Tundu Lissu: Bila kuwa na Uwazi na Uwajibikaji, CHADEMA itakufa

Tundu Lissu: Bila kuwa na Uwazi na Uwajibikaji, CHADEMA itakufa

Kila siku nawaambia humu ndani ukiwapanga watanzania kwa ukubwa wa akili na usahihi wa matumizi basi Lissu atashika namba moja kwa miaka 100 au zaidi.
Hii nchi ina wajinga wengi ukiwagawia akili za Lissu pekee kila mmoja anapata na zinabaki.
Achaneni na Mbowe kabla hamjageuka Mazombie.
 
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?

Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.

Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.

Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.

Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.

Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.

Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.

Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?

Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?

Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.

Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.

Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.

Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
Uwazi ni muhimu
 
Ingekuwa rahisi hivyo kuongelea mambo ya ndani katiba za taasisi nyingi zisingeweka kipengele cha kuwataka wajumbe watunze siri za vikao.

Au hata makampuni makubwa huko duniani wasingeweka kipengele cha ‘restrictive covenant’ kinachozuia watu walioshika nafasi za senior designers na other senior strategic planning posts; kuweza kuacha kazi tu wenyewe bila ya kufukuzwa halafu uende kwa mshindani wao. Hilo halipo una siri zao, ndio maana unawekwa kipengele kitakacho kuzuia kwenda huko walau ipite miaka miwili kwanza baada ya kuacha kazi usipeleke mbinu zao huko.

Same kuna shida CDM kwa maelezo ya Lissu, lakini kwa nafasi yeye sio mtu wa kuongea; tena akiwa bado makamu mwenyekiti (kiongozi). Walau angekuwa ameachia hiyo nafasi kwanza ndio aongee, ata kama anagombea uenyekiti.

Lissu hana sifa ya uongozi kwa tabia zake. Hajui hata negotiations ni give and take; you don’t get everything in negotiations. Yeye ukisikiliza unaona kuna demands wakati hana upper hand kwenye bargaining power.

Lissu hatoshi, na Mbowe amepwaya.

Sasa hivi hamna mwenyekiti wala makamu, wote ni wagombea so yupo sahihi na mfano wa corporate world haupo relevant kwenye siasa
 
Kuna mahali nimewahi fanya kazi zamani, huwezi zungumzia kampuni hiyo kwa chochote kwa Miaka mitano solid, na una sign agreement..

Haya anayosema Lissu kama ndio ameyaona kwa uongoz wa miaka 20 wa mwamba bas Mwamba ni mtu smart sana...

Kuna NGOs na taasisi nyingi sana madudu yake nchi ingetikisika..

Such a senior position with loose mouth, what a shame?
Mkuu kampuni na chama cha siasa ni vitu tofauti.

Lisu kasisitiza kuweka wazi rushwa na matumizi ya mapato na matumizi.

Au unaona ni aibu kuweka wazi au una maanisha nini???
 
Kuna mahali nimewahi fanya kazi zamani, huwezi zungumzia kampuni hiyo kwa chochote kwa Miaka mitano solid, na una sign agreement..

Haya anayosema Lissu kama ndio ameyaona kwa uongoz wa miaka 20 wa mwamba bas Mwamba ni mtu smart sana...

Kuna NGOs na taasisi nyingi sana madudu yake nchi ingetikisika..

Such a senior position with loose mouth, what a shame?
🤔 🤔 🤔
 
Kuna mahali nimewahi fanya kazi zamani, huwezi zungumzia kampuni hiyo kwa chochote kwa Miaka mitano solid, na una sign agreement..

Haya anayosema Lissu kama ndio ameyaona kwa uongoz wa miaka 20 wa mwamba bas Mwamba ni mtu smart sana...

Kuna NGOs na taasisi nyingi sana madudu yake nchi ingetikisika..

Such a senior position with loose mouth, what a shame?

But confidentiality haiusiki kwenye ubadhirifu na criminal,hayo sio mambo ya kuficha kwa kuwa hayaendani na good compliance,unaweza fiche siri za mbinu ya kibiashara ila sio ubadhirifu au forgery
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👌👍
 
Ingekuwa rahisi hivyo kuongelea mambo ya ndani katiba za taasisi nyingi zisingeweka kipengele cha kuwataka wajumbe watunze siri za vikao.

Au hata makampuni makubwa huko duniani wasingeweka kipengele cha ‘restrictive covenant’ kinachozuia watu walioshika nafasi za senior designers na other senior strategic planning posts; kuweza kuacha kazi tu wenyewe bila ya kufukuzwa halafu uende kwa mshindani wao. Hilo halipo una siri zao, ndio maana unawekwa kipengele kitakacho kuzuia kwenda huko walau ipite miaka miwili kwanza baada ya kuacha kazi usipeleke mbinu zao huko.

Same kuna shida CDM kwa maelezo ya Lissu, lakini kwa nafasi yeye sio mtu wa kuongea; tena akiwa bado makamu mwenyekiti (kiongozi). Walau angekuwa ameachia hiyo nafasi kwanza ndio aongee, ata kama anagombea uenyekiti.

Lissu hana sifa ya uongozi kwa tabia zake. Hajui hata negotiations ni give and take; you don’t get everything in negotiations. Yeye ukisikiliza unaona kuna demands wakati hana upper hand kwenye bargaining power.

Lissu hatoshi, na Mbowe amepwaya.
Hebu Tulia ww, hakuna siri kwenye uchafu. Sehemu kubwa ya siri wanazoficha huko kwenye taasisi ni mbinu za kufaidisha taasisi na sio wizi wa kijinga.
 
Usiwe king'ang'anizi tu wa hoja bila kutumia akili kufikiri.
Maswala ya CHADEMA yameongelewa sana ndani ya Kamati Kuu ya chama hicho. Hata siku moja hukusikia yaliyo kuwa yakiongelewa huko.
Uwezekano wa kuyafumbua matatizo huko ndani umeshindikana na juhudi za kuendeleza ubovu huo zikiendelea. Sasa wewe ulitaka nini kifanyike; kuendelea kulea uozo huko huko ndani kwa jina la 'collective responsibility', au kuchukuwa wajibu wa kukiokoa chama!
Chama siyo mali ya mtu, au ya viongozi, ni mali ya wananchi.
Kwa hiyo sasa maswala yameletwa kwa wenye chama, waamue. Hizo siri unazo taka zifichwe ni zipi, hasa; unaweza kuzitaja?
Una hakika ni siri za chama, au ni za watu binafsi; hata kama ni viongozi wa chama?

Kwa nini wewe na wengine mnakazania sana madudu ya mtu/watu binafsi na wala siyo ya chama yalindwe? Chama kinafaidika vipi na hawa watu kufichiwa hizo siri?

Siri za watu binafsi zinazo kidhoofisha chama zifichwe, kwa jina la 'collective responsibility', kwa nini?
🌤️🙋‍♂️✍️🎯👌👍
 
Akili zako na huyo Lissu ni sawa.

Soma vizuri post #6 sipingi kwamba CDM hakuna shida.

Sana Lissu ameelezea extent ya tatizo; haiwezekani prominent members viongozi wa kanda kuwa na msimamo mmoja Lissu, Lema, Heche, Msigwa, yule wa kusini (jina limenitoka) na Wenje (kabla ya kugeuka). Clearly Mbowe muda ulikuwa umefika.

Lakini hizo ni taarifa za vikao vya ndani, sio public knowledge na kawaida kwenye siasa kupishana kupo. Sasa baada ya hapo huwezi toka nje na kuanza kuropoka especially mtu ambae bado ni kiongozi.

Siasa pia zina etiquette zake achana na katiba yao inayosema hivyo vikao ni siri. Mtu ropo-ropo kama huyo hafai; mbona wenzake Lema, Heche na alieondolewa kanda ya kusini wanajua mipaka ya ulimi wao kuhusu kutokutoa siri za ndani.
Mkuu mayor,

Kweli of all the people Lissu ndiye asijue mipaka ya siri??? Wewe na Kalamu mnatofautiana sehemu ndogo sana.

Kwenye hoja hii, Lissu amejikita kuwepo uwazi kuhusu matumizi mapato na rushwa kwenye chama chao.

Nyie wawili mmetanua wigo nje ya mada hii na hapo ndipo tofauti yenu inapoanzia.

Tujielekeze kwenye mada hii, je ni sahihi Lissu kudai uwazi kwenye mapato, matumizi na rushwa???

Halafu, pamoja na kutofautiana mitizamo ni vizuri tukatoa msimamo yetu pasipo kutukanana na wenzetu tunaohojiana nao au tusiokubaliana nao.

Huo ndio ukomavu na uungwana. Uvumilivu ni kipimo cha ustaraabu na busara mkuu.
 
Huku ndiko kujitoa ufahamu wewe mwenyewe waziwazi kabisa na kujichukulia kuwa wewe ni mwerevu!
Chama chini ya Mbowe kabla, na baada (kama Mbowe atabakia uongozini); hicho chama ni mfu.

Baada ya uchaguzi huu, endapo kama Mbowe atawekwa pembeni, chama kinayo nafasi ya kujijenga upya kabisa, bila ya mizengwe ya ujinga mwingi ulio ingizwa na Mbowe ndani ya chama.

Na hili ndilo linalo wanyima utulivu wa akili nyinyi mlioko huko ndani ya CCM iliyo oza. Sita shangaa uwepo wako hapa ukitetea haya ni juhudi tu za kumpambania Mbowe ili CCM ifanikiwe zaidi.
 
Lisu akutane na wajumbe aongee nao hayo, aache kututafuta exist door kwa kuongea hovyo hovyo.

Wangapi huko SYW ni wajumbe/wapiga kura? Yeye kaamua kuiitaabisha chadema kwa kuongea chochote na lolote analolifahamu kwa yoyote bila kujali maswala ya ndani ya chama na yale ya public.

Mimi kwa mtizamo wangu naona Lisu anasema chadema haifai, na sijui anasubiri nini wakati aliishasema, chadema ikiacha misingi yake anaondoka kwasababu chadema siyo baba wala mama yake.

Kwanini haondoki kama chama kimeoza kiasi hicho, anasubiri nini?
🤔 🤔 🤔 💭
 
Yote haya ni upuuzi mtupu.
Mambo ya Mbowe yamekwisha fahamika. Hana jipya tena analoweza kulileta CHADEMA, mbali ya kujitafutia maslahi mwenyewe na wanao mzunguka.

Wewe huna 'credentials' za namna yoyote ya kumjuwa ni kiongozi gani anafaa kuiongoza CHADEMA Kutokana na hulka zako ulizo onyesha humu Jukwaani, tokea uingie, sinamashaka hata kidogo kwamba wewe siyo mtu wa kukusikiliza kwa lolote la maana. Huna ushauri wowote unao weza kumfanya mtu auchukulie kwa makini. Unatawaliwa sana na 'pomposity' za kutaka uonekane unajuwa mambo; hata bila ya kupima usahihi wa hayo mambo katika hali ya matatizo yaliyopo.

You're useless.
Mkuu sio kweli, na hauko sahihi katika hili, tusemezane kwa staha. Tuliza munkari mkuu.

Humu jukwaani kila mtu ana uhuru wa maoni na mitizamo yake, jitahidi kuheshimiana hata kama mjadala ni wa moto namna gani!! Vumilia songa mbe kwa staha mkuu.

Jihadharini sana, msivuke mipaka ya kuingia kwenye uchawa! Mpo ukiongoni!!

Kuna mijadala ya moto zaidi ya huu baada ya uchaguzi huu.
 
Kila siku nawaambia humu ndani ukiwapanga watanzania kwa ukubwa wa akili na usahihi wa matumizi basi Lissu atashika namba moja kwa miaka 100 au zaidi.
Hii nchi ina wajinga wengi ukiwagawia akili za Lissu pekee kila mmoja anapata na zinabaki.
Achaneni na Mbowe kabla hamjageuka Mazombie.
🤣 🤣 🤣
 
Ingekuwa rahisi hivyo kuongelea mambo ya ndani katiba za taasisi nyingi zisingeweka kipengele cha kuwataka wajumbe watunze siri za vikao.

Au hata makampuni makubwa huko duniani wasingeweka kipengele cha ‘restrictive covenant’ kinachozuia watu walioshika nafasi za senior designers na other senior strategic planning posts; kuweza kuacha kazi tu wenyewe bila ya kufukuzwa halafu uende kwa mshindani wao. Hilo halipo una siri zao, ndio maana unawekwa kipengele kitakacho kuzuia kwenda huko walau ipite miaka miwili kwanza baada ya kuacha kazi usipeleke mbinu zao huko.

Same kuna shida CDM kwa maelezo ya Lissu, lakini kwa nafasi yeye sio mtu wa kuongea; tena akiwa bado makamu mwenyekiti (kiongozi). Walau angekuwa ameachia hiyo nafasi kwanza ndio aongee, ata kama anagombea uenyekiti.

Lissu hana sifa ya uongozi kwa tabia zake. Hajui hata negotiations ni give and take; you don’t get everything in negotiations. Yeye ukisikiliza unaona kuna demands wakati hana upper hand kwenye bargaining power.

Lissu hatoshi, na Mbowe amepwaya.
Huna akili kumbe
 
Kila siku nawaambia humu ndani ukiwapanga watanzania kwa ukubwa wa akili na usahihi wa matumizi basi Lissu atashika namba moja kwa miaka 100 au zaidi.
Hii nchi ina wajinga wengi ukiwagawia akili za Lissu pekee kila mmoja anapata na zinabaki.
Achaneni na Mbowe kabla hamjageuka Mazombie.
Lisu anaropka bila evidence. Ameweka evidence gani? . Lisu ameweka revelations, ...submissions which submissions are not evidence.....Wewe ndiye hujui , huna akili za kuchanganua mambo unameza kama dodoki

LISU AMETOA TUHUMA , TUHUMA INABIDI ZITHIBITISHWE NA USHAHIDI.
 
Back
Top Bottom