Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

Screenshot_20210711-191709.jpg
 
..Waziri wa mambo ya ndani, wakati huo Mwigulu Nchemba, alisema kwamba gari yenye namba ambazo Tundu Lissu alidai inamfuatilia ilionekana Arusha.

..Na waziri wa mambo ya ndani akadai kwamba wamewahoji wahusika na wamejiridhisha kwamba gari hiyo haikuwahi kufika D'Salaam.

..IGP Sirro anadai Lissu hakuwahi kutoa taarifa kituo cha polisi kuhusu kufuatiliwa. Vilevile IGP anadai polisi hawana taarifa zozote kuhusu Lissu kufuatiliwa na " watu wasiojulikana. "

..Sasa katika mazingira kama hayo tumuamini nani? Je, Waziri wa mambo ya ndani alidanganya? Je, IGP anadanganya?
Sirro nae kawa mwanasiasa, akistaafu atapewa cheo CCM, maisha yanaendelea.
 
Mwanasiasa machachari wa Tanzania anayeishi mamtoni baaada ya kufanyiwa unyama amekanusha taarifa na kauli ya Igp Sirro kuwa alipigiwa simu na jeshi la polisi ili ahojiwe juu ya madhila yaliyompata.


Kupitia ukurasa wake wa Twita Lissu amedai kuwa taarifa hizo ni za uongo na hazina ukweli wowote.

====

IGP Sirro ni mwongo asiyefaa kuvaa sare ya Jeshi la Polisi, let alone kuwa Mkuu wake. For the record:

1) Hajawahi kunipigia simu au kuniita kwenye mahojiano yoyote.

2) Nikiwa Nairobi Hospital niliambiwa polisi watakuja kunihoji hospitalini. Niliwasubiri lakini hawakuonekana.
View attachment 1849851
Hawa Jeshi la Polis kupitia , huyo Sirro na Huyo Tundu Lissu ebu watuache tupumzike, wana utoto mwingi hadi inakera kuwasikiliza.
 
Utakuwa mjinga sana ukatae kupigiwa simu kama ulipigiwa. Record zote zinaweza kupatikana kutoka kwenye record ya mtandao uliotumika.

Lisu kutoa kauli hiyo, ni dhahiri ana uhakika. Kwa record ya jeshi letu hili la kubambikia watu kesi, ni vigumu sana kuwaamini polisi.
Ngumu kupata hizo record kwenye mazingira tuliyopo, wao ndio kila kitu nchi hii, labda kama hizo record zingekuwa zinawahusu wapinzani ili wafanyiwe uchunguzi wao wangepewa upesi sana.
 
..Waziri wa mambo ya ndani, wakati huo Mwigulu Nchemba, alisema kwamba gari yenye namba ambazo Tundu Lissu alidai inamfuatilia ilionekana Arusha.

..Na waziri wa mambo ya ndani akadai kwamba wamewahoji wahusika na wamejiridhisha kwamba gari hiyo haikuwahi kufika D'Salaam.

..IGP Sirro anadai Lissu hakuwahi kutoa taarifa kituo cha polisi kuhusu kufuatiliwa. Vilevile IGP anadai polisi hawana taarifa zozote kuhusu Lissu kufuatiliwa na " watu wasiojulikana. "

..Sasa katika mazingira kama hayo tumuamini nani? Je, Waziri wa mambo ya ndani alidanganya? Je, IGP anadanganya?
IGP Sirro angekuwa na busara angekaa kimya.
 
Sawa maneno meengi muda mwiingi uwamuzi wa kufupisha Lisu na dereva waje wariport wahojiwe ijulikane mbivu mbichi hadithi nyingi siziwe kama simena..
 
Mtu anakwambia anafatiliwa wewe unapuuza

Walinzi wanaondolewa kwenye makazi yake alafu anapigwa risasi eneo ilo ilo.

Baada ya tukio CCTV zinaondolewa kwenye eneo la tukio

Badae vigogo serikalini waungwana wanamshauri Mbowe wampeleke nje

Ananyimwa pesa ya matibabu bila sababu

Anazuiliwa pesa zake za ubunge

Anavuliwa ubunge kinyume cha sheria

Anarudi kugombea urais anaibiwa kura na anataka kuuwawa tena vigogo serikalini wanamshauri kuondoka nchini!

Huyu mtu utasema hataki uchunguzi wa shambulio lake?

Kwanini uchunguzi usianzie kwenye walioondoa walinzi na CCTV?

Magufuli, Ndungai na Siro mtalipa huu uhuni!!
Naona mnatumia akili kubwa sana kufikiria huu usanii wa hao jamaa.
 
Ati, naye alisoma seminary akitaka kuwa padri! Bora walimfelisha kwani angeliharibu kanisa na waumini wake Kwa unafiki huu alio nao!
 
Hawa askari na ccm wanajaribu kwa kila namna kupunguza kasi ya mjadala wa katiba mpya.

Sasahivi wanachomelea kila aina ya mambo kututoa Kwenye mstari

However hawatafanikiwa
 
Mtu anakwambia anafatiliwa wewe unapuuza

Walinzi wanaondolewa kwenye makazi yake alafu anapigwa risasi eneo ilo ilo...
Nina uhakika igp ameamuwa kumtumikia shetani Ila hakuna la milele chini ya jua kwanini igp anasubiri mpaka lissu aje wamhoji?

Angekuwa jeska mtoto wa magufuli amepigwa risasi au mtoto wa majaliwa waziri mkuu wangesubiri hizo protokali za kutengeneza? Siro usiathiriwe na kivuli cha jpm ameshakufa na harudi milele wewe siro Linda heshima yako uache legacy nzuri vinginevyo utakuwa na rekodi mbaya kuliko ya Omar mahita.
 
Back
Top Bottom