imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mazezeta ya Syria yalikuwa hayataki kabisa ukombozi kutoka kwenye makucha ya BAATH PARTY chama cha Dikteta Assad, lakini baada ya Utawala kuanguka Mazezeta yakawa ndio ya kwanza kushangilia Ushindi.
Je hapa Tanganyika itakuwa kama Syria, Mazezeta yetu na yenyewe yataingia Kitaa kushangilia kwa Nderemo Vifijo na Hoihoi pindi yatakapokombolewa kutoka katika makucha ya CCM?
Kwako Lucas Mwashambwa vipi utashangilia anguko la CCM?
Je hapa Tanganyika itakuwa kama Syria, Mazezeta yetu na yenyewe yataingia Kitaa kushangilia kwa Nderemo Vifijo na Hoihoi pindi yatakapokombolewa kutoka katika makucha ya CCM?
Kwako Lucas Mwashambwa vipi utashangilia anguko la CCM?