Kwa hali ya sasa hata wakishiriki hawata tangazwa ni bora wapiganie mfumo kuliko hivi. Huwezi kwenda kwenye chaguzi wa kijinga hivi. Ni kwa wananchi wenyewe sasa kama wataendelea kukubali wawakilishi fake tumeanza kuona sasa wanakataliwa wazi wazi imefika walati watu wanaombea wabunge wafe! Sijui kama mnajua haya. CCM wanatakiwa kuogopa watu sio Lissu wanaamka wenyeweChadomo wakigoma vyama vingine zinaibuka na kukubaliana na matakwa kisha ndio mwisho wake maana baada ya uchaguzi hakutakuwa na kiongozi hata mmoja wa kuchaguliwa wa chadema
USSR
Polisi wote (ambao dio waiba kura) wanamkubali sana LissuCCM wakimsimamisha Saa100
Lissu ndiye Rais 2025
Ahahahahaha!!!CCM wakimsimamisha Saa100
Lissu ndiye Rais 2025
Usimchonganishe!ššššTundu Antipas Lisu anaongea kama Kiongozi mkuu wa Upinzani
Mkuu umesikiliza Speech ya Mbowe na Lissu kuhusu huu Uchafuzi mdogo?!Wanasiasa kwa maneno hawajambo
Na uchaguzi utapita yatabaki maneno tu kama siku zote
Nimeiona ya Mbowe na kuisikiliza mwanzo mwanzoMkuu umesikiliza Speech ya Mbowe na Lissu kuhusu huu Uchafuzi mdogo?!
Usiache kusikiliza na Maswali ya Waandishi wetu wa Habari ni Burdaniš¤Nimeiona ya Mbowe na kuisikiliza mwanzo mwanzo
Nikasema ntaimalizia baadae ila nikaona hebu niangalie comments za watu
Unajua tena siku hizi watu wanakimbilia comments kabla
Ngoja nisikilize zote
Hivyo vyama vyengine ni matawi ya ccm yanayotumika ili kuhalalisha uccm tu.Chadomo wakigoma vyama vingine zinaibuka na kukubaliana na matakwa kisha ndio mwisho wake maana baada ya uchaguzi hakutakuwa na kiongozi hata mmoja wa kuchaguliwa wa chadema
USSR
Safi hayo ndo maneno tunayoraka kusikia, siyo porojo za walamba asali mbowe na zitoMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa chama hicho hakitaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 endapo hakutakuwa na mabadiliko ya matukio yatakayolenga kuhakikisha chaguzi huru na za haki nchini.
==
"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM"
"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika"
"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia"
Nitafanya hivyo bossUsiache kusikiliza na Maswali ya Waandishi wetu wa Habari ni Burdaniš¤
Tatizo la nyagi mchana hiliMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu, amesema kuwa chama hicho hakitaruhusu kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 endapo hakutakuwa na mabadiliko ya matukio yatakayolenga kuhakikisha chaguzi huru na za haki nchini.
==
"Kuanzia 2015 hakuna ushindani, hawataki uchaguzi na ukweli wa Mungu ni kwamba sisi (CHADEMA) hatujashindwa uchaguzi na CCM tumeshindwa uchaguzi na Jeshi la Polisi, tumeshinda uchaguzi na Idara ya Usalama wa Taifa, tumeshindwa uchaguzi na mfumo mzima wa Tawala za Mikoa (TAMISEMI), Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi na watumishi wao wote sio CCM"
"Sasa maana yake ni kwamba tatizo letu la msingi ni mfumo wa uchaguzi, huu unaofanya Polisi, Usalama wa Taifa, JWTZ, watumishi wa umma badala ya kusmamia uchaguzi na kutenda haki wanakuwa wao ndio wapambanaji wa uchaguzi huo, na vilevile wanaamua nani anashinda, na tukisema tunaenda hivihivi itatokea tena mwaka ujao (2025), na itatokea tena kwenye uchaguzi wowote utakaofanyika"
"Ni tatizo la mfumo, na jibu la tatizo la mfumo ni 'No Reforms, No Election' (bila mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, hakuna uchaguzi), sio kususia ni kuzuia uchaguzi hiyo ndiyo njia"