Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Una uhakika Lissu alipigwa risasi na Magufuli?
Hivi Sukuma gang huwa mnafikiri kwa kutumia nini? So Rais muuaji unadhani yeye ndiye anakuja na bunduki kukupiga risasi? Grow up idiot
 
Hata ukienda kinyume na mipango ya Mungu lazima uliwe kichwa. Ref kifo cha Jiwe
Kwa hiyo wote uliozika kwenye familia yako nao kumbe waliliwa kichwa kwa sababu walikwenda kinyume na mipango ya Mungu?
 
Hivi Sukuma gang huwa mnafikiri kwa kutumia nini? So muuaji unadhani yeye ndiye anakuja na bunduki kukupiga risasi? Grow up idiot
Unajiona unajua?
 
Dogo chuki dhidi ya lissu ni kujilisha upepo tu kwasababu kwanza sio level yako kabisa mpuuzi wewe
 
Pia ukipinga mipango ya Mungu kwa taifa lake yanakupata ya Jiwe
 
Pia ukipinga mipango ya Mungu kwa taifa lake yanakupata ya Jiwe
Yale makaburi yote ya ndugu zako uliozika kumbe walipinga mipango ya Mungu? Na kwa mantiki hiyo wewe huwezi kufa kwakuwa hupingani na mipango ya Mungu?
 
Dogo chuki dhidi ya lissu ni kujilisha upepo tu kwasababu kwanza sio level yako kabisa mpuuzi wewe
soma huyo Mkenya alivyo tudharau kutokana na ujinga wa Lissu
Nicholas Juma Wanyama
You should be sending condolence my friend, the New World order has no friend in Africa. Kenyan politicians are very mature, they have no enemies. When such incidence happen band to give warmth to each other.
 
Kwahiyo mkenya akisema wewe uolewe utaolewa kisa yeye kasema?
 
Uko sahihi, ndiyo maana matendo ya Jiwe ya uovu matokeo yake ndiyo haya ya kupondwa na kila raia mwenye akili timamu. Hapo ondoa sukuma gang kama wewe
Huyu siyo mimi ni muungwana mmoja kutoka Kenya
Vigilant Wuod Nyalego
With all this bitterness! Yet you wanted to lead TZ? Respect the dead please.
 
Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Waliomshabulia Lissu wapo nae ndani ya chama chake
 
Eti mzalendo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila nyie Sukuma gang mnajua sana kujizima data
 
"Bahari imetulia...mungu kaamulia ugomvi".....Nape Mosses Nnauye
 
Jamaa ana uchungu..Mimi mwenyewe kama ninamhisi amenifanyia kama alichonifanyia ningemind..
Ku mind sawa ikiwa tu itabaki kwenye mind yako-ukiitoa tu umekufuru
 
Mbona alichosema ni sahihi, aombe Msamaha kwa lipi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…