UWAZI NI MUHIMU, MBONA WWE UNA FAKE ID........... hapa ndipo unaona kuwa watanzania akili zetu kiduchu. Unahubiri uwazi wakati una fake ID...strange!Uwazi ni muhimu
Mimi huwa sina unafiki; hilo lielewe kwanza.Mkuu sio kweli, na hauko sahihi katika hili, tusemezane kwa staha. Tuliza munkari mkuu.
Na kama kweli unayaamini haya maneno yako hapa; moja kwa moja ungetambuwa kuwaunaninyima haki yangu, au siyo? Mimi siruhusiwi kuwa na "...uhuru wa manoni na mitizamo yangu..."? Mbona unataka kunifungia?Humu jukwaani kila mtu ana uhuru wa maoni na mitizamo yake, jitahidi kuheshimiana hata kama mjadala ni wa moto namna gani!! Vumilia songa mbe kwa staha mkuu.
Aiiseee!Lisu anaropka bila evidence. Ameweka evidence gani? . Lisu ameweka revelations, ...submissions which submissions are not evidence.....Wewe ndiye hujui , huna akili za kuchanganua mambo unameza kama dodoki
LISU AMETOA TUHUMA , TUHUMA INABIDI ZITHIBITISHWE NA USHAHIDI.
Kumbe chama (CHADEMA) kwako ilikuwa ina maana ya Mbowe, siku zote zile?Basi atwambie kama risasi ziliharibu male function yake maana uwazi unalipa ...kuna mabo huwa hatusemi kulinda heshima , mshikamano, ustawi wa ya familia..chadema familia
Lisu ni mropokaji tena mropokji kwa mabo ambayo hayana ushahidi
Uwazi na uwajibukaji ndo utafanya CHADEMA idumu sio kuficha Uovu. Amyeaongea hayo kwenye Clubhouse alipoulizwa kwamba haoni kama kuongea mambo kwa Uwazi kunaua Umoja wa kitaifa wa chama? Kwanini asionhelee mambo ndani?
Kufanya mambo kwa Uwazi kunaleta uwajibikaji.
Wananchi wanatakiwa waambiwe mapato na matumizi sio kuficha ficha.
Wanadai eti kusema maovu kwa uwazi kunaua umoja wa chama kwamba yazungumziwe ndani.
Lissu amesema kama Uwazi ni jambo baya, basi tukubaliane uwazi ni jambo baya.
Hivyo hata CCM wanapofanyia gizani mambo ya kuhujumu taifa kama kuuzwa kwa bamdari tusipige kelele.
Amesema mambo ya kufanyia mambo gizani mara nyingi yanakuwa ni nia ovu. Wanapotumia madaraka yao vibaya, wanapotumia fedha za Umma vibaya na mambo yote yanayofanyia gizani tusipihe kelele. Tukubaliane Uwazi kwa CCM ni jambo baya hivyo hivyo na ndani ya chama tukubaliane Uwazi ni jambo baya unahatibu umoja wa chama.
Lissu amesema anacjofahamu ni mihimu kuwe na uwazi kwenye shughuli za Chama. Tunaficha nini na kwanini?
Kwanini tunaficha kwa mfano matumizi ya fedha za chama? Tunamficha nani na kwanini?
Mambo ya Umma yawe hadharani. Giza linazaa abuse Giza linazaa matumizi mabaya ya madaraka. Vitu vinavyo zungumzwa gizani hata visipo tekelezwa hakuna anayeweza kujua.
Chama cha mageuzi kama chadema hakiwezi kikakumbatia giza halafu tukasema sisi ni chama cha mageuzi.
Tukifanya mambo gizani chama kitakufa. Mtu asije kujidanganya kwamba chama hakiwezi kufa mfano ipo mingi. Hata UDP ilikuwa kubwa kuliko chadema.
Kwahiyo Uwazi utatufanya tuishi maisha marefu kuliko kukumbatia giza.
Kakwambia chochote juu ya ushauri wako huu? EEeeeeeenHeeeeee!Halafu, pamoja na kutofautiana mitizamo ni vizuri tukatoa msimamo yetu pasipo kutukanana na wenzetu tunaohojiana nao au tusiokubaliana nao.
Huo ndio ukomavu na uungwana. Uvumilivu ni kipimo cha ustaraabu na busara mkuu.
Unadhani kwanini hawampeleki mahakamani wala hawaombi evidence? Wataibika vibaya mno na ndio kitu wanachoogopa ndio maana bwana zako wapo kimya maana mpaka hapo Lisu kawatendea huruma tu.Lisu anaropka bila evidence. Ameweka evidence gani? . Lisu ameweka revelations, ...submissions which submissions are not evidence.....Wewe ndiye hujui , huna akili za kuchanganua mambo unameza kama dodoki
LISU AMETOA TUHUMA , TUHUMA INABIDI ZITHIBITISHWE NA USHAHIDI.
Matusi sasa yanini? Nimetukana wapi? Mimi Bwana wangu ni mama yako, huyo ndiye bwana wangu mpenzibwana zako
Umenizushia uongo mwingi sana ya kuwa namchukia Lissu.Mimi huwa sina unafiki; hilo lielewe kwanza.
Ushauri wako nauelewa na najuwa nia yako njema. Lakini angalia unavyo kuwa hakimu mwenyewe hapa!
Ni kitu gani ambacho umeona "siyo kweli"?
Na kama kweli unayaamini haya maneno yako hapa; moja kwa moja ungetambuwa kuwaunaninyima haki yangu, au siyo? Mimi siruhusiwi kuwa na "...uhuru wa manoni na mitizamo yangu..."? Mbona unataka kunifungia?
Mkuu 'Mizania', elewa tu kwamba maswala haya yanayo zungumziwa humu JF, siyo mzaha, siyo utani. Ingekuwa ni mkutano pale uwanjani, watu wangetiana ngeo vichwani, na hata kuuana. Haya maswala ya nchi yetu ni vita.
Napenda sana kuwa na staha, mahali ambapo kuna staha. Humu ndani hakuna staha. Huyu unaye mtetea hapa naona hujui historia yake humu. Huyu ni mtu ambaye alikwisha diriki hata kuandika humu humu kwa furaha kabisa yaliyo mpata Tundu Lissu alipo koswa koswa na zile risasi; na hapo hapo akaendelea kuhimiza wengine wamalizie kazi hiyo iliyo shindikana huko nyuma.
Sasa nikuulize wewe; kwa nini hukusema lolote wakati mtu huyu akitumia uhuru wake kujieleza?
Mwisho. Nia yako njeama naitambua, lakini kwa bahati mbaya hutambui vita kubwa inayo endelea nchini mwetu wakati huu.
Haya endelea kumlamba miguu.Matusi sasa yanini? Nimetukana wapi? Mimi Bwana wangu ni mama yako, huyo ndiye bwana wangu mpenzi