Tundu Lissu: Bila kuwa na Uwazi na Uwajibikaji, CHADEMA itakufa

Lisu akutane na wajumbe aongee nao hayo, aache kututafuta exist door kwa kuongea hovyo hovyo.

Wangapi huko SYW ni wajumbe/wapiga kura? Yeye kaamua kuiitaabisha chadema kwa kuongea chochote na lolote analolifahamu kwa yoyote bila kujali maswala ya ndani ya chama na yale ya public.

Mimi kwa mtizamo wangu naona Lisu anasema chadema haifai, na sijui anasubiri nini wakati aliishasema, chadema ikiacha misingi yake anaondoka kwasababu chadema siyo baba wala mama yake.

Kwanini haondoki kama chama kimeoza kiasi hicho, anasubiri nini?
 
Yote haya ni upuuzi mtupu.
Mambo ya Mbowe yamekwisha fahamika. Hana jipya tena analoweza kulileta CHADEMA, mbali ya kujitafutia maslahi mwenyewe na wanao mzunguka.

Wewe huna 'credentials' za namna yoyote ya kumjuwa ni kiongozi gani anafaa kuiongoza CHADEMA Kutokana na hulka zako ulizo onyesha humu Jukwaani, tokea uingie, sinamashaka hata kidogo kwamba wewe siyo mtu wa kukusikiliza kwa lolote la maana. Huna ushauri wowote unao weza kumfanya mtu auchukulie kwa makini. Unatawaliwa sana na 'pomposity' za kutaka uonekane unajuwa mambo; hata bila ya kupima usahihi wa hayo mambo katika hali ya matatizo yaliyopo.

You're useless.
 
Chawa wanajitoa ufahamu tu lakini wanajua kabisa kuwa Lissu yuko sahihi. Kama mnafanya mambo ya hovyo kama unadhirifu na uminyaji wa demokrasia ndani ya chama chenu mnapata wapi moral authority ya kuikemea CCM kwa mambo hayo hayo?
 
Hatua ya kwanza kwenye any organization set up kama hukubaliani na maamuzi ya wenzako kwa tofaut kubwa ni ku resign nafasi zako zote..

Hakuna leadership ya maana bila principle...

Hisia huwa zinaisha yanaanza majuto
 
I highly doubt if you were in your right mind when you decided to expose your idiocy in public!

Ngoja nikwambie kitu kandombo..
The car you're riding wont take you far....

Sasa how does my ideocy in public bother your a$$ in any meaningful way?
 
Ngoja nikwambie kitu kandombo..
The car you're riding wont take you far....

Sasa how does my ideocy in public bother your a$$ in any meaningful way?
Kesha piga vyombo vya si unajua holiday hizi..

Watu ana wa-quote yeye, akijibiwa anakuja lugha zake mbofu-mbofu.

Hovyo kweli
 
Hizo Siri zinazotakiwa kutunzwa siyo za wizi baba.

Au kwenu nyie Wachaga wizi siyo haramu?
 
Elewa neno taasisi yenye manufaa ya umma. Kuna vitu vinapaswa kuwa wazi kabisa, mfano mapato na matumizi. Wala usijaribu kupinga.
 
Ebu leta mfano mmoja duniani ambapo kiongozi anaponda chama chake akiwa bado ni sehemu ya vikao vikuu vya chama au serikali.

Hata Ruto alipoanza campaign zake aliachana na shughuli za serikali tena ilikuwa ya mseto.
Wakati wa sakata la G55 la wale wabunge waliokuwa wanadai Tanganyika yao wakiongozwa na Njelu Kasaka ulikuwa na umri gani? Nyerere akiwa mwenyekiti mstaafu na mjumbe wa kamati kuu ya CCM aliwazodoa wazi viongozi wake akianza kwa kumsema mwenyekiti (Mwinyi) kuwa ni dhaifu na kuwa anapelekeshwa na akina Malecela (PM) na Kolimba (KM),alifikia hata hatua ya kuwaandikia kitabu "Uongozi Wetu na Hatima ya Tanzania"
 
Huo ndo ukweli, tupende tusipende, mfano tunapinga kuweka ukomo kwenye uongozi wa chama, siku ccm wakipeleka bungeni mswada wa kuondoka ukomo wa urais tusipige makelele
Mbowe
Anahubiri demokrasia ambayo yeye mwenyewe hana
Upinzani tz hawaaminiki.
 
Lissu ataropokaaaaa mwisho wa siku uwenyekiti hatoupata. Na kwa tabia ya Nyumbu wa Chadema, baada ya wiki watamsahau kama walivyosahau maandamano ya Mange Kimambi! Ahahahahaha!!!
 
We ulitaka nani aongee?
 
Hatua ya kwanza kwenye any organization set up kama hukubaliani na maamuzi ya wenzako kwa tofaut kubwa ni ku resign nafasi zako zote..

Hakuna leadership ya maana bila principle...

Hisia huwa zinaisha yanaanza majuto
Bado huelewi chochote.
Hicho chama siyo cha mtu, siyo 'organization' ya Mbowe.
Ni kipi kinacho kufanya wewe uamini kuwa kutokubaliana na anayofanya Mbowe, uamzi sahihi ni kumpisha Mbowe?
 
Ngoja nikwambie kitu kandombo..
The car you're riding wont take you far....

Sasa how does my ideocy in public bother your a$$ in any meaningful way?
Your own carriage is already stuck in the mud, mine is still "riding..."; and that is a very big difference between the two of us.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…