Umemnukuu hawara ya bibi yako mzaa babu yako nini?Wahenga walisema adui yako mfanye rafiki ili asipate nguvu ya kumtetea ukaongeza maadui, na Nyerere siyo mjinga kusema Mrema hata akisukumwa akiwa ndani ya gari muacheni hakuwa mjinga na Mkapa hivyo hiyo na Kikwete hata kwa Lowasa mpaka anadekiwa na barabara yeye yupo kimya so akili zako changanya na hekima.
Sisi na nani? Jisemee wewe nyama wewe. Kama amealikwa utajuaje ikiwa mnampiga mabomu?Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Nilichosema sio sera ya Chama chochote cha kisiasa au ushirika.Haya maneno nimeyasema mimi. Siyo TL. Sasa wewe unamuingizaje hapa TL? Mmeishiwa sera sasa ni kutapatapa tu. Unaujua ukoloni wewe? CCM inapeleka watawala wake kule Zanzibar kila baada ya miaka 10. Sasa imetoa mmoja Mukuranga na kumpleka huko Visiwani. Huo ndio ukoloni.
Ila usiingie mitini hakuna MTU muongo kama Lisu nakuhakikishia hili LA kukutana na mabalozi muongo anaenda tume ya maadili.Asubuhi sio mbali
Acha kuongea Pumba ewe Msukule wa Lumumba,umesoma Katiba na Sheria vizuri kuhusu nafasi ya Mawaziri baada ya Bunge kuvunjwa?Ndio maana nasema upinzani hamna akili.
Hivi unatambua wadhifa|nafasi ya kabudi katika nchi hii??
Njoo kwa wakuitwa Tundulissu ana nafasi au wadhifa gani katika hii nchi hii kumfanya afanye kikoa na Mabalozi kama sio kuomba huruma ya mabeberu.
Hivi sometimes upinzani(hasa Chadema) akili sijui mnapeleka wapi(rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest ya watu nje ya Tanzania.
Unakikao na Mabalozi wa nje kipindi cha kampeni ili wakusaidie nini?,au ndio unaenda kuteta upuuzi.
waamuzi ni sisi Watanzania,subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi.
Sisi na nani? Jisemee wewe nyama wewe,
Kama amealikwa utajuaje ikiwa mnampiga mabomu?
Hivi mbona mna hasira hivi na Lissu? Mwangalie Sirro, mtazame Magufuli akiwatisha na kuwafokea wapiga kura huko Tunduma.Lisu muongo anaenda kuhojiwa tume ya maadili Mleta maada na Lisu wako acheni uongo kama ule mliodanganya ohh Lisu atafanya mdahalo mkubwa na Raisi wa Ghana kumbe uongo mtupu
Mleta mada na Lisu MNA pepo LA uongo
Kama vp wapige mabomu mabaloziNdio maana nasema upinzani hamna akili.
Hivi unatambua wadhifa|nafasi ya kabudi katika nchi hii??
Njoo kwa wakuitwa Tundulissu ana nafasi au wadhifa gani katika hii nchi hii kumfanya afanye kikoa na Mabalozi kama sio kuomba huruma ya mabeberu.
Bunge na serikali ni vitu viwili tofauti, likivunjwa haimaanishi serikali nayo imevunjwa. Serikali inavunjwa pale serikali nyingine inapoingia madarakani. Ubunge unapokoma, Rais na mawaziri wake wanaendelea na majukumu yao kama kawaida mpaka baraza la mawaziri litakapovunjwa.Lisu wambie mabalozi kuwa kabudi siyo waziri kwani bunge lilivujwa rasmi lakini kutwa anakutana na mabalozi mbalimbali
Wivu wa nini si umwambie Jiwe naye akutane nao au lugha ndio tatizo , wao wanakutana na kila mtu Ni lugha yako tu Kama inapanda.Ila usiingie mitini hakuna MTU muongo kama Lisu nakuhakikishia hili LA kukutana na mabalozi muongo anaenda tume ya maadili
Nilichosema sio sera ya Chama chochote cha kisiasa au ushirika.
Lakini Tatizo lako unaugonjwa wa infriority wa kuona Lugha nyingine ni bora kuliko lugha yako.
Hii tosha hamna cha kumsifia T.L mpaka mnafika mambo ya Lugha.
Muendelee kujipendekeza kwa mabeberu.
Hiyo picha ya Seif ya zamani sanaWivu wa nini si umwambie Jiwe naye akutane nao au lugha ndio tatizo , wao wanakutana na kila mtu Ni lugha yako tu Kama inapanda .View attachment 1587574View attachment 1587575
Hivi sometimes watanzania wajinga (na hasa CCM) sijui akili mnapeleka wapi (rika zote).
Mnazidi tuonesha hampo kwa ajili ya Watanzania bali mpo kwa ajili ya interest binafsi za matumbo yenu.
Unaona tuko kwenye kipindi cha kampeni ambapo kila mgombea alitakiwa kuwa na haki sawa. Unatumia polisi, tume, msajili wa vyama, nk kuhakikisha kuwa wagombea wengine wananyimwa haki zao. Wakilalamika unawaona wapuuzi?
Mpuuzi si ni wewe? Hutaki uchaguzi uwe huru wala uwe wa haki na unataka unaowanyanyasa wakuelewe kwa hilo?
Mamburula sana nyie!
Waamuzi ni sisi Watanzania wazalendo, subiri oct.28 tuwafunge mdomo wapuuzi nyie!
Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa miguu.Ila usiingie mitini hakuna MTU muongo kama Lisu nakuhakikishia hili LA kukutana na mabalozi muongo anaenda tume ya maadili
Anaendelea na uwaziri hadi siku ya uchaguzi!Acha kuongea Pumba ewe Msukule wa Lumumba,umesoma Katiba na Sheria vizuri kuhusu nafasi ya Mawaziri baada ya Bunge kuvunjwa?
Kabudi ni Waziri wa mambo ya nje!Mbona kabudi akienda huulizi?
Akikutana nao tukufanyeje?Ila usiingie mitini hakuna MTU muongo kama Lisu nakuhakikishia hili LA kukutana na mabalozi muongo anaenda tume ya maadili