Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kama Serikali ya CCM inapinga kweli ushoga basi ikafute kipengele cha Katiba kinachoinyima Serikali kuingilia faragha ya mtu

Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa

"Wanaleta vihoja kuwa naunga mkono ushoga, katiba ya JMT inasema kila mmoja ana haki ya kulindiwa faragha yake, naunga mkono msimamo huo wa Katiba, siyo kazi ya Serikali kuchungulia kwenye vyumba vya watu, kama kweli wanapiga vita ushoga wafute hayo maneno."

Ameenda mbali zaidi na kusema kuwa kama wataanza kuingilia mambo ya vyumbani kwa watu itafikia kipindi mtu ataulizwa "Wewe mbona hufanyi sawasawa"
Kwa hiyo kwa uelewa wa Ndugu Lissu faragha ni pamoja na mapenzi ya mwanaume na mwanaume wakiwa faragha...ndivyo anayeitwa mwanasheria msomi anavyosema
 
Mungu mwenyewe atahakikisha Lisu hapiti hata iweje.Sababu ni wakala wa Sodoma na Gomora
Huyu nae ni Lisu
IMG_20200930_125322.jpg
 
mmiliki siyo mumiliki
Alichojibu ndio msimamo wake Lisu.Mwandishi wa habari kazi yake kamaliza katimiza wajibu wake wa kiuandishi vizuri kabisa kama mwandishi wa habari proffessional kauliza swali professiona na amajibiwa na LIsu msimamo wake kwenye hilo.Muuliza swali wala hana kesi yoyote na hakuna wa kumushambulia kwa nini aliuliza.Ni haki yake kuuliz

Lisu Aliyejibu huyo ndie mumiliki na mwenye hatimiliki ya hilo jibu alilojibu
 
NI NANI ALISHAKAMATWA NA KUSHITAKIWA KWA KOSA LA USHOGA?CCM IMEISHIWA HOJA
Wewe upo Tanzania hii? Yaani Watanzania tumefikia hatua tuhalalishe watu kuingiliana kinyume na maumbile!!!! Ivi tutamtafuta vipi Mungu aliye tuponya na Corona tukianza kupigia debe ushoga?
 
Huyo ni sifuli kabisa, mambo ya faraga mi ya mtu na mke au mpenzi mke na sio mtu mume na mume,
Akiwa uingereza alisema kwa kuwa katiba yetu hairuhusu, yeye akiingia madarakani ataifanyia marekebisho ili wapate haki yao.
Sasa hiyo haki wanayoitaka ni ipi ninyi bchadema?
Kwa kua haki ya kuwa binadam wanayo, ya kuwa mtanzania na kufanya kazi na uhuru usio vunja sheria walionayo
Sasa haki gani wanataka ambayo tundu lisu atawapa zaidi ya kuwatambua kwa tendo lao kisheria ambalo hata mungu hataki?
Kwa hiyo tundu ni mfasi wa shetani hata hakumbuki ya sodoma na gomora?

Tundu lisu anasema kwa nini hawajachukuliwa hatua wakati wapo, nimkumbushe kuwa hao waliopo ni sawa na mwizi ambaye yupo ila siku akiiba akakamatwa na anafungwa, na ndio maana wanafanya kwa siri. Ila wakiruhusiwa tutawaona kama tunavyowaona wanawake.
Weka hiyo clip yake ya Uingereza

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Katiba inalinda faragha lkn hairuhusu watu kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Bwana Lissu asijaribu kuinajisi katiba yetu kwamba inaruhusu ushoga.
 
Tundu Lissu akiwa Arusha leo asubuhi imeibuliwa tena hoja ya ushoga na huu ndiyo msimamo alioutoa...
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
 
Lissu naye aachane na ushoga hyo ni minor issue, na Mambo binafsi

Alafu mbona ushoga upo siku nyingi bongo. Nazani serikali inapinga ushoga kufanyika hadharani. Yaani kama mtu ni shoga basi afanyie faragha kwake hakuna wa kumsumbua. Katika hilo la ushoga niko na serikali. Hakuna kuhalalisha ushoga nchini kwetu.
 
Unajua ile ya hard talk ni tofauti na haya mazingira yetu kabisa it's like mbingu na ardhi, kwanini kuendelea na hyo hoja Kuna Mambo mengi ya msingi yanayottesa watanzania kuliko huo ushoga wenyewe
Kwahiyo asipojibu kesho mje mseme Lissu amekimbia swali la ushoga. Ccm wajinga sana kwa kweli
 
Nimesikitika Sanaa Tena Sana Na Hapa Simsikitikiii Lissu Nawasikitiki Vijana Wenzangu. Ivi in Kweli Tumefikia Kuwa Wapumbavu,wajinga kiasi cha kuona kila anachokisema Lissu yupo sawa...
Amekumbatia ushoga wapi?
 
Wewe upo Tanzania hii? Yaani Watanzania tumefikia hatua tuhalalishe watu kuingiliana kinyume na maumbile!!!! Ivi tutamtafuta vipi Mungu aliye tuponya na Corona tukianza kupigia debe ushoga?
Jibu swali! Nani amewai kukamatwa na kushtakiwa na serikali ya Ccm kwa kuwa shoga???
 
Back
Top Bottom