Naona umepanick vibaya sana hadi unachanganya mambo mengi kwa mpigo, unatukana kila aliye kinyume na utashi wako! Narudia tena, Lisu sio muuza unga, usitegemee atoe hela yake ya mfukoni kuendesha chama. Kama ulikuwa unatoa 5m kwa chama hata sasa endelea kutoa maana chama kipo. Vinginevyo ulikuwa hutoi kwa chama bali kwa Mbowe.Umaskini na unyani wa fikra unakusumbua nilikudharau sana uliposema unatamani jeshi lichukue nchi mna utoto mwingi sana watu tulikua tunachnagia hadi milioni 5 CDM Leo mnaita hela Za wauza unga!! Mna thinking Za kishenzi sana kama Za Akina Magufuli…. Uzuri haya mambo huwa hayahitaji porojo…..
Yaani seriously unasema bora chama kife?? Hizi akili Za kipumbavu na kinyani ndo Lissu anazitegemea seriously???
Siasa ni Pesa sio kuongea ongea hadi unatokwa ute mweupe mdomoni…..
Acha ife lakini sio kuongozwa na mtu mmoja miaka zaidi ya 20. Mkiona vipi nendeni kwa msajili aifute kabisa cdm ili mbaki na amani, maana mabadiliko yameimgia mkiwa bado hamko tayari. Yaani hapa nilipo ni kama nakuona vile🤣IKO SHIDA NA HUYU MTU! KMA MREMA ANAKOELEKEA . CHADEMA ITKUWA KAMA TLP
Kwani hao wa Simba siyo wa nchi nzima! Unataka kutuaminisha Simba haina mashabiki mikoani! Siyo kweli.Kama mashabiki wa Team ya Simba walichanga zaidi ya milioni 68 ndani ya siku zisizozidi 5 itakuwa kwa wanachama Nchi nzima, muhimu ielezwe matumizi yake na kuwe na uwazi kwa viongozi juu ya kiasi kilichochngwa na matumizi yake
Atajiju na kimbelembe chake.kwanza mtu mwenyewe hata ccm wanamlia timing.Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Naona umepanick vibaya sana hadi unachanganya mambo mengi kwa mpigo, unatukana kila aliye kinyume na utashi wako! Narudia tena, Lisu sio muuza unga, usitegemee atoe hela yake ya mfukoni kuendesha chama. Kama ulikuwa unatoa 5m kwa chama hata sasa endelea kutoa maana chama kipo. Vinginevyo ulikuwa hutoi kwa chama bali kwa Mbowe.
Ulinidharau kusema jeshi lichukue nchi, kwani hata sasa ccm inakaa madarakani kwa backup ya nani? Wako madarakani kwa kura halali? Kama wanachama hawawezi kuchangia chama chao wanasubiri hela za wauza unga, ni bora kife watu waendelee na mambo mengine. Punguza jazba, kama ulikuwa unaendesha deal zako kupitia madaraka ya Mbowe kajipange kivingine, watu wametaka mabadiliko, jazba za nini?
TATIZO lISU AMEWAAMBUKIZA KUSEMA UONGO! HAKUNA KITU KAMA HICHO HAPO JUU KILIKUWA KINAFANYIKA KWAKE, ONLY FUNDING TOKA KWAKE ILIKUWA KUBWA............na si vizuri kufund chama, sasa isu atafute pesa.Kwahiyo mlitaka Mbowe aendelee kufanyia vikao vya chama nyumbani kwake Mikocheni
Mbona unahasira au kinyeo kinakuwashaHapo ulipo umelalia neti yenye matobo hata kodi ya elfu 50 inakushinda unaharisha JF utatoa 10M kwa chama!!!!! Lissu mjinga na ana mambo ya kitoto sana kuvimba kichwa kwa sentiments Hizi Za balehe
Harafu Bado ana dharau eti Kwa kukosa pesa za Mbowe 🤣🤣Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Nyerere aliiongoza TANU kwa pesa yake?Siwezi ombea dua la Kuku CDM Nimetoka nayo mbali sana!! Lissu hakujiandaa kuiongoza CDM na kwa nature ya watanzania Hana muujiza wowote ule kuikwamua kifedha…. Hii pride ya kipumbavu na kitoto mliyonayo very soon mtaimeza….
Ngedere wewe eti ulikua unachanga mpaka million5 wakati hapo ulipo uanadaiwa Kodi chumba cha elfu 20Umaskini na unyani wa fikra unakusumbua nilikudharau sana uliposema unatamani jeshi lichukue nchi mna utoto mwingi sana watu tulikua tunachnagia hadi milioni 5 CDM Leo mnaita hela Za wauza unga!! Mna thinking Za kishenzi sana kama Za Akina Magufuli…. Uzuri haya mambo huwa hayahitaji porojo…..
Yaani seriously unasema bora chama kife?? Hizi akili Za kipumbavu na kinyani ndo Lissu anazitegemea seriously???
Siasa ni Pesa sio kuongea ongea hadi unatokwa ute mweupe mdomoni…..
Mbowe ni mtu wa watu ana marafiki wenye pesa kibao,Kibaraka Lisu tofauti na kutegemea kina Amsterdam ana nini kipya?Unawasemea watu hawatochanga kwani zile 70 M alizolipiwa Mbowe ndani ya saa 24 ili asifungwe zilitoka wapi?
Naam ,He is a man to trust , hana konakonaMm namshukuru Mungu kwenye mishemushe zake aliwai kupita kwenye kizuizi cha mazao mwaka 2020 akitokea kumnadi mugombea ubungea nilikuwa natoza ushuru, alisimama nyuma ya foleni za magari zinazo kaguliwa akashusha kioo cha nyuma akaniomba nimsaidie kufungua barrier awai kulala maana kesho yake atakuwa na mkutano Karagwe. Nawaza kama anakumbuka hii kitu maana nililopoka kwamba jamani kuna Tundu lissu hapa, mugambo wa barrier wakaja kumsalimu wanamwambia mueshiwa chukua fomu ya urais basi? By that time alikuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni. Nachotaka kusema uwa ninaona mbali kuna uwezekano mkubwa wa Lissu kuchukua nchi.
exactly, sijui kama hilo analijuaAtajiju na kimbelembe chake.kwanza mtu mwenyewe hata ccm wanamlia timing.
Chawa wa Mbowe wameanza kumsumbua Lissu!Hapo ulipo umelalia neti yenye matobo hata kodi ya elfu 50 inakushinda unaharisha JF utatoa 10M kwa chama!!!!! Lissu mjinga na ana mambo ya kitoto sana kuvimba kichwa kwa sentiments Hizi Za balehe
Amesema chama ni mali ya wanachama, inabidi wachange. Amesema wakae kama chama wajue huyu mtoto wanamleaje.
Vema kabisa na si vema kama ulivyosema kutegemea fedha za Mbowe. LAKINI
Kumbuka:
1. Hakuna wa kuchanga , linapokuja suala la kuchanga watanzania ni wagumu/watu ni wagumu generally. Utaitisha michango kila siku, watakuchoka! WATACHANGA ZA KUNUUA LUKU SIYO CHOPA YA KAMPENII!, MISHAHARA and the big like!
2. CCM inapeta kwa vile wanachota huko mahali, wanachota wanavyotaka! Kumbuka Mkapa na Bilioni 300 za uchaguzi alizochota benki kuu.
Soma: Pre GE2025 - Tundu Lissu: Hatutashiriki Uchaguzi Mkuu bila Katiba Mpya na Tume Huru
3. Kumbuka una resistance ya 48% vs 52%. Hawa 48% hawatachanga
4. Mashabiki wako wengi ni lumpen proletariat...hawana hela zakuchanga
Ni hayo kwa leo
Michango ya gari tu nyie wa jf mlichanga Bei gani?Tena wa humu JF
Watamchangia sana wapo wengi wamefurahia yeye kupata hicho cheo
Hasiwe na wasiwasi kabisaaaaa
Atazipata pesa ataongoza vizuri na pesa ya kwenda popote hata nje ya nchi atazipafa tu
Ruzuku ataiona kama ya kununulia biryani akiwa ofisini
Furahieni jamani Mkuu kasema michango michango ili chama kisongeeee
Mbowe ni mtu wa watu ana marafiki wenye pesa kibao,
Wale waliotaka kufungwa kina Msigwa hawakuchangiwaKibaraka Lisu tofauti na kutegemea kina Amsterdam ana nini kipya?
Pesa aliyochangiwa Lissu hadi mara ya mwisho anatoa update ilishavuka hicho kiasi.Miezi 6 mnachangia gari lake mil.70 ndio mtaweza kuchangia mabilioni ya kuendesha chama ?
Kwahiyo zile milioni 300 walizochangiwa wasifungwe zilichangwa na marafiki wa Mbowe?Mbowe ni mtu wa watu ana marafiki wenye pesa kibao,
Baada ya Mbowe kushindwa bado mnauguza maumivu kuliko hata wanachadema wa kambi yake.Kibaraka Lisu tofauti na kutegemea kina Amsterdam ana nini kipya?
Hilo gari kiwango ulichotaja kilishapitwa muda sana.Miezi 6 mnachangia gari lake mil.70 ndio mtaweza kuchangia mabilioni ya kuendesha chama ?