Tundu Lissu kurejea Nchini January 25, 2023

Shetani ana nguvu sana hapa duniani kwa wanaotanguliza matumbo. Kuna € m50 imetolewa, lazima ionekane kazi inafanyika.

..una maana barrick walimhonga magufuli?

..sukuma gang wakikusikia watakutafuna mzimamzima.
 
Binafsi nilitegemea ujio wa Lissu ungekuwa habari kubwa kila kona ya nchi. Lakini Mandonga anaiteka mitaa kuliko Lissu hii ni hatari kwa upinzani. Kama hakuna mtu anastuka presidential candidate ametangaza comeback ujue kazi ni kubwa uko mbeleni...mjipange sana
 
Sasa sawa, amekuwa mlokole ananukuu mandiko ya Biblia?
 
Ujumbe mchungu sana kwa wale uvccm waliopitwa na wakati
 
Mh. Rais Samia hongera sana, naamini kila mtanzania aliye kimbilia nje ya nchi atarejea nyumbani na kuishi maisha yake kwa amani na furaha ya kweli huku wakiendelea na shughuli zao halali za kuwapatia kipato.

Ila tuweke wazi, tuipende nchi yetu kwa dhati, hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania, kuichafua nchi, kuisema vibaya serikali kwa matusi au lugha chafu chafu haisaidii chochote, kama ikiwa una hoja kubwa au umeona kuna ufisadi mkubwa au umeona kiongozi mkubwa wa serikali kakosea, kuna namna nzuri sana ya kuwakilisha hoja yako kwenye vyombo husika na ikafanyiwa kazi na matokeo bora tukaona.

Nchi yetu ikichafuka hata aliyeichafua nae anachafuka na niseme tu, tusijidanganye hata kidogo hakuna mzungu au beberu yeyote anaipenda nchi yetu kuliko sisi wenyewe, hivyo kuikashifu au kuisema vibaya nchi yako, labda utegemee msaada wa wazungu huko ni kupotoka.

Tanzania ni yetu sote na itajengwa na sisi watanzania wenyewe.
 
Duh! Propaganda za kitoto sana hizi mkuu, ushoga upo since hata Abraham hajawepo kwenye uso wa dunia! Wewe mwenyewe na kujimwambafy hapa unaweza kuwa shoga vile vile! Stupid
Kuwepo ushoga tangu enzi za Ibrahim si habari mpya; habari mpya ni watu kuhongwa € 50m kuja kuhamasisha ushoga.

Lipi gumu hapo kueleweka kwako?
 
Tarehe 21 itakuaje, au itaahirishwa.?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…