Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Tundu Lissu: Kufa kwa Magufuli ni 'Poetic Justice'

Blessed justification, I also celebrated, even now, tomorrow and the years to come, even if I am dead! I will celebrate the death of a killer!
Nitaacha kumchukia magufuli na kumlaani mpaka mabaki yake Kwa kondisheni zifuatazo.
1. Serikali iseme nani alimshambulia lisu.
2. Yuko wapi Azory Gwanda.
3. Yuko wapi Ben Saanane.
4. Iko wapi footage ya shambulio la lissu kwenye CCTV camera.
5. Waliofukuzwa kazi kwa ubabe mpk wakapoteza Maisha Kwa stress wafidiwe.

Otherwise aliempoteza ni hero!
 
Yale makaburi yote ya ndugu zako uliozika kumbe walipinga mipango ya Mungu? Na kwa mantiki hiyo wewe huwezi kufa kwakuwa hupingani na mipango ya Mungu?
Kifo ni lazima kwa kiumbe hai yeyote. Lakini ukiona mtu kafa baada watu wengi kuomba kwa Mola akuondoe basi jua uko na matatizo
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Naungana na Lisu, yaani adui Yako afe then usikitike? Utakuwa timamu kweli? Ustaarabu wa hivyo Baki nao mwenyewe
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Usitupangie cha kusema. Sukuma Gang mnateseka sana na maridhiano mnatamani kila siku watu waokotwe kwenye viroba. Huu uhasama wenu pelekeni kwenu Burundi.
 
Tundu Lissu itachukua muda sana kugundua watu gani walihusika kushambuliwa kwake, kuna siku atakuja muomba msamaha Hayati JPM.
Huyo aendelee kuteseka tu tena ageuzwe kuni za kuwachomea waovu wenzake
 
Unatoaje maoni kwenye kifo?! Ukitaka kujua hebu fikiria kila kwenye maziko ya waislam hutolewa tangazo la nani ana mdai marehemu- ulishaona watu wanijitokeza? Unadhani ni ujinga au uoga?
Tuondolee upuuzi wako hapa kama vipi mfuate huko kuzimu
 
Sitasahau magufuli alivyotamba mbele ya dola kwamba ndugai awatoe kina lisu bungeni ili aje awashambulie uraiani halafu akajisifu kumdukua lissu akamalizia Kwa kutamba this is government! Saa Saba lisu anashambuliwa baada ya kauli hiyo. Kaburi la magufuli lingekiwa kisutu ningeenda kunya Kila siku na kuweka Pedi za kinadada zilizotumika
 
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo cha JPM a poetic justice (a fitting or deserved retribution for one's actions).

Tunaamini huu pia ndio msimamo wa CHADEMA kwani hawajawahi kujitenga nao. Kwa vile sasa tuko kwenye maridhiano ni bora CHADEMA mliweke hili wazi na mna fursa hiyo 21.01.2023 kwenye mkutano wenu wa hadhara Mwanza na kanda ya ziwa- kanda ya kwao na JPM.
162033367_1330017047375929_831188534219967358_n.jpg
Natakafuta maelezo kama haya siku Lisu kapigwa chuma

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Mwaka 2016 mpaka 2020 Tanzania iligubikwa na makelele ya Tundu Lisu aloyejiona yeye tu ndiyo mwenye haki ya kumshauri rais wa nchi wa wakati huo na ni lazima ushauri wake ufuatwe!

Hata hivyo hayati Magufuli alisimama imara na kupuuza makelele yote ya wakala wa mabeberu Tundu Lisu.

Kama hayati raisi Magufuli asingekuwa imara na akasikiliza makelele ya Lisu, haya hapa yangetokea Tanzania.

1. Tanzania tusingekuwa na bwawa la kufua umeme ambalo ni moja ya mabwawa makubwa barani Afrika. Urefu wa bwawa la Nyerere ni km100 yani sawa na urefu wa kutoka Dar mpaka Chalinze.

Tundu Lisu kwa kutumiwa na mbabeberu kwa ahadi ya kumlisha yeye na familia yake pamoja na kumpa hifadhi Ubelgiji alipinga sana ujenzi wa bwawa hili kwa kisingizio kwamba litasababisha uharibifu wa mazingira na mvua hazitanyesha tena Tanzania!. Leo mwaka 2023 bwawa linajazwa maji na Tanzania imegubikwa na mafuriko kila sehemu kwani mvua zinanyesha sana kinyume na utabiri wa Tundu Lisu.

2. Tanzania isingekuwa na ujenzi wa SGR.
Tundu Lisu alipinga sana ujenzi wa reli hii ya umeme na yenye kasi zaidi Afrika yote.

3. Serikali isingehamia Dodoma.
Tundu Lisu na Mbowe walipinga sana serikali kuhamia Dodoma wakisema huko ni kutesa watumishi na kwamba serikali ibaki tu Dares salaam kwa ndoto za mwl Nyerere zimepotwa na wakati. Hayati Magufuli aliziba masikio na leo serikali yote ipo Dodoma.

4. Kampuni ya madini ya Acacia ingekuwepo.
Licha ya kwamba Lisu amesoma kwa kodi za watanzania lakini aligeuka kuwa mwanasheria wa Acacia na akasema ataisaidia kutushitaki MIGA, kama tukiendelea kuwadai hela za wizi wa makinikia. Hayati Magufuli aliendelea mbele hadi kampuni ya Acacia ikafutwa na kuzaliwa kampuni mpya ya Twiga ambayo watanzania wapo kwenye management na Tanzania yakafunguliwa masoko ya madini kila sehemu, na watanzania wakanufaika na madini yao.

5. Kenya na India zingeendelea kuongoza kwenye uuzaji wa madini ya Tanzanite .
Kutokana na ukweli madini ya Tanzanite yanapatikana Tanzania tu. Hayati Magufuli alichukua hatua kali sana za kudhibiti madini ya Tanzanite ikiwemo kujenga ukuta wa kuzunguka mgodi huo, hatua hizo zilipingwa mno na Lissu na akaita ni udikteta mkubwa kufanya hivyo
Nimekupuuza uliposema SGR yenye Kasi zaidi Africa..
Magufuli alijua kuwadanganya vilaza
 
Lissu na Magu na Dr Slaa ni watu pendwa sana Kanda ya ziwa.

1.Magu alikuwa mwana mageuzi kimfumo ndani ya CCM kuhakikisha wanafanya KAZI na kukataa RUSHWA...
Sasa kwanini mmoja akataka kumuua rafiki yake kabla Mungu hajaingilia kati?
 
Mfano Lissu angekuwa baba yako halafu akapigwa risasi zile ungemfurahia Magufuli?
Kuna mtu anaitwa ramdhan kadrov sijui ni kiongozi wa chehen baba yake aliuwawa kwa maelekezo ya putini baada ya kuwa anataka kujitenga na urusi na baada ya hapo kijana wake akawa mkuu wa nchi na sasa ni chawa wa putini hapo unasemaje?
 
Back
Top Bottom