabla ya kugeuka). Clearly Mbowe muda ulikuwa umefika.

Lakini hizo ni taarifa za vikao vya ndani, sio public knowledge na kawaida kwenye siasa. Sasa baada ya hapo uwezi toka nje na kuanza kuropoka especially mtu bado ni kiongozi.
Habari za vikao vya ndani vilivyo shindikana!
Niambie sasa, kwenye hayo yaliyo tolewa nje, kuna "mbinu zipi za kivita za chama ambazo Lissu kaziropoka na kuhatarisha uhai wa chama? Usipende tu kutumia mifano ya kutishia watu na miundo ya taasisi zisizo husiana kabisa na maswala yanayo husika ndani ya vyama vya siasa.

Unatetea mbinu za kukidhoofisha chama na kulaumu juhudi za kukiokoa chama. Huko ni kukosa akili kichwani.
 
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?

Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.

Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.

Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.

Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.

Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.

Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.

Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?

Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?

Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.

Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.

Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.

Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
Ni kweli
 
Uzuri ni kwamba yeye mwenyewe Lissu anafahamu siasa anazofanya zinakibomoa chama baada ya uchaguzi wana kazi ashinde/ashindwe wana kazi kubwa mno ya kukirudisha kwenye mstari.
Huku ndiko kujitoa ufahamu wewe mwenyewe waziwazi kabisa na kujichukulia kuwa wewe ni mwerevu!
Chama chini ya Mbowe kabla, na baada (kama Mbowe atabakia uongozini); hicho chama ni mfu.

Baada ya uchaguzi huu, endapo kama Mbowe atawekwa pembeni, chama kinayo nafasi ya kujijenga upya kabisa, bila ya mizengwe ya ujinga mwingi ulio ingizwa na Mbowe ndani ya chama.

Na hili ndilo linalo wanyima utulivu wa akili nyinyi mlioko huko ndani ya CCM iliyo oza. Sita shangaa uwepo wako hapa ukitetea haya ni juhudi tu za kumpambania Mbowe ili CCM ifanikiwe zaidi.
 
Back
Top Bottom