kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Waseme lingine tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kwa uelewa wa Ndugu Lissu faragha ni pamoja na mapenzi ya mwanaume na mwanaume wakiwa faragha...ndivyo anayeitwa mwanasheria msomi anavyosemaTundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa
"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."
Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Huyu nae ni LisuMungu mwenyewe atahakikisha Lisu hapiti hata iweje.Sababu ni wakala wa Sodoma na Gomora
Alichojibu ndio msimamo wake Lisu.Mwandishi wa habari kazi yake kamaliza katimiza wajibu wake wa kiuandishi vizuri kabisa kama mwandishi wa habari proffessional kauliza swali professiona na amajibiwa na LIsu msimamo wake kwenye hilo.Muuliza swali wala hana kesi yoyote na hakuna wa kumushambulia kwa nini aliuliza.Ni haki yake kuuliz
Lisu Aliyejibu huyo ndie mumiliki na mwenye hatimiliki ya hilo jibu alilojibu
Wewe upo Tanzania hii? Yaani Watanzania tumefikia hatua tuhalalishe watu kuingiliana kinyume na maumbile!!!! Ivi tutamtafuta vipi Mungu aliye tuponya na Corona tukianza kupigia debe ushoga?NI NANI ALISHAKAMATWA NA KUSHITAKIWA KWA KOSA LA USHOGA?CCM IMEISHIWA HOJA
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbuCCM wameishiwa hoja kabisa .View attachment 1585359
Weka hiyo clip yake ya UingerezaHuyo ni sifuli kabisa, mambo ya faraga mi ya mtu na mke au mpenzi mke na sio mtu mume na mume,
Akiwa uingereza alisema kwa kuwa katiba yetu hairuhusu, yeye akiingia madarakani ataifanyia marekebisho ili wapate haki yao.
Sasa hiyo haki wanayoitaka ni ipi ninyi bchadema?
Kwa kua haki ya kuwa binadam wanayo, ya kuwa mtanzania na kufanya kazi na uhuru usio vunja sheria walionayo
Sasa haki gani wanataka ambayo tundu lisu atawapa zaidi ya kuwatambua kwa tendo lao kisheria ambalo hata mungu hataki?
Kwa hiyo tundu ni mfasi wa shetani hata hakumbuki ya sodoma na gomora?
Tundu lisu anasema kwa nini hawajachukuliwa hatua wakati wapo, nimkumbushe kuwa hao waliopo ni sawa na mwizi ambaye yupo ila siku akiiba akakamatwa na anafungwa, na ndio maana wanafanya kwa siri. Ila wakiruhusiwa tutawaona kama tunavyowaona wanawake.
Yale maandishi yameandikwa tu na wabongo(wameedit), kachunguze tu vizuri.Kuna Picha inasambazwa yuko kwenye Gay meeting. Huenda ameamua kutupa hilo jiwe ili wanyamaze
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za KusinTundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa...
Kumbuka yupo vitani, kama adui zake wakina polepole wamemchonoa, ni vibaya wakikunwa ?Lissu naye aachane na ushoga hyo ni minor issue, na Mambo binafsi
Ha ha ha ha huyo ndo Tundu Lissu wakili msomi"Wewe mbona hufanyi sawasawa". Hahahahaha
Kaulizwa swali akajibu kwa ufasaha mkubwaLissu naye aachane na ushoga hyo ni minor issue, na Mambo binafsi
Lissu naye aachane na ushoga hyo ni minor issue, na Mambo binafsi
Tutakufanya jukwaani maana unaonekana unapenda kufanywaLisu kasema ataawaache mfanye kwa uhuru mkuu! Si faragha yenu hiyo?
James delicious alishtakiwa kwa ushoga au kutuma picha za amber rutty za ngono mtandaoni???Amber rutty,james delicious
Kwanza kajibu vibaya??? Amejibu sahihiAsinge wajibu
Kwahiyo asipojibu kesho mje mseme Lissu amekimbia swali la ushoga. Ccm wajinga sana kwa kweliUnajua ile ya hard talk ni tofauti na haya mazingira yetu kabisa it's like mbingu na ardhi, kwanini kuendelea na hyo hoja Kuna Mambo mengi ya msingi yanayottesa watanzania kuliko huo ushoga wenyewe
Amekumbatia ushoga wapi?Nimesikitika Sanaa Tena Sana Na Hapa Simsikitikiii Lissu Nawasikitiki Vijana Wenzangu. Ivi in Kweli Tumefikia Kuwa Wapumbavu,wajinga kiasi cha kuona kila anachokisema Lissu yupo sawa...
Jibu swali! Nani amewai kukamatwa na kushtakiwa na serikali ya Ccm kwa kuwa shoga???Wewe upo Tanzania hii? Yaani Watanzania tumefikia hatua tuhalalishe watu kuingiliana kinyume na maumbile!!!! Ivi tutamtafuta vipi Mungu aliye tuponya na Corona tukianza kupigia debe ushoga?