Kwani Tundu Lisu, hata kufa ? hataishi milele, Naye hakifa tushangilie kifo chake ?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Imani yangu inanionyesha adui yake alitoka ndani ya chama chake.....kuliko kutoka Serikalini ...inawezekana maadui wanajaribu ku diverge uongo uonekane kama ukweli ili wasigundulike......bado Nina kumbukumbu za Bw. Kubenea..aliwah zungumza siku moja kwamba wanaomtafuta Saanane waende kumuuliza Bw. Mbowe..bado sentensi Ile inanifikirisha mpaka Leo walah..Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Yes!.That is blasphemous
Magufuli mwenyewe alishasema ametoa uhaiwake kwaajili ya waTanzania.Mimi huwa sikubaliani sana na Lissu katika misingi ya kisiasa, lakini katika hili la kifo cha Magufuli naunga mkono.
Binadamu tunalipa makosa yetu hapahapa duniani.
KARMA.
Hata vitabu vitakatifu na vya kale vilisema auaye kwa upanga, hufa kwa upanga au binadamu atakunywa kipimo kile kile alichowapangia wengine.
Siyo bure kwamba wasiojulikana sasa wamepotea.
Magufuli alipotaka kumuua lissu haikuwa kufuru? Au alipokataza watu wamuombee apone ila aombewe yeye Kila jumapili hakuwa anakufuru?That is blasphemous
Pole sana kwa makasiriko, lakini ukweli lazima usemwe, Jiwe kifo chake ni furaha kubwa sana kwa Watanzania (ondoa Sukuma gang kama wewe)Magufuli mwenyewe alishasema ametoa uhaiwake kwaajili ya waTanzania.
Sasa wewe cheti feki na wajombazenu wakwepa kodi na mafisadi hata kama aliwaumiza then mkifurahi ndio mnalipiza kisasi, yani mnamkomoa marehemu ama vipi!.
Ama ndio kisirani [emoji3][emoji3] hovyo sana nyie watu.
Mbona hukumuuliza Tundu Lisu kwamba ni mahakama gani iliyothibitisha kuwa Magufuli alihusika na kushambuliwa kwake?Kumbe Chacha Wangwe aliuawa ndio najua leo.
Hiyo kesi ya mauaji ilisikilizwa mahakama gani.
Acha kuwasingizia waTanzania uwongo.Pole sana kwa makasiriko, lakini ukweli lazima usemwe, Jiwe kifo chake ni furaha kubwa sana kwa Watanzania (ondoa Sukuma gang kama wewe)
Kufa Magufuli na akasema hilo, litabaki kuwa chaguo lake.Magufuli mwenyewe alishasema ametoa uhaiwake kwaajili ya waTanzania.
Sasa wewe cheti feki na wajombazenu wakwepa kodi na mafisadi hata kama aliwaumiza then mkifurahi ndio mnalipiza kisasi, yani mnamkomoa marehemu ama vipi!.
Ama ndio kisirani [emoji3][emoji3] hovyo sana nyie watu.
Unajuwa kuwa Rais maana yake kweli ?! . Unajua vyombo vinavyomtumikia ? Iwe ni kwa kutii au hata kujikomba ?. Unajua kwanini nchi ikifanya vibaya hulaumiwa kiongozi, hata kwa yale hakuhusika nayo ?!.Alipigwa na JPM?
Wewe na mazezeta wenzako ndo mlifurahia kifo cha JPM lakini wapo wengi walisikitika sana tu kwa hiyo usiwe msemaji wa nafsi za watu!Pole sana kwa makasiriko, lakini ukweli lazima usemwe, Jiwe kifo chake ni furaha kubwa sana kwa Watanzania (ondoa Sukuma gang kama wewe)
Mkuu soma comment namb #41 upate majibu yanayofanana na yako.Imani yangu inanionyesha adui yake alitoka ndani ya chama chake.....kuliko kutoka Serikalini ...inawezekana maadui wanajaribu ku diverge uongo uonekane kama ukweli ili wasigundulike......bado Nina kumbukumbu za Bw. Kubenea..aliwah zungumza siku moja kwamba wanaomtafuta Saanane waende kumuuliza Bw. Mbowe..bado sentensi Ile inanifikirisha mpaka Leo walah..
Kwa hiyo yule jamaa aliyekuwa anahofia kiti chake kisije chukuliwa na Lissu ndiye aliyeagiza hata walinzi wasiwepo kwenye eneo linalolindwa 24hours kwani ni eneo alilokuwa anaishi waziri Kalemani na naibu spika.Acheni hizo jamani.Umeongea ukweli mtupu bro. Hata Chachawangwe angeuwawa kipindi cha Magufuli, lawama za kifo chake angetupiwa Magufuli huku wahusika wa kifo chake wakiendelea kucheka na familia yake, kama wanavyokula, kunywa na kucheka na familia ya Lisu leo.
Juhudi zake na umaarufu wake ndan ya chama chake zilimfanya bwana yule ahofie kiti chake, ndomaana hata Sumaye pamoja na kwamba ana ulinzi wake lakini alionywa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi wake. So ijekuwa Lisu anaezurura peke yake!
Siku ya hukumu au kiama (kama ipo) tutaona mengi hata yale ambayo hatukuyatarajia au kuyafikiria.
Honestly kabisa unaweza kukuta walio husika kwenye shambulizi ni watu wa karbu na Lisu na walitumia fursa ya mgogoro wa makinikia na Magufuli kumumaliaza huku wakijua kabisa ajenda itakuwa aliyehusika Magufuli!Mkuu soma comment namb #41 upate majibu yanayofanana na yako.
Kwani tunavyosema siku zote kuwa jamaa ni "mwanakitendo" anaetumika kuwadhibiti wapinzani wa kweli ndani ya chama chake wewe unakuaga wapi?Kwa hiyo yule jamaa aliyekuwa anahofia kiti chake kisije chukuliwa na Lissu ndiye aliyeagiza hata walinzi wasiwepo kwenye eneo linalolindwa 24hours kwani ni eneo alilokuwa anaishi waziri Kalemani na naibu spika.Acheni hizo jamani.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Tell them!Wapi kuna kushangilia kwenye post yako.. au huelewi maana ya kushangilia? Kutoa maoni si kushangilia. Is narrating the fact/truth.
Ukiiba ukakamatwa ukaadhibiwa kisha nikaesema unastahili adhabu, nakuwa nimeshangilia au hujui maana ya poetic justice?
Mkuu dunia ina mambo mengi sana! Hao walinzi ni binadanu tu kama mimi na wewe na wanaweza kupangwa na wakapangika vizuri tu!Kwa hiyo yule jamaa aliyekuwa anahofia kiti chake kisije chukuliwa na Lissu ndiye aliyeagiza hata walinzi wasiwepo kwenye eneo linalolindwa 24hours kwani ni eneo alilokuwa anaishi waziri Kalemani na naibu spika.Acheni hizo jamani.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Lakini hiyo haizuii nia ya Magu kutaka kumuua Lissu. Risasi 60 Kama anaua koboko.Mwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!
Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.
Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.
1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.
Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.
2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR.
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.
3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.
4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA, kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.
5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lissu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Ungetumia akili kidogo usingeandika hayo.Honestly kabisa unaweza kukuta walio husika kwenye shambulizi ni watu wa karbu na Lisu na walitumia fursa ya mgogoro wa makinikia na Magufuli kumumaliaza huku wakijua kabisa ajenda itakuwa aliyehusika Magufuli!
Ukijiuliza kwa nini dereva wake alifichwa na mpaka leo hajaonekana
Hata kipindi cha kifo cha Chacha Wangwe mambo yakikuwa na viashiria vya kundi la Mbowe kuhusika lakini watu walifumba macho na kuamini ulikuwa hali ya kawaida lakini watu wakumbuke kipindi cha msiba M,bowe ilibidi jeshi la polisi limpe ulizi maana wanachi wa Tarime walitaka kumshambulia!
Licha ya Kubenea kusema maneno yale lakini pia Sumaye alishawahi kuambiwa moto haulambwi!