Pre GE2025 Tundu Lissu: Kuna Rushwa inatuvuruga ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe anajua siasa kwamba Cha muhimu ni kuwa na Wabunge sio kuhangaika na Urais wa kina Lisu ambao hawawezi kuupata.
 

..mpunga umetoka kwa nani?

..au umetoka kwa Mama Abduli?

..yeye Mama Abduli amegawa nini, mpaka kuwa na mpunga wa kutuvurugia vyama vyetu?
 
..mpunga umetoka kwa nani?

..au umetoka kwa Mama Abduli?

..yeye Mama Abduli amegawa nini, mpaka kuwa na mpunga wa kutuvurugia vyama vyetu?
Mpunga umetoka kwa mdhamini mkuu, a.k.a Boss Lady ambaye hali akifahamu fika kwamba akitoa mpunga kwa masharti atakivuruga chama, alifanya hivyo kwa maksudi.

Hii resentment ya kina Msigwa na Lissu ilianza tangu kipindi cha Mwenyekiti kulambishwa asali, huu uchaguzi wa juzi was the last straw to break a camel's back.​
 

..hata Mama Abduli naye amepagawa na madaraka ndio maana anavuruga vyama vya upinzani.

..yanayotokea kwa Chadema yalishatokea kwa Nccr, na Cuf, na chanzo ni fedha zilizotoka Ccm.
 

..end of the day tunaoumia ni wananchi.

..bila kumuadabisha Boss lady hali hii haiwezi kubadilika.
 
Mbowe anajua siasa kwamba Cha muhimu ni kuwa na Wabunge sio kuhangaika na Urais wa kina Lisu ambao hawawezi kuupata.
Sasa watu wenye mawazo ya hivi ndiyo mnanufaika na The Status Quo. Kiufupi Tanzania inahitaji mabadiliko makubwa ya kimfumo ili itoke hapa ilipo.

Yaletwe na CCM au upinzani, I simply don't care. Ila huu upuuzi wa kugeuza siasa kama ajira, huku nchi ni masikini halikubaliki kabisa.​
 
Mimi sinufaiki na yeyote na Wala sitegemei kwamba Kuna mwanasiasa ataninufaisha so kwangu mambo ye u ya siasa sio jambo la msingi ni kama burudani tuu Kwa sababu nafahamu hakuna mwanasiasa wa kukusaidia hapa Duniani.
 

Ninakazia:

Kujaribu kuwazodoa kina Mandela, Nyerere, Lissu, nk ni kujidhalilisha!
 
..hata Mama Abduli naye amepagawa na madaraka ndio maana anavuruga vyama vya upinzani.

..yanayotokea kwa Chadema yalishatokea kwa Nccr, na Cuf, na chanzo ni fedha zilizotoka Ccm.
..end of the day tunaoumia ni wananchi.

..bila kumuadabisha Boss lady hali hii haiwezi kubadilika.
Tayari Boss Lady ashashindwa huu mchezo. Watakaomwadabisha ni wale wahuni waliomuweka madarakani kiharamu 2021 ambao anajidanganya kwamba anaweza kuwazunguka kisa ana dola.

Hivyo wala usihofu, there's no honor among thieves wataparurana tu. Ila ambacho sisi na upinzani tunatakiwa kufanya ni kujiandaa kuokota Spoils of the coming war.​
 
Lisu yuko sahihi, tunataka viongozi wanaoweza kusimama hadharani na kukemea rushwa kuanzia ndani ya chama chake. Ni wendawazimu kukemea rushwa ndani ya ccm na serekali, kisha kufumbia macho rushwa ya ndani ya cdm.
 
Mimi sinufaiki na yeyote na Wala sitegemei kwamba Kuna mwanasiasa ataninufaisha so kwangu mambo ye u ya siasa sio jambo la msingi ni kama burudani tuu Kwa sababu nafahamu hakuna mwanasiasa wa kukusaidia hapa Duniani.
Haya ni maneno ya kupaka rangi upepo.

Ndiyo, mwanasiasa hawezi kukusaidia lakini mfumo unaweza kubadilisha maisha yako, kwa jema au baya.

Leo hii hao wanasiasa wakicheza na mfumo, hata wewe unayejitia hunufaiki hapa unaweza kujikuta ni mkimbizi au marehemu kama ilivyokuwa Uganda, Rwanda, Burundi na Congo.​
 
Hakuna Cha mfumo wewe,pesa zitatafutwa Kwa mfumo wowote na siku zote mtafuta pesa anacheza na akili ya aliyeko madarakani
 
Na wakigombana na Mbowe wanakimbilia wapi? Tuanze hapo.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ