Lisu akutane na wajumbe aongee nao hayo, aache kututafuta exist door kwa kuongea hovyo hovyo.
Wangapi huko SYW ni wajumbe/wapiga kura? Yeye kaamua kuiitaabisha chadema kwa kuongea chochote na lolote analolifahamu kwa yoyote bila kujali maswala ya ndani ya chama na yale ya public.
Mimi kwa mtizamo wangu naona Lisu anasema chadema haifai, na sijui anasubiri nini wakati aliishasema, chadema ikiacha misingi yake anaondoka kwasababu chadema siyo baba wala mama yake.
Kwanini haondoki kama chama kimeoza kiasi hicho, anasubiri nini?
Wangapi huko SYW ni wajumbe/wapiga kura? Yeye kaamua kuiitaabisha chadema kwa kuongea chochote na lolote analolifahamu kwa yoyote bila kujali maswala ya ndani ya chama na yale ya public.
Mimi kwa mtizamo wangu naona Lisu anasema chadema haifai, na sijui anasubiri nini wakati aliishasema, chadema ikiacha misingi yake anaondoka kwasababu chadema siyo baba wala mama yake.
Kwanini haondoki kama chama kimeoza kiasi hicho, anasubiri nini?